Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Mbona siku zote hua nimechangamka asee basi tu nyie sijui mnanionaje😅😅
Sema wewe hujanizoea tu yaani ukinizoea hutaamini kama ndio mimi na lazima ujute🏃🏃🏃
Aaah wewe huyo,,, 😂😂😂
 
Aaah kweli hakuna jipya chini ya jua

Yaani mi bado nafanyia utafiti natafuta results halafu kuna mwamba huku alishadiscuss na kutoa hitimisho kabisa!!!

Yoote uloyaandika basi yanashabihiana na majibu kwamba hawa ni watu wanaopendelea zaidi kushughulisha bongo zao wakianzia upande wa kushoto. Logical& analytical.

Kijiutafiti nachozungumzia kiliendeshwa katika uzi huu hapa
 
Huu Uzi nilikua wapi kuuona kumbe kuna watu kibao wa ulimwengu wangu. Ninashukuru niliamua kukubaliana na hii hali kwa kuamini kua tumeumbwa tofauti ila sikuwahi kudhani kwamba tupo wengi tulipo kwenye kundi hili maana kwenye kila jamii ninayokuwepo sijawahi kuwaona. Yaani sifa tajwa ktk mada zaidi ya 90% ninazo, ilifika hatua hadi juzi kati nikawa najishangaa kwenye ushabiki wa simba na yanga cku zote mimi ni simba lakini baada ya manara kutimuliwa simba nikawa nafurahia simba kufungwa na yanga kisa tu nitaumia jinsi manara atakavoshambuliwa kwa maneno. Unaweza nikawa ni shabiki/mfuasi wa upande flani lakini ikitokea ushindi wa huo upande ukasababisha maumivu kwa upande opposite inaniumiza sana. Sinaga maneno zaidi ya salami, kuuliza au kujibu nilichoukizwa, ni Mimi na mambo yangu na cm/PC yangu basi. Nahudhuria sana kwenye mambo ya kijamii hasa ya kihuzuni lakini kwenye masherehe nadra saana na iwe very necessary. In short Niko unique sana na jamii ila naishi nayo peace sana.
 
Da'Vinci nna swali kwako na wataalamu wengine humu.

Umeshauri na kukazia kuhusu urafiki na timu kwamba introvert akipartner na extrovert wanascore saaana

Sasa vipi kuhusu ndoa na mahusiano🤔? Sijaanza leo kufuatilia hili suala nna uzi uliosuggest potential soulmates wafikirie sawa. Was I wrong? what is your take mtaalamu....

Je vizuri wakapair wao kwa wao au wapee na extroverts???

Nawacheki hapa akina Kapeace na Pyaar na wengineo najiuliza what if😋🤭[najua hizo ni avatar tu pengine]. Will it work kwa watu kama hao!?

Kimsingi natamani nidate na kaintrovert kamoja au tuwili nione pia, extroverts nilodatigi nao naona miyeyusho mingi. Ajitokeze basi age 19-27, and am not joking. Sijui hii itakanusha maana wanasema introverts ni wasiri. Potelea pote ni wasiri na wanajiamini pia
 
Da'Vinci nna swali kwako na wataalamu wengine humu.

Umeshauri na kukazia kuhusu urafiki na timu kwamba introvert akipartner na extrovert wanascore saaana

Sasa vipi kuhusu ndoa na mahusiano🤔? Sijaanza leo kufuatilia hili suala nna uzi uliosuggest potential soulmates wafikirie sawa. Was I wrong? what is your take mtaalamu....

Je vizuri wakapair wao kwa wao au wapee na extroverts???

Nawacheki hapa akina Kapeace na Pyaar na wengineo najiuliza what if😋🤭[najua hizo ni avatar tu pengine]. Will it work kwa watu kama hao!?

Kimsingi natamani nidate na kaintrovert kamoja au tuwili nione pia, extroverts nilodatigi nao naona miyeyusho mingi. Ajitokeze basi age 19-27, and am not joking. Sijui hii itakanusha maana wanasema introverts ni wasiri. Potelea pote ni wasiri na wanajiamini pia
Mi ni km sienei na hii comment yako,, ni kweli ninazo tabia (baadhi) za introvert,, Nina zaidi ya 27 yrs, avatar niliyoweka sio mimi,
 
Let me break this for you mate.
Kutokana na maisha yalivyo kumefanya Duniani kuwepo makundi mawili ya watu ambayo Wolves (Mbwa mwitu) na Sheep(Kondoo) wewe binafsi ndio unachagua upendavyo kua je uwe kondoo uliwe au uwe mbwa mwitu ule kondoo.
Sasa kutokana na characteristics za Introvert wengi wanachagua kua kondoo coz wengi hupenda kua wema. Sasa hapo ukishaingia kwenye mtego wa wema jua tu kwamba tayari wewe ni kondoo na mbwa mwitu lazima wakutafune tu.

Hicho ndio nachozungumza hapa.. Introvertism inakufanya uwe kondoo hivyo utaliwa sana hadi uone kua introvert ni curse. Wolves will use you and Will Take advantage of you.

Kama haijakupata keep waiting mate soon or later you'll approve my fact
Daah mkuu so emotional. Tushajigundua tulivo let's be proud of who we are, hasira tuzielekeze kwenye utafutaji, pesa ndo iwe siraha yetu. Binafsi ni kondoo ila sikubali kuonewa, huko mahakamani pesa itanisimamia through advocate na takrima[emoji2]. Umeanzisha Uzi mzuri sana sana ila unaniumiza for how feel with the situation.
 
Mkuu kweli hakuna jipya chini ya jua.. Mimi hua siwezi kujieleza vyema mbele ya Watu ila kichwa changu kimejaa madini balaa ila siwezi kuyawasilisha kwa kuongea. So Nilikua naumiza kichwa jinsi ya kuunda kifaa ambachoi kitakua kinarekodi na kutoa yale yaliyomo kichwani through Neural Transmitting si unajua kichwani tuna umeme?? Yaani usiku Nilikua nateseka jinsi ya kukifanya kifanye kazi Biological and Technological.

You know what nilikuja kugundua Elon musk alishalifanyia kazi swala hilo halafu vilevile nilivyokua nafikiri ifanye kazi ndio inavyofanya kazi. Hopefully you know about Neural Link project.

Unachofikiria leo kuna mtu alishakiwaza au anakiwaza Right now
Aaah kweli hakuna jipya chini ya jua

Yaani mi bado nafanyia utafiti natafuta results halafu kuna mwamba huku alishadiscuss na kutoa hitimisho kabisa!!!
 
Halafu kuhusu Matumizi ya right and left brain nilishawahi kuyazungumzia pia 😅😅
Pita hapa....
uloyaandika basi yanashabihiana na majibu kwamba hawa ni watu wanaopendelea zaidi kushughulisha bongo zao wakianzia upande wa kushoto. Logical& analytical.

Kijiutafiti nachozungumzia kiliendeshwa katika uzi huu hapa
 
Mi ni km sienei na hii comment yako,, ni kweli ninazo tabia (baadhi) za introvert,, Nina zaidi ya 27 yrs, avatar niliyoweka sio mimi,
Asante kwa majibu, wacha nimtafute zaidi.

Tangu mwanzo nilihisi tu sio avatar yako maana kulingana na sifa ingejipinga yenyewe na introverts
 
Hii ni Dharau iliyopitiliza asee😅, Dare me, Just dare me Kapeace. Utajua hujui nakwambia
Kuna dalili za kulambwa faini na mtani wangu,, sikumaanisha kukudharau Vinci,, ngoja nikufungulie mlango,, usiniroge tu lakini😂😂
 
Halafu kuhusu Matumizi ya right and left brain nilishawahi kuyazungumzia pia 😅😅
Pita hapa....
Anhaa basi nimegundua kitu:

Inaonekana wengi wetu tumeshajitambua na kutambua position yetu katika society na matokeo yake bila hata kuambizana tumeshaanza kampeni za uelimishaji wa jamii kuhusu sisi.

Basi kazi iendelee
 
Da'Vinci nna swali kwako na wataalamu wengine humu.

Umeshauri na kukazia kuhusu urafiki na timu kwamba introvert akipartner na extrovert wanascore saaana

Sasa vipi kuhusu ndoa na mahusiano🤔? Sijaanza leo kufuatilia hili suala nna uzi uliosuggest potential soulmates wafikirie sawa. Was I wrong? what is your take mtaalamu....
Naona mahusiano na mwanamke extrovert inamatch zaidi maana kuna mambo mwanamke atakusaidia kuyafanya hasa kwenye kuongea. Mimi naamini kila mwanamke pindi anapoingia kwenye ndoa akawa na watoto basi automatically anageuka kua Extrovert hata kama alikua introvert. Hebu chunguza hili utaona.. Hopefully Kapeace can enlight us more on this matter
Je vizuri wakapair wao kwa wao au wapee na extroverts???

Nawacheki hapa akina Kapeace na Pyaar na wengineo najiuliza what if😋🤭[najua hizo ni avatar tu pengine]. Will it work kwa watu kama hao!?

Kimsingi natamani nidate na kaintrovert kamoja au tuwili nione pia, extroverts nilodatigi nao naona miyeyusho mingi. Ajitokeze basi age 19-27, and am not joking. Sijui hii itakanusha maana wanasema introverts ni wasiri. Potelea pote ni wasiri na wanajiamini pia
Mchukue Pyaar atakufaa, kichwani uwe nondo lakini 😅
 
Mkuu kweli hakuna jipya chini ya jua.. Mimi hua siwezi kujieleza vyema mbele ya Watu ila kichwa changu kimejaa madini balaa ila siwezi kuyawasilisha kwa kuongea. So Nilikua naumiza kichwa jinsi ya kuunda kifaa ambachoi kitakua kinarekodi na kutoa yale yaliyomo kichwani through Neural Transmitting si unajua kichwani tuna umeme?? Yaani usiku Nilikua nateseka jinsi ya kukifanya kifanye kazi Biological and Technological.

You know what nilikuja kugundua Elon musk alishalifanyia kazi swala hilo halafu vilevile nilivyokua nafikiri ifanye kazi ndio inavyofanya kazi. Hopefully you know about Neural Link project.

Unachofikiria leo kuna mtu alishakiwaza au anakiwaza Right now
Mi nashukuru kwenye suala la kujieleza mbele za watu iwe ni presentation au na debate kujibu maswali nipo vizuri. Debate za skuli zilinijenga.

Niwaulize? unashindwaje kusimama mbele za watu na kuongea kama unaamini uko na madini adimu. Kama unaogopa kukosea basi unayapresent kama nadharia zaidi ili uwe safe. Haikatai kuweka mafact kwa kitu unachokiita 'nadharia' na ni nzuri zaidi maana inawapa watu power ya kukubali wenyewe fact na kusharabu idea yako.

Na kuhusu masuala ya neural link hadi telepathy ninayo idea nazo. Nimewahi kuyafuatilia.
 
Naona mahusiano na mwanamke extrovert inamatch zaidi maana kuna mambo mwanamke atakusaidia kuyafanya hasa kwenye kuongea. Mimi naamini kila mwanamke pindi anapoingia kwenye ndoa akawa na watoto basi automatically anageuka kua Extrovert hata kama alikua introvert. Hebu chunguza hili utaona.. Hopefully Kapeace can enlight us more on this matter

Mchukue Pyaar atakufaa, kichwani uwe nondo lakini 😅
Hapo kwenye kuwa na watoto ni kweli tunabadilika sana, nadhani ile hali ya inatufanya kuwa majasiri sana
 
Back
Top Bottom