Kamanda wa Kweli
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 1,448
- 845
Hahahahaaa dah hatari sanaKuna mpangaji wangu ananilipaga akitaka na wakati mwingine mambo yanakua yamenityt sana. nimeamua kumfujuza kisa siwezagi kumdai some tym nikimuona namkwepa... Dah!! Na bado hajahama ndio napanga kuwakabidhi madalali wamalizane nae.
Hahahaaa lo...no mercy au siyoKwaniaba ya familia tunasema asante.
Mazingira yamesaidia kidogo kuwa na mazoea nao coz wapangaji ndio majirani zangu... ilichukua muda sana kuzoeana nao na bado hata mazoea tuliyo nayo ni ya salaam tuu coz bado hawajaweza kunizoea watakavyo zaidi ya mimi nitakavyo.
ninachowashangaza kama ni issue yakupeana misaada ya kijamii najitoa kwa hali na mali na ikiwa ni issue wanezingua nawazingua live na katika mazingira ambayo hawayategemei..
Mfano japo nashindwaga kudai pindi wacheleweshapo kodi ila ninapokua katika kulizungumzia hilo nawabadirikia kabisa... kama hapa nimekomaa waondoke tena nimejataa na kodi yao ya mwezi huu kiasi wamemtumia hadi balozi ila binafsi roho yangu imekataa kabisa na nimewaambia hata miezi.miwili yakutafuta pakukaa nawapa wakae bure ila kwangu wasepe kisa kuchelewa kunilipa...
Kutokana na kulialia kwao nimewakabidhi madalali watafute mpangaji na nimewaambia ukifika muda niliowapa kuhama wawe wamehama mi nimejipa safari nitarudi wakishahama nisije kuwaonea huruma bure.
Naongezea sifa zengne tulizo nazo ma introvert...
1-: hatujui kuchagua vitu hasa rangi au umbo....yaani unaweza ukatoka nyumban kwenda dukan kununua labda nguo aina flan rangi flani ile nguo ukaikosa apo Sasa muuzaji anaweza akakuuzia rangi yyte ata usiopenda na ukashindwa ata kukataa...unalipa unasepa uku ukijifariji.
2-:wapekuzi sana wa mambo yaani Kama unamauhusiano na bint utampekua bila yeye kujua adi mambo yasiopekurika mwsho wa sku huwa tunabaki na siri moyoni wala hatuwaambii wale tulio wapekua..
3-: hatupendi kutishwaa....mfano kutishwa utoe kitu fulani ili upate kitu fulani,
4-:hatuwezi kusimulia vtu kwa mdomo...tunaweza tukasoma vtu tukavielewa Ila Kwenye kuvipresent tukashindwa.
5:- huwa tunatamani tuwe tofauti na tulivyo Ila tunajikuta tupo hvyohvyo,usipojijua utabaki unaishi maisha ya kuiga tu.
6-:tunapenda Sana kufanya mapenzi Ila hatupendi tuonekane katk hali hyo...
7-: wapenzi wetu Mara nyingi ni wale marafiki zetu wa karbu sana...tulio wazoea ndo hao hao tunawatongoza.
Naon kama naelekea kuchelew kuoa km ww...yaan hata interaction na warembo zero....hahaahaNi kweli mimi mwenyewe nilichelewa sana mahusiano.
Mimi nilipata demu wa kwanza na kumvua nguo nikiwa chuo na umri wa miaka 25.
Nilioa nikiwa na miaka 34
Naon kama naelekea kuchelew kuoa km ww...yaan hata interaction na warembo zero....hahaaha
una miaka mingapi?je unasoma au ni mfanya kazi?
Mkuu mi mfanyabiashara tu kwa sasa.......nilishamaliza chuo miaka 4 iliopota
Madhara gan mkuu,tusaidie kwa faida ya wengi!!! Yaan naona km ntamsumbua mwanamke kwa sasa, im bisy na most of time i fall in love to be aloneJitahidi uoe mdogo wangu,kucjelewa kuoa madhara yake ni makubwa sana mimi nimeyashuhudia
na kwako pia!Heri ya mwaka mpya kwa introverts
Bado mkuu.Vipi mkuu umeoa
Aya mambo haya Acha tuu..!! Inabidi tufike huko tuuHahahaaa lo...no mercy au siyo
Kwenye kupigiwa simu ni ghafla tu unaishiwa maneno.😀Pia introverts wanapendelea kuchati kwa meseji na sio kupigiwa simu.
Hii inanikuta sana mkuu, imagine upo mpweke ukiletewa watu unatamani kuwakimbia. Ukiwa peke yako tena kuna muda unatamani uwe na watu. Ukijaribu kubadilika ndo unaharibu kabisa.Dah aisee.
Mawazo, kuwaza Sana hii Hali inaniumiza sana. Nina marafiki wachache na sio mwepesi kushare kila kitu kwa watu.
Sio mwepesi kumzoea mtu, mara nyingi niko kimya, huwezi kunikuta vijieweni mara nyingi.
Kazini dereva wangu ni muongeaji Sana lakini kuna musa naona ananiboa Mana nakua kimya nikitafakari mambo mengi kichwani.
I hate this situation yani,I'm not happy wakati sitakiwi kuwa hivi.
Kipindi flani niko chuo nilienda hospital moja,daktari alivyoniona akaniita akaniuliza unawaza nini?akanipa ushauri na kunisihi nipunguze mawazo,haya maisha yapo tu.its almost 5 years lkn bado nakumbuka ushauri wake.
Sometimes nachukia kuwa introvert Mana nahisi najiua kimya kimya.
Mimi rafiki zangu wa kike huwa wananijua, wakiniudhi wanashangaaga tu niko kimya na huwa siwaambii kama wameniudhi ila ile hali ya kupungua kwa interaction huwafanya wanitafute kwa kasi na wakati mwingine wananifuata kazini na kuulizia shida nn.Hivi kushindwa kusamehe ni tabia ya introvert pia au ni litabia langu tu libaya?. Binafsi huwa sio mtu wa kukasirika kirahisi, mtu anaweza kunifanyia kitu kibaya sana na nikawa namchekea tu. Ila ikitokea siku nikakasirika, hiyo ndo nitolee....hata atembee kwa magoti kutoka kwake hadi nilipo siwezi hata kifikiri kumsamehe.
Huu ni mwezi sasa tangu rafiki yangu wa karibu sana (jinsia ke) anitamkie kauli ambayo sikuipenda (si kauli mbaya sana kiasi hicho na nadhani alisema katika hali ya kunitania), kuanzia siku hiyo nilamfungia vioo. Ametuma meseji kibao akiniomba lakini sijajibu hata meseji moja na sina mpango wa kujibu, amepiga simu sana lakini sipokei na sina mpango wa kupokea. Mpango nilionao ni kumwondoa mbali kabisa na maisha yangu.
Yeye ndiye alikuwa alikuwa rafiki yangu wa pekee wa kike. Tumepitia nyakati nzuri sana na yeye tukiwa kama marafiki wa karibu.
Sasa hivi nimebaki mwenyewe tena, nikiwa alone ni mwendo wa kubadili vifaa tu. Mara nishike simu, mara nishike peni na daftari, mara nitupe peni nichukue penseli, mara nishike pc, mara nishike kitabu.
Ila napenda jinsi nilivyo.
I see me here.Mimi maisha yananibadilisha, now ni introvert niliyechangamka.
Kilichobaki ni kutokuweza kuchangamana na watu kabisa, kutumia muda mwingi peke yangu, mtu akiwa hanipi amani namuondoa kabisa kwenye maisha yangu. Kukaa kimya kunazidi kupungua now mtu akinikera Nampa live.
Napata amani zaidi nikiwa peke yangu
Na wewe unachangamka!?[emoji28]
Huwa naangalia niko na nani[emoji23][emoji23] mtu akijiloga akasema aombe urafiki na mimi amekwisha, sana sana atasema nna dharau!Na wewe unachangamka!?[emoji28]