Jinsi gani ya kukabiliana na wizi/utapeli unaotokana na kusemeshwa na kupumbazwa na mtu usiyemjua?

Jinsi gani ya kukabiliana na wizi/utapeli unaotokana na kusemeshwa na kupumbazwa na mtu usiyemjua?

Na tuliwaambia ujanja tutakula wapi



Halafu ukiwa na mawazo hii njia inafanya kazi vizuri
Tayari nishaunganisha doti. Wuuh! Ukiacha na dawa za kulevya inabaki ni akili tu hamna cha uchawi wala nini. Ni akili kubwa kuitawala ile ndogo baaas!
 
kupata dawa kama hiyo lazima umpatie sadaka shetani vizazi vyako
 
Hawa jamaa nime kutana nao Mala kadhaa alafu sehem tofaut tofauti
Ifakara... Waka Sanda...
Mbeya mjini pale mwanjelwa hii niliogopa Sana mana nilikuwa na pesa kama laki nne za ada nashukur walidunda, dodoma napo makuru pale Waka Sanda dar napo ubungo hapa juz juz tuu Nika chomoa.....

Mataper ni rahisi Sana kuwa jua Sema tuu shida na tamaa zetu za kupata ngekewa
 
Hawa jamaa nime kutana nao Mala kadhaa alafu sehem tofaut tofauti
Ifakara... Waka Sanda...
Mbeya mjini pale mwanjelwa hii niliogopa Sana mana nilikuwa na pesa kama laki nne za ada nashukur walidunda, dodoma napo makuru pale Waka Sanda dar napo ubungo hapa juz juz tuu Nika chomoa.....

Mataper ni rahisi Sana kuwa jua Sema tuu shida na tamaa zetu za kupata ngekewa
Nimekutana na matapeli dizain hiyo kama kumi hapo mlimani city na kawe wanajifanya wanaongea English kali balaa ila hamna aliewahi nipiga hata buku mbovu, dadeki zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dadeki yani wale wahuni sioo nimetoka zangu home naenda kazini kwa mama mwaka 2011 hiyo nina visimu vile kinokia kile obama sijui na hela kama elfu 10 hivi... Mmoja akaja akaniuliza samahani unajua sehemu flani wanauza madini nataka nikauze madini yangu sema ukinionesha tutagawan hela alikuwa mbabu hivi.. nkasema sipajui ghafla akatokea mbaba kwa nyuma yule mzee akamuuliza pia yule baba akasema anapajua so akaniomba na mimi nimsaidie tumsindikize hela tutagawana mamaee laiti ningejua ambacho kingenikuta nisingeingia tamaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani nikaanza kuwafata ila kuna saa nikawa nasita yule mbabu akafika point akasema nimechoka kutembea wajukuu zangu mnaonaje mkauze hela mniletee aisee yule mbaba akasema sawa mzee tuamini yule mzee akasema bhasi mniachie hata Hela au kama hamna niachieni simu maana nawapa madini je msiporudi?? Aiseee sikujua sikujuaaa nikatoa simu na yule baba akampa yake tukachukua madini tukaanza kutembea tukakatisha kona kama mbili yule Baba akasema nisubiri hapa nihakikishe yule babu asijetutoroka shika haya madini nakuja yani Nkajiona bonge la mjanjaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] likapita nusu saa mtu harudi ndo akili ikaja nifungue kikaratasi dadeki udongoo tu na maweee pale nlipomuacha babu nimerudi kweupee nyie nyiee Kulia nksashindwa kucheka nkashindwa nikabaki nimeduwaa kama dak 10 siamini kisimu changu na hela vimeenda[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Nkaanza safari ya kurudi home huku kama akili imeniruka ndo nkaanza kuliaa huku naendaa mbwaa wale walinifundisha uhuni mapema hadi leo Simuelekezi mtu yani hata iweje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeh sana.
 
Mjini kuna mengi...hivi visa vinasisimua sana
 
Juzi kati hapa nimekutana nao stend moshi wakawa wanauliza dispensary ya doctor hata siijui. Jibu ilikua short tu simjui halafu nikaondoka
 
Juzi kati hapa nimekutana nao stend moshi wakawa wanauliza dispensary ya doctor hata siijui. Jibu ilikua short tu simjui halafu nikaondoka
Ndio inatakiwa hivi jibu moja na kusepa. Ukiwapa tu nafas ya kuwasikiliza yanaweza kukukuta makubwa.
 
Hii imewakuta watu watatu tofauti ninaowafahamu sijui hawa wezi wanatumia dawa gani

Wa kwanza; Huyu yeye alizubaishwa Mwenge na akawapa kiasi cha pesa alichokuwa nacho pale, akaja nao mpaka anapoishi huko Skanska akawapatia Akiba, kama haitoshi akakopa kwa jirani akawapatia, akakopa kwa ndugu pia akawapatia. Baada ya jamaa kusepa ndo anakuja kustuka baada ya kuongeleshwa, ilikuwa kilio kuanza kulipa madeni.

Wa pili ni huko Bonyokwa, huyu dada yeye alipumbazwa akawapatia simu, pesa na bado akaenda nao kwake akaanza kuwapa vitu vya ndani. Majirani walipomuuliza mama fulani unahama? Fahamu zikamrudia jamaa hapo washasepa fasta.

Wa tatu ni mdada wangu wa kazi; na akaambiwa mambo ya nyota, pia akaambiwa ndani una akiba ya fedha akajibu ndiyo. Alikuwa na simu lakini hakuwapa na wala hawakuongozana but alivyofika nyumbani akaenda kukoga na simu aliweka kitandani but alivyotoka kuoga akakuta bahasha, kufungua akakuta mche wa sabuni, ile akiba nayo imetoweka. Kilio chake hakikuwa cha nchi hii ikabidi tu nimpatie simu na akiba yake.

Kwa haya mafunzo, wapendwa tuwe makini. Najua si rahisi kutomwongelesha mtu lakini tujitahidi kuepuka mitego ya namna hii.
Duuh unakua huna nafsi ama?? Yani mpaka unaenda home kutoa vitu kama unahama hushtuki tu.
Hiyo ni hatari sasa.
 
Kila nikikumbuka nalia mie [emoji24][emoji24][emoji24]

Ilikua 2019 December, npo 1St yr na 1st semester, ilikua ni pale posta pale karibu na bunge primary,

Ni weekend ilikua nkatoka zangu home, nkamtembelea shost angu pale IFM, bas nkafika palee chuon tuka meet then tukatoka kuelekea Coco beach, tuka enjoy huko then tukarud nikamuacha pale chuon kwake, mie naondoka kurud home, bas natembea tyuuh kufika karibu na pale shule nakutan na mkaka kwa kumtazama nilihis ni mwanachuo pia, coz alikua na muonekano huo.

Akaanza kunisemesha mara story kidg nkashangaa namkabizi mkoba ulikua na 180k, na cm ndogo, na funguo za ghetto, nkampa na cm kubwa niliyoshka mkononon, hata sijui nilimpaje, tukaachana tena kwaa kuagana vizuri, Mie nkaenda kupanda boda huyo home,

Fahamu imekuja kurudi nipo kwenye boda, najishangaa cna cm, mkoba pia, yaan hata sikua naelewa, kufika home jamaa inabidi nimpe naul yake nabaki kuhaha, ikabidi niingie ndani nkaomba msaada wa yule boda kuvunja kufuli nkaingia ndan nkatoa hela nkampa akaondoka, nilianza kulia mie hapo hadi kamasi,

Wallah sitasahau lile tukio kamweee. Na lilinipa funzo hapa dar, now hata marafiki siwaamini akuuuh. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Kila nikikumbukaga sometimes naliaa tyuuh. Dar hapana kwa kweli khaaaaah.
Na wewe walikupopoaa...pole mchmb

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Dadeki yani wale wahuni sioo nimetoka zangu home naenda kazini kwa mama mwaka 2011 hiyo nina visimu vile kinokia kile obama sijui na hela kama elfu 10 hivi... Mmoja akaja akaniuliza samahani unajua sehemu flani wanauza madini nataka nikauze madini yangu sema ukinionesha tutagawan hela alikuwa mbabu hivi.. nkasema sipajui ghafla akatokea mbaba kwa nyuma yule mzee akamuuliza pia yule baba akasema anapajua so akaniomba na mimi nimsaidie tumsindikize hela tutagawana mamaee laiti ningejua ambacho kingenikuta nisingeingia tamaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani nikaanza kuwafata ila kuna saa nikawa nasita yule mbabu akafika point akasema nimechoka kutembea wajukuu zangu mnaonaje mkauze hela mniletee aisee yule mbaba akasema sawa mzee tuamini yule mzee akasema bhasi mniachie hata Hela au kama hamna niachieni simu maana nawapa madini je msiporudi?? Aiseee sikujua sikujuaaa nikatoa simu na yule baba akampa yake tukachukua madini tukaanza kutembea tukakatisha kona kama mbili yule Baba akasema nisubiri hapa nihakikishe yule babu asijetutoroka shika haya madini nakuja yani Nkajiona bonge la mjanjaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] likapita nusu saa mtu harudi ndo akili ikaja nifungue kikaratasi dadeki udongoo tu na maweee pale nlipomuacha babu nimerudi kweupee nyie nyiee Kulia nksashindwa kucheka nkashindwa nikabaki nimeduwaa kama dak 10 siamini kisimu changu na hela vimeenda[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Nkaanza safari ya kurudi home huku kama akili imeniruka ndo nkaanza kuliaa huku naendaa mbwaa wale walinifundisha uhuni mapema hadi leo Simuelekezi mtu yani hata iweje.
Hahahahaha

Mwenyekiti wa uzi wetu pendwa wa Kimasikhara uliingia kwenye mikono ya Wajuba wa kapaa na wewee[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kinga ya kuepuka utapeli ni kua tahadhari na kila mtu kama threat kwako

Kuna siku npo kwenye kivuko navuka kwenda magetoni kigamboni nikaona pisi mbili za chuga wananiangalia sana kila nikivunga kushangaa meli nikirudsha macho nakuta wananiangalia..

Mimi kawaida yangu siaminiagi vitu adimu Kuja kirahisi yani pisi kali kujilengesha kwangu nachukuliaga ni possibility ya mwsho apo nlkua na elfu 24 mfukon spidernyoka nawaza nasema hapa anaisaka hii 24k yule dem

Tulivoshuka tu kwenye MV magogoni naona wanakuja kwa upande wangu kwa kasi nikajua sasa ni muda wa kujihami au nifanye maujanja ya U-P

Anakuja mdada mkubwa na mdogo ake wananisalimia mm nawajibu huku siwangalii usoni wananiuliza kaka unaelekea wapiii (naona huu mtego wa mdude) namjibu uongo namuacha naenda kupanda daldala

Nmekaa na wao tena wanapenda anakuja kukaa nyuma yangu ananambia kwann umetudanganya ikabidi nimwambie ukwel sasa akanambia amekuja kumpokea mdgo ake aanze MUNMA

Mpaka leo nataman nikutane nae sjaonana nae tena na jina sikumjua ila wasiwasi ndo akili heri ukose pisi kulko upigwe pesa

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu

Kwa muda mrefu nimekutana na kesi mbalimbali za watu kuibiwa kwa namna ya kupumbazwa akili ( hypnosis).

Unakutana na mtu anakusalimia, ukishaitikia tu ndo kosa lako[emoji51][emoji51] .. Unakuja kushtuka ulishampa simu, wengine huenda hata bank na kutoa hela na kuwapa hao matapeli.[emoji2365] imagine enzi niko sekondari kuna classmate yeye aliwapa mpaka mkanda wake wa kiunoni manzese pale[emoji16]

Binafsi sijawahi kukutwa na hayo maswaibu, ila najiuliza ni nini kinga ya watu kama hao au hii mbinu ina Apply kwa baadhi ya watu tu ?
Mpokee Yesu maishani mwako kama bado hujampokea. Huyu ni komesha. Mimi ni shahidi wake.
 
Kama hata wewe tu hujawahi fanyiwa hivyo, na umesikia tu stori mtaani kwanini tuhangaike na mambo ya kusadikika wakati mambo halisi yametushinda?
Acha kujifanya Bashite wewe
 
Dawa ni kuwa na Yesu moyoni.

Mtu yeyote aliyeokoka kwa maana ya kuzaliwa mara ya pili huwa anazungukwa na jeshi kubwa la malaika walinzi, ni kwa vile haya macho yetu ya damu na nyama hayana uwezo wa kuona, ila ndio uhalisia.

UHAKIKA NI KUWA MTU ALIYEMKABIDHI YESU MAISHA YAKE ANA UHAKIKA WA MAISHA HAYA NA YALE YAJAYO (YA MILELE)

Jesus is LORD!
 
Back
Top Bottom