Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Kumbe JF tumo wengi na mimi huku kuna binti kaniacha aisee, ni miezi miwili sasa imepita yy kaishaendelea na maisha yake ila bado najitahidi kumsahau ila wp najikuta tu nimeshaanza kumtumia txt namkubusha ahadi yetu namkumbusha mwanzo wetu, lkn kinachonisikitisha sana ndiye bnti wa kwanza kudate na mimi katika maisha yangu, nasikia yeye ashagaolewa ila mimi bado nakazana tu yaan nimekuwa kama vile siamini...ile mood nilokuwa nayo ya kufanya mazoezi kila day nayonahis imeniacha yaani mambo yamekuwa zig zag, nilikuwa ninauwezo wa kupiga push ups 60 siku hizi nashindwa ata 20 yaani kiujumla nimedhoofika

Kwa hiyo dada hauko pekee yako cha kufanya chukua hii namba yangu 0694094773 tusaidiane kujifariji maake nimeingia JF kutafta ushauri japokuwa sijapost kitu ila nilikuwa naimani nitakutana na wa2 wenye hali kama niliyopo mimi. Ila dada pole amini yote yatapita, utazishinda hisia
Mkuu push up 60 ndo zimekufanya uachike...
 
Huyo muhusika wala hayupo humu, sababu zakuachana kiukweli ni just Petty things,kama wivu(mimi) na long distance relationship kiasi ingawa tulikua tukitembeleana nk.

Tumekaa chini na kuongelea kuhusu kupeana chance nyingine ila ilishindikana na mwenzangu akawa ameshapata mahusiano mengine.

I just loved him so much na si kwamba alikua ananipa chochote, basi tu nilimpenda jinsi alivo na niliona naye ananipenda nilivo.ila alikua na sauti nzuri kuubwa dah[emoji31]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Aseee

Kwan we uko mkoa gani mkuu?
 
Mkuu push up 60 ndo zimekufanya uachike...
Hamna yaan nilikuwa kila nikiamka asubui nafanya jogging na nikrudi kutoka kazin nafanya ivo ivo tena lkn tokea nimeachwa na ivyo nahisi vimeniacha, 6 packs nazo zimesambaratika yaani mapenzi acha tu[emoji21]
 
Hahahaaa pole mdada wa kinyaki, life must go on. Atakuja mnyakyusa mwenzako kukupenda, si unajuaga vile kaka zako wanajuaga kupenda? He will spoil you with nyaki love [emoji3590]. Heaven Sent kama kuna kaka ako huko ambaye hana mke jaribu kumfanyia connections binti [emoji23]
Ahsante mkuu Heaven Sent kindly assist as per above👆
 
Shida ukute jamaa ameshajua udhaifu (pa kumuumizia) tunampa moyo baada ya week jamaa anamtext "hellow ,i miss you" .akiona hii text moyo paaaaa!!!!!! hisia zinarud mwanzo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Unajua sms ya mpenz wako hata kama mmeachana akikutumia ni kama amekurudisha mwanzo
Ni kweli kabisa mkuu but siwezi kurudi tena huko sahivi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]. Wengine toka mwaka jana mwezi wa pili tumeachwa na wala hatuwazi ingawa mwanzo ilikua shida kwa sababu aliacha kupatikana ghafla tu, katiwa na mimba juu si ni life tu

Rejection sometimes is redirection in disguise
 
Shids kaka zangu hawana sauti kubwa kama ya kokoto wako (kidding).
emoji38.png
emoji38.png
Hamna shida naweza kuadjust hiko kigezo 😀
 
Ndiyo huwezi amini ni sauti yake pia inayonifanya nimkumbuke zaidi! Sauti ya kokoto wangu mwee, mnyakyusa wa watu miye nakufa[emoji25]
Kwa hiyo Kalumbu financial services umeshindwa kabisa kumove on ndani ya mwaka mmoja kisa sauti kokoto?[emoji848]

Kuteseka kwako ndio kunamfanya aendelee kukutesa. Siku ukiamua kula jiwe ukakubaliana na hali in hard way basi mambo yote yataenda sawa.

Wewe jambo kitu kitakachokusaidia ku move on ni ku delete kila kilicho chake ikiwemo ndugu na marafiki zake. Usione chochote kinachomhusu. Ila usikurupuke kuvamia watu utaumia tukashindwa kwenda Urumi kujumua ulezi [emoji28][emoji28][emoji28]


Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom