Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

kwanini ulitaka kumkata mtu na panga?[emoji3][emoji3][emoji3]
 
kwanini ulitaka kumkata mtu na panga?[emoji3][emoji3][emoji3]
Nakumbuka ilikuwa ni 2009,jamaa alikuwa anaitwa shamimu na alinikata mtama mtakatifu kisa tupo kwenye mchezo then nikataka kwenda uani, nilikuwa nasafa (nipo zamu) japo wengine waliokuwa wanasafa waliacha bila sababu na hawajawazingua, baada ya kunikata mtama nilimrushia kipande cha zege kikamchana shingoni then nikaenda home hapo naunguruma kama nimepandisha mashetani,akaona haitoshi akaja yy na mwenzake home huku wananyemelea (the guy lived nextdooor) so niliwaona kwa dirishani nikaenda room ya mshua kuchukua panga then nikajificha nyuma ya mlango wa kuingilia ndani. Alivyoingia tu sikumbuki ilikuwaje ila nilishtuka nimepokonywa panga na mama huku nje wakiwa wamejaa watu na kipind nilikuwa nina kigugumizi kibaya mno

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
I am ambivert

Sina habari kulia nipo,kushoto nipo.
 
mademu vipi?
 
Ni kweli tunapata taabu sana kuchangamana na watu wenye IQ ndogo kama maccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…