Mpaka Leo wapo baadhi hawajakubali yale matokeo.Viashiria vinaonesha kuwa upande wa pili wameshaandaa mazingira ya kujinyakulia ushindi.....maneno makali ya wapambe wa Mbowe inaonyesha wazi kuwa wengi hawako tayari kuyapokea mambo tofauti
Sijamsikia hata mtu mmoja akisema kuwa Tundu Lissu sio Mwenyekiti wa Chadema. Lakini kukubali matokeo hakumaanishi tukubali kila kitu anachosema au anachofanya Tundu Lissu. Kwa wengine wetu Tundu Lissu ni mwanasiasa kama mwanasiasa mwingine Tanzania. Na kwa sababu hiyo anastahili kukosolewa hata kupingwa pale inapobidi. Kufanya tofauti ya hiyo ni kumuabudu na hiyo haitakuwa kumtendea haki.
Aibu yako hiiFreeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.
Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.
Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.
Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.
Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.
Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).
Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.
Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.
Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.
Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.
Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.
Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.
Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.
Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.
Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.
NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
Mimi unielewe. Sina shida na Lisu na wala sina uswahiba na Mbowe hata kidogo. Sijawahi kumshabikia Mbowe hata mara moja. Niliisuport chadema kwa vile malengo yake yanaoana na matamanio yangu kuibadiri Tanzania kutoaka kwa unyangau wa CCM.
Mi nimeamua kuwaponda vichwa kwasababu nimegundua hawa wapambe wana akili ndogo sana na wengi wao ni wanywa visungura!Sijamsikia hata mtu mmoja akisema kuwa Tundu Lissu sio Mwenyekiti wa Chadema. Lakini kukubali matokeo hakumaanishi tukubali kila kitu anachosema au anachofanya Tundu Lissu. Kwa wengine wetu Tundu Lissu ni mwanasiasa kama mwanasiasa mwingine Tanzania. Na kwa sababu hiyo anastahili kukosolewa hata kupingwa pale inapobidi. Kufanya tofauti ya hiyo ni kumuabudu na hiyo haitakuwa kumtendea haki.
Tulimpinga kwa sababu ya kampeni chafu aliyoifanya. Kushinda kwake uchaguzi hakubadili msimamo wetu. Ni yeye ndie anayetakiwa kututhibitishia kuwa Lissu wa kampeni sio Lissu Mwenyekiti.
Amandla...
Ukweli wengi wenu mnatamani Sana kumuona mwenyekiti mpya akikwama/akishindwa Ili mpate hoja za kumkosoa.Sijamsikia hata mtu mmoja akisema kuwa Tundu Lissu sio Mwenyekiti wa Chadema. Lakini kukubali matokeo hakumaanishi tukubali kila kitu anachosema au anachofanya Tundu Lissu. Kwa wengine wetu Tundu Lissu ni mwanasiasa kama mwanasiasa mwingine Tanzania. Na kwa sababu hiyo anastahili kukosolewa hata kupingwa pale inapobidi. Kufanya tofauti ya hiyo ni kumuabudu na hiyo haitakuwa kumtendea haki.
Tulimpinga kwa sababu ya kampeni chafu aliyoifanya. Kushinda kwake uchaguzi hakubadili msimamo wetu. Ni yeye ndie anayetakiwa kututhibitishia kuwa Lissu wa kampeni sio Lissu Mwenyekiti.
Amandla...
Sisi hoja yetu ni kwamba alifanya kampeni chafu. Sisi tunachotaka ni akiletee mafanikio chama chake ambayo mnasema Mbowe alishindwa kwa sababu alilambisha asali na alipokea mshiko wa mama Abduli. Akikwama au akishindwa hana wa kumsingizia ingawa tayari mmeishaanza juhudi za kumtafuta mtu wa kumuangushia jumba bovu. Mara mbona Freeman haonekani, mara Aidan hana mchango wowote kwa CDM.Ukweli wengi wenu mnatamani Sana kumuona mwenyekiti mpya akikwama/akishindwa Ili mpate hoja za kumkosoa.
Tayari mwamba wako kashabwagwa.Freeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.
Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.
Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.
Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.
Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.
Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).
Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.
Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.
Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.
Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.
Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.
Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.
Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.
Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.
Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.
NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
Uchafu mnauleta ninyi wazushi!Sisi hoja yetu ni kwamba alifanya kampeni chafu. Sisi tunachotaka ni akiletee mafanikio chama chake ambayo mnasema Mbowe alishindwa kwa sababu alilambisha asali na alipokea mshiko wa mama Abduli. Akikwama au akishindwa hana wa kumsingizia ingawa tayari mmeishaanza juhudi za kumtafuta mtu wa kumuangushia jumba bovu. Mara mbona Freeman haonekani, mara Aidan hana mchango wowote kwa CDM.
Akifanikisha jambo tutamsifia, na akishindwa tutamkosoa.
Amandla...
Naona Mbowe aliposema kuwa kuna character assassination wewe ulielewa kuwa anasifia kampeni iliyokuwa ikiendeshwa na Lissu.Uchafu mnauleta ninyi wazushi!
Uchaguzi wa mwenyekiti ulikuwa huru na wa haki, mpaka Mbowe akashindwa kwa kuridhika na kumuunga mkono mshindi.
Kungelikuwa na rough yoyote, Mbowe angesema.
Sasa ninyi ni nani wa kusema Lisu alitumia kampeni chafu?
Neno hilo la uchafu mnalisema kwa kulirudia bila kufafanua ni uchafu gani Lisu alioufanya kwenye kampeni hizo?
umemaliza kila kitu! Lisu ni shetani wa madaraka, anaweza kufanya /kusaliti lolote apate madaaraka. ka amemsaliti Mbowe aliyeokoa maisha yake kwa kusema Muhimbili haendi maana watammaliza, leo angelimtukana/kumdhalilisha/kumbagaza Mbowe? Lisu hafai kabisa....mroho wa madaraka. Hii ni kasoro kubwa sana tena sana amejipakaSijamsikia hata mtu mmoja akisema kuwa Tundu Lissu sio Mwenyekiti wa Chadema. Lakini kukubali matokeo hakumaanishi tukubali kila kitu anachosema au anachofanya Tundu Lissu. Kwa wengine wetu Tundu Lissu ni mwanasiasa kama mwanasiasa mwingine Tanzania. Na kwa sababu hiyo anastahili kukosolewa hata kupingwa pale inapobidi. Kufanya tofauti ya hiyo ni kumuabudu na hiyo haitakuwa kumtendea haki.
Tulimpinga kwa sababu ya kampeni chafu aliyoifanya. Kushinda kwake uchaguzi hakubadili msimamo wetu. Ni yeye ndie anayetakiwa kututhibitishia kuwa Lissu wa kampeni sio Lissu Mwenyekiti.
Amandla...
Mnakula wa chuya! Chadema sio saccos tena, Mbowe aende akafufue biashara ya Disco na huo mtaji toka kwa mama Abdul!kama lissu akishinda
he is going to ruin our beautiful chadema ever
Sidhani kama ni shetani lakini mengi nakubaliana na wewe. Kwa mawazo yangu yeye na wafuasi wake ndio wanapaswa kutuonyesha kuwa hatumtendei haki na yale yalikuwa ni mambo ya kampeni tu.umemaliza kila kitu! Lisu ni shetani wa madaraka, anaweza kufanya /kusaliti lolote apate madaaraka. ka amemsaliti Mbowe aliyeokoa maisha yake kwa kusema Muhimbili haendi maana watammaliza, leo angelimtukana/kumdhalilisha/kumbagaza Mbowe? Lisu hafai kabisa....mroho wa madaraka. Hii ni kasoro kubwa sana tena sana amejipaka
MH! MAMBO YA KAMPENI KUMSEMEA MTU CHARACTER ASSASSINATION? HAPANA. WATU WANAAMINI KUWA MBOOWE ALIKULA RUSHWA YA ABDUL....HII SIYO SAWAa yale yalikuwa ni mambo ya kampeni tu.
Kwa kweli ule ulikuwa uovu uliopitiliza. Hapa suala sio kusamehe au kusahau bali ni kujaribu kusonga mbele. Kusahau au kupuuzia haiwezekani.MH! MAMBO YA KAMPENI KUMSEMEA MTU CHARACTER ASSASSINATION? HAPANA. WATU WANAAMINI KUWA MBOOWE ALIKULA RUSHWA YA ABDUL....HII SIYO SAWA