DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Tongoza.
hayo mahusiano uliyobahatisha ulibahatisha vipi?utawaongelesha, kikifika kipengele cha kuchukua namba
Wanasema hapana.
Au sina simu.
wachache walionipa, mtawasiliana siku ya kwanza, ya pili, then wanaanza kuni ignore.
Wengine wanachukua namba yangu ila hawanitafuti.
dah baadhi ya wanawake mbuzi sana.
Jaribu kufanyia Kazi haya maeneonimefanya hivyo sana ila hakuna kitu.
Mkuu haya maneno ya Gradute unamwambia Njuka huoni kama unapoteza energy yako kuandika tu hapa ?Jaribu kufanyia Kazi haya maeneo
@ communication skills
@ penda kuongelea maslahi yao zaidi mfano akikupa namba mwambie atapata nini akiwa na wewe .
hayo mahusiano uliyobahatisha ulibahatisha
Mengi yalikuwa lengo ni kuondoa upwiru.hayo mahusiano uliyobahatisha ulibahatisha vipi?
Niwe mtoaji kwa nani kwa wanawake au watu wote kwa ujumla?Ukitaka kuwa na watu wakuzunguke hasa wanawake kuwa mtoaji be a giver
Binadamu sisi kiasili ni wabinafsi that is way tumekuambia usitafute mwanamke Ila kaa mkao wa wewe kutafutwa penda kuwa mtoaji
Na sio lazima utoe pesa toa hata ushauri .
If you have nothing to offer you will end up chasing vacuum
Najaribu kukuelewa ila sikuelewi!KUtongoza naweza ilo ndio mpaka unipe nafasi.
ni wanawake wangapi wamekukataa mpaka ukajiona una shida?Mengi yalikuwa lengo ni kuondoa upwiru.
Walikuwa ni wanawake ambao siwezi kuwaoa.( wengi single mothers)
Except
1. Ilikuwa chuo, alikuwa awe demu wa jamaa angu, within that process jamaa akpata majanga akasepa chuo.
Mimi nikatake ova. Baadae tuliachana.
2. Jesca(RIP), nilikutana nae kitaa nikamtongoza akakubali, sikumpenda kivile. So nilikuwa napita tuu.
Mwaka jana mwezi wa pili tukaachana.
Wacha weee ๐๐๐Kukaa pekeyako Kuna ugumu gani yaani mm naenjoy balaa natoka chooni had chumbani vyovyote vile
Naweza cheza had taarifa ya habari ๐๐hakuna wa kuniuliza
Niwe mtoaji kwa nani kwa wanawake au watu wote kwa ujumla?
Mfano nikikusimamisha sehemu usipoonyesha uko interested kunisikiliza nitakutongozaje?