Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Na wengi wao ni wanachama wa CHAPUTA hivyo wengi wao huishiwa nguvu za kiume na kupeleka kua stressed mwishoni hujinyonga Kwa kusalitiwa . Believe me
Mimi niliwahi kuwa chaputa ila miguvu bado ipo kama kawaida na kila demu ninayemchomeka lazima anisifie.
 
Naongezea sifa zengne tulizo nazo ma introvert...

1-: hatujui kuchagua vitu hasa rangi au umbo....yaani unaweza ukatoka nyumban kwenda dukan kununua labda nguo aina flan rangi flani ile nguo ukaikosa apo Sasa muuzaji anaweza akakuuzia rangi yyte ata usiopenda na ukashindwa ata kukataa...unalipa unasepa uku ukijifariji.

2-:wapekuzi sana wa mambo yaani Kama unamauhusiano na bint utampekua bila yeye kujua adi mambo yasiopekurika mwsho wa sku huwa tunabaki na siri moyoni wala hatuwaambii wale tulio wapekua..

3-: hatupendi kutishwaa....mfano kutishwa utoe kitu fulani ili upate kitu fulani,

4-:hatuwezi kusimulia vtu kwa mdomo...tunaweza tukasoma vtu tukavielewa Ila Kwenye kuvipresent tukashindwa.

5:- huwa tunatamani tuwe tofauti na tulivyo Ila tunajikuta tupo hvyohvyo,usipojijua utabaki unaishi maisha ya kuiga tu.

6-:tunapenda Sana kufanya mapenzi Ila hatupendi tuonekane katk hali hyo...

7-: wapenzi wetu Mara nyingi ni wale marafiki zetu wa karbu sana...tulio wazoea ndo hao hao tunawatongoza.
Ukweli mtupu niko hivyo pia.
Sipendi mtu ninapomuomba kitu aniwekee masharti huwa naumia sana hata kama hayo masharti nayamudu kuyatekeleza.
 
Introvert mie napata tabu sana ktk kufanya maamuzi magumu/seriously uongozi haunifai!!!!!

But vipi nikijengwa kuwa kiongozi nitashindwa kutimiza majukum yangu kwasababu n introvert??
Hata mimi niko hvyo.
Isipokuwa ninapokuwa kiongozi mahali na nikapewa nafasi ya kuongea za watu kwa vild ni mvivu wa kuongea huwa naingizia siasa na komedi kidogo ili kuwapunguza maswali.
 
Mimi ninazo chache za introvert na choleric..
mahusiano naona kama nipo maabara ya chemical hatari sana bado nachaguo hope ntapata malaika.
 
introverts wote wana sifa hizi

  • Wana uwezo mkubwa kiakili (high intelligence Quotient)
  • Ni wagunduzi wa mambo makubwa ya kisayansi
  • Wanamudu vizuri masomo ya sayansi na hesabu
  • Ni watu wenye pole pole na wasio na maneno mengi
  • Wana hisia kali za upendo na ni kundi linalosadikika kuwa na upendo wa dhati

- Wanawajali sana wenzao hasa wanapokuwa katika shida na matatizo(i.e ndio maana hawa huwa waombaji –wanamaombi wazuri sana kiimani)

Sifa zao nyingine ni pamoja na;
Kila kitu nimeguswa hapo Duh
 
dadeki huyo ni mimi kabisa,nimeshajaribu njia zote kujaribu kuchange ila hola,,
hapa Wana aibu nyingi sana hasa kwa watu wasiowafahamu wala kuzoeana nao ,..
Umegusa mulemule,,,
Kama umeona kuna mweusi hata mmoja kwenye hiyo list basi jiweke [emoji3][emoji3]
 
Mimi ninazo chache za introvert na choleric..
mahusiano naona kama nipo maabara ya chemical hatari sana bado nachagua hope ntapata malaika.
 
introverts wote wana sifa hizi

- Wana uwezo mkubwa kiakili (high intelligence Quotient)
- Ni wagunduzi wa mambo makubwa ya kisayansi
- Wanamudu vizuri masomo ya sayansi na hesabu
- Ni watu wenye pole pole na wasio na maneno mengi
- Wana hisia kali za upendo na ni kundi linalosadikika kuwa na upendo wa dhati

- Wanawajali sana wenzao hasa wanapokuwa katika shida na matatizo(i.e ndio maana hawa huwa waombaji –wanamaombi wazuri sana kiimani)

Sifa zao nyingine ni pamoja na;

- Wana huruma sana na hawapendi kuona wengine wakionewa
- Wanajitolea kwa haraka na kwa dhati katika mambo ya wengine

- Huondoa uchungu wao kwa machozi (wakiumizwa hulia haraka, hasa kwa upande wa wanawake/wasichana)

- Hawajiamini kwa mambo wanayoyafanya (hata wakiwa darasani si wepesi wa kunyoosha vidole ili kujibu maswali)

- Wanahesabu kushindwa kuliko kufanikiwa (mfano akitaka kuanzisha duka; badala ya kuwaza itakuwaje nikipata faida wanawaza itakuwaje kama duka litaibiwa ama kuungua moto, kwa maswali hayo anajikuta hata anafikia katika uamuzi wa kuahirisha uanzishaji wa mradi huo)

- Wakata tamaa wanapokosolewa.
- Wanapenda sana kutiwa moyo kiuhalisia.

Nyinginezo ni;

- Wanapenda kusoma, kusikiliza, na kusimulia mambo yenye tafakari na uchambuzi wa kina (hawapendi umbea)

- Wanapotoa mawaidha mahubiri ama ushauri wengi(wanaosikiliza) huwa wanaguswa nao na hubadilika haraka kutokana na mawaidha hayo ama ushauri ama mahubiri hayo.

- Hawapendi kuvunja taratibu, sheria za eneo husika.
- Wanapenda usafi na mpangilio mzuri wa vitu vyao

- Ni wa vumilivu sana katika hali mbalimbali (mfano wanapoonewa ama kuumizwa).

- Hawapendi kufuatilia mambo ya wengine pasipo sababu za msingi.

- Ni kundi mojawapo linaloathiriwa sana na magonjwa ya mashinikizo kutokana na kuwa wanawaza sana.

- Ni wagumu wa kusahau na hiyo imewasababishia kuwa wagumu wa kusamehe.

- Wanaumia sana wanapokosea ama kushindwa jambo Fulani

Pia, wanafahamika kwa;

- Wanajeruhika mioyo yao kirahisi (i.e wakiingiwa na pepo wabaya si rahisi kuwatoka kwa sababu ya kutunza uchungu kwa muda mrefu mioyono mwao)

- Wana busara na hekima nyingi
- Ni watu ambao wakiishika imani fulani wanajitahidi kuitimiliza sheria yote.
- Ni wepesi wa kutubia makosa yao na kutubu kwa ajili ya wengine.
- Wana aibu nyingi sana hasa kwa watu wasiowafahamu wala kuzoeana nao
- Ni kundi la watu wanoridhika haraka

- Masikini wengi kiuchumi duniani ni wa kutoka katika kundi hili kutokana na uoga wao wa kuanzisha mambo kwa kuhofia kushindwa.

- Watoto wanaozaliwa katika kundi hili inasadikiwa ni wengi huwa na ndoto za kufanikiwa mapema lakini ni wachache mno ambao huweza kutimiliza ndoto zao kutoka na uoga wa kuanzilisha mambo mapya.

- Kundi linalopenda amani na utulivu
- Wanaogopa sana matatizo, vikwazo na changamoto

- Katika familia baba na mama wakiwa melancolin upo uwezekano mkubwa kwa watoto kuharibika maadili kwa sababu hawa melancolin si wepesi wa kuadhibu.

Wana sifa nyingi sana, nyinginezo ni;

- Mara nyingi hupenda kuonesha sura za tabasamu hata kama wapo katika matatizo makubwa

- Hawapendi kumueleza kila mtu mambo yao binafsi
- Ni kundi la watu wenye marafiki wachache
- Wakati mwingine hupenda kujikataa.
- Ni waaminifu na wasema ukweli
- Wanapenda kusaidia wengine kupita hata uwezo wao
- Ni waaminifu sana kwa mambo ya kawaida na yale ya kiimani
- Hawapendi kujionesha mbele ya macho ya watu

- Hawa hawafai kuwa viongozi (si wazuri sana) kwa sababu wanapenda kusikiliza na kutafakari kila wanachoshauriwa hivyo hujikuta kuwa wanayumba kimisimamo. (mfano kama mkurugenzi/mwenyekiti wa eneo Fulani akiwa ni melancolin yafaa sana msaidizi wake awe ni colerick

Kingine kinachowanyima sifa ya kuwa viongozi wazuri ni kutokuwa na uwezo wa kujieleza kwa kujenga hoja zenye ushawishi mkubwa [Musa wa biblia alikuwa ni mmoja ya watu wa kundi hili, alikuwa hajiamini, anakata tamaa mapema, mlalamishi, asiyeweza kujieleza, licha ya kupewa msaidizi na Mungu bado tabia zake zilimuathiri na akajikuta anakosa nchi ya ahadi-Kaanani].

- Wanauhesabu upendo wa dhati kutokana na mambo wanayofanyiwa na sio kuambiwa (wanafurahia sana vitendo kuliko maneno}

- Kwa upande wa wasichana inasemekana kuwa ndio ambao wanasumbuliwa zaidi na maumivu ya hedhi, na kujifungua.
Nimejikuta najicheka peke yangu tu, 75% ya uliyosema yananihusu ila once tukizoeana na mtu tunakuwa free kuongea sometimes mtu anakukwaza unabakia kumsamehe bila kumwambia....!!!

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Mi binafsi nipo hivyo na najifahamu muda mrefu.
Hata marafiki huwa ni wale tunaokutana katika tukio fulani, michezo au kazi ila nje ya hapo napenda kutafakari vitu vipya nikiwa mwenyewe.
Mahusiano ni hadi mtu nimzoee sana na nimjue nje ndani ndio nakuwa nae.
Mimi ukitaka hata namba yako niifutilie mbali niletee habari ya "kuna mtu anakusema hivi na vile" ntakuchukia daima. Nafurahi na najikubali japo watu kunielewa huwa wanapata tabu sana.
 
Back
Top Bottom