Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Kweli kabisa, mimi nilikua sifuatilia kabisa hata speech za viongozi ila after JPm nimekua namfuatilia mno. And I was Loyal to him, Ngoja tuone kama Samia atanishawishi niwe Loyal kwake.

Huyu jamaa itakua ni muhanga wa wapiga dili ambae Magu alipita nae
 
Sina mapenzi ya aina yoyote na chama chochote cha kisiasa ila nina mapenzi na mtu anaefanya kazi ikaonekana na kuliweka taifa mbele hata kama atatoka chadema,act na au hata ccm.

Magufuli ataendelea kuishi moyoni mwangu miaka yote.kwangu ni Shujaa.

ameondoka mapema mno🥺🥺🥺🥺🥺💔💔💔

Magufuli baba Mungu akupe pumziko la milele🙏
 
We ni noma
 
Hahah! Mm kazi zenyewe nafanyia kwenye pc home mwanzo mwisho ndani nikichoka nacheza game mwenyewe au move mda wa kutoka ni kwenda kula dakika kadhaa nmerud [emoji16][emoji16]
Mmh hapa kama nakufananisha hivi
 

[emoji1431]
 
Nachojikubali mimi kama mtu wa hii calibre ni kuwa tunapenda kutumia efforts zetu hatupendi slope lbda iwe ni kwa issue kubwa sana. In short tunapenda kutumia nguvu zetu kutatua mambo. Ila nguvu zetu zikifika. Kikomo ndio huomba msaada kwa wale wanaotuelewa. Mf mimi nilivokuwa nasoma nikiishiwa pocket money ni hadi mzazi mwenyewe ashtuke. Kuna likizo fulani imefika siku ya kufunga shule mie nimejiwekea kiakiba changu kama nauli wala sijaomba hela kitambi nyumbani basi mzazi akahisi hizi si tarehe za kufunga chap akaagiza mtu aniletee hela shule. Cha ajabu nilivofika home pesa yao nikawapa.
Napenda kujitegemea aisee.
 
Mimi huwa naweza kucheza tu kimoyomoyo practically mmh!
Hivi wenzangu mnawezaje kufit In na watu??🙄
Kiukwekeli naishi kama niko mwenyewe duniani, Najitahidi sana kujaribu kua karibu na watu naomba namba za watu ila nikishachukua namba tu naifuta. Yaani simu yangu kukaa wiki haijapigiwa wala kutumiwa text ni kitu cha kawaida coz tatizo lipo kwangu I push people back.
Mtu akijitahidi kua nami karibu na mawasiliano nawahi kuboreka namblovk au sijibu jumbe zake... I'm living Vagrantly asee.

Basi Mungu angenipa uwezo mzuri wa kuzungumza mbelel za watu.. Hii kitu inanitesa sana (being introvert) wala sijidai maana nakosa mengi na siijui maisha yangu yatakuaje huko mbeleni
John Joba
 
Duuuh kumbe hii tabia ya kupenda kujitegemea n kwa introvert wote asee. Mm home cjawahi kuznguliwa chochote yaan mda mwngne narud saa 7 usku lakn hakuna anaeniuliza. Lakn nliamua tu kutafta geto langu yaan nlijikuta tu nlijiskia tu kujitegemea
 
Jitahd kukaa maeneo yenye watu wanaopiga story mfano kwny vibandaumiza n.k mm ni introvert ila sometimes naongea mpaka huezi amini kama ndo mm.
 
Hahah! Mm kazi zenyewe nafanyia kwenye pc home mwanzo mwisho ndani nikichoka nacheza game mwenyewe au move mda wa kutoka ni kwenda kula dakika kadhaa nmerud [emoji16][emoji16]
Kazi gan unafanya huko online mkuu, huenda ukatusaidia na sie introvert wenzako hapa kujikwamua kiuchumi.

Mana kutokana na personality zetu tunajikuta tunapitwa na michongo ya hela, biashara na ajira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…