Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Fellow introvert leo mmeenda viwanja gani kusherekea valentine na watu wenu
 
Hauko peke yako Mimi pia Niko hivyo nachukia sana kua hivyo Ila niliumbwa hivyo jamii inatakiwa ielewe kua tumeumbwa tofauti
Mie kwa upande wangu tangu nipo mdogo (kuanzia 10yrs) nilikuwa sipendi kuchangamana na wenzangu, nikitoka shule chumbani hadi kufikia wazazi wangu kuichukia tabia yangu, yaani rafiki zangu wakija kunisalimia nipo radhi nivunge nimelala usingizi ili tu waniachie nafasi ya kuwa peke yangu.

Hii tabia niliendelea nayo hadi secondary school, nilikuwa sipendi kitu chaitwa discussion, ni mwendo wa kupiga msuli mwenyewe.

Pia nimekuwa mchaguzi sana wa marafiki, wale wambea, tantalila nyingi hatuivi zaidi ya salamu, sipendi kusikia mtu ananiletea stori za ooh sijui fulani alikuwa anakusema hivi na hivi, akisikia aliache huko huko.

Kuhusu hisia za upendo ninazo sana iwe kwa rafiki ama mpenzi, na kuhusu kusaidia nachukua tatizo la mtu kama la kwangu, hii imepelekea kudhulumiwa sana na watu niliowaamini na kuwasaidia. Huwa naguswa sana.
Sasa sijui nadondokea wapi?
Da'Vinci
 
Jitahidi kujichanganya na watu ndugu zangu...
Mimi nakosa mengi sana kwa hali hii[emoji22]
Hahaha ndugu, kwa nini usianze wewe kujichanganya? Dah... Mimi nilishafika age ya kuoa, Ila sina mahusiano wala ukaribu na mdada yeyote na nilishazoea hivi. Wadogo zangu walishaoa Mimi bado...! Tutajua mbele ya safari.
 
Naongezea sifa zengne tulizo nazo ma introvert...

1-: hatujui kuchagua vitu hasa rangi au umbo....yaani unaweza ukatoka nyumban kwenda dukan kununua labda nguo aina flan rangi flani ile nguo ukaikosa apo Sasa muuzaji anaweza akakuuzia rangi yyte ata usiopenda na ukashindwa ata kukataa...unalipa unasepa uku ukijifariji.

2-:wapekuzi sana wa mambo yaani Kama unamauhusiano na bint utampekua bila yeye kujua adi mambo yasiopekurika mwsho wa sku huwa tunabaki na siri moyoni wala hatuwaambii wale tulio wapekua..

3-: hatupendi kutishwaa....mfano kutishwa utoe kitu fulani ili upate kitu fulani,

4-:hatuwezi kusimulia vtu kwa mdomo...tunaweza tukasoma vtu tukavielewa Ila Kwenye kuvipresent tukashindwa.

5:- huwa tunatamani tuwe tofauti na tulivyo Ila tunajikuta tupo hvyohvyo,usipojijua utabaki unaishi maisha ya kuiga tu.

6-:tunapenda Sana kufanya mapenzi Ila hatupendi tuonekane katk hali hyo...

7-: wapenzi wetu Mara nyingi ni wale marafiki zetu wa karbu sana...tulio wazoea ndo hao hao tunawatongoza.
Weee mganga wewe
 
introverts wote wana sifa hizi

  • Wana uwezo mkubwa kiakili (high intelligence Quotient)
  • Ni wagunduzi wa mambo makubwa ya kisayansi
  • Wanamudu vizuri masomo ya sayansi na hesabu
  • Ni watu wenye pole pole na wasio na maneno mengi
  • Wana hisia kali za upendo na ni kundi linalosadikika kuwa na upendo wa dhati

- Wanawajali sana wenzao hasa wanapokuwa katika shida na matatizo(i.e ndio maana hawa huwa waombaji –wanamaombi wazuri sana kiimani)

Sifa zao nyingine ni pamoja na;

  • Wana huruma sana na hawapendi kuona wengine wakionewa
  • Wanajitolea kwa haraka na kwa dhati katika mambo ya wengine

- Huondoa uchungu wao kwa machozi (wakiumizwa hulia haraka, hasa kwa upande wa wanawake/wasichana)

- Hawajiamini kwa mambo wanayoyafanya (hata wakiwa darasani si wepesi wa kunyoosha vidole ili kujibu maswali)

- Wanahesabu kushindwa kuliko kufanikiwa (mfano akitaka kuanzisha duka; badala ya kuwaza itakuwaje nikipata faida wanawaza itakuwaje kama duka litaibiwa ama kuungua moto, kwa maswali hayo anajikuta hata anafikia katika uamuzi wa kuahirisha uanzishaji wa mradi huo)

  • Wakata tamaa wanapokosolewa.
  • Wanapenda sana kutiwa moyo kiuhalisia.

Nyinginezo ni;

- Wanapenda kusoma, kusikiliza, na kusimulia mambo yenye tafakari na uchambuzi wa kina (hawapendi umbea)

- Wanapotoa mawaidha mahubiri ama ushauri wengi(wanaosikiliza) huwa wanaguswa nao na hubadilika haraka kutokana na mawaidha hayo ama ushauri ama mahubiri hayo.

  • Hawapendi kuvunja taratibu, sheria za eneo husika.
  • Wanapenda usafi na mpangilio mzuri wa vitu vyao

- Ni wa vumilivu sana katika hali mbalimbali (mfano wanapoonewa ama kuumizwa).

- Hawapendi kufuatilia mambo ya wengine pasipo sababu za msingi.

- Ni kundi mojawapo linaloathiriwa sana na magonjwa ya mashinikizo kutokana na kuwa wanawaza sana.

- Ni wagumu wa kusahau na hiyo imewasababishia kuwa wagumu wa kusamehe.

- Wanaumia sana wanapokosea ama kushindwa jambo Fulani

Pia, wanafahamika kwa;

- Wanajeruhika mioyo yao kirahisi (i.e wakiingiwa na pepo wabaya si rahisi kuwatoka kwa sababu ya kutunza uchungu kwa muda mrefu mioyono mwao)

  • Wana busara na hekima nyingi
  • Ni watu ambao wakiishika imani fulani wanajitahidi kuitimiliza sheria yote.
  • Ni wepesi wa kutubia makosa yao na kutubu kwa ajili ya wengine.
  • Wana aibu nyingi sana hasa kwa watu wasiowafahamu wala kuzoeana nao
  • Ni kundi la watu wanoridhika haraka

- Masikini wengi kiuchumi duniani ni wa kutoka katika kundi hili kutokana na uoga wao wa kuanzisha mambo kwa kuhofia kushindwa.

- Watoto wanaozaliwa katika kundi hili inasadikiwa ni wengi huwa na ndoto za kufanikiwa mapema lakini ni wachache mno ambao huweza kutimiliza ndoto zao kutoka na uoga wa kuanzilisha mambo mapya.

  • Kundi linalopenda amani na utulivu
  • Wanaogopa sana matatizo, vikwazo na changamoto

- Katika familia baba na mama wakiwa melancolin upo uwezekano mkubwa kwa watoto kuharibika maadili kwa sababu hawa melancolin si wepesi wa kuadhibu.

Wana sifa nyingi sana, nyinginezo ni;

- Mara nyingi hupenda kuonesha sura za tabasamu hata kama wapo katika matatizo makubwa

  • Hawapendi kumueleza kila mtu mambo yao binafsi
  • Ni kundi la watu wenye marafiki wachache
  • Wakati mwingine hupenda kujikataa.
  • Ni waaminifu na wasema ukweli
  • Wanapenda kusaidia wengine kupita hata uwezo wao
  • Ni waaminifu sana kwa mambo ya kawaida na yale ya kiimani
  • Hawapendi kujionesha mbele ya macho ya watu

- Hawa hawafai kuwa viongozi (si wazuri sana) kwa sababu wanapenda kusikiliza na kutafakari kila wanachoshauriwa hivyo hujikuta kuwa wanayumba kimisimamo. (mfano kama mkurugenzi/mwenyekiti wa eneo Fulani akiwa ni melancolin yafaa sana msaidizi wake awe ni colerick

Kingine kinachowanyima sifa ya kuwa viongozi wazuri ni kutokuwa na uwezo wa kujieleza kwa kujenga hoja zenye ushawishi mkubwa [Musa wa biblia alikuwa ni mmoja ya watu wa kundi hili, alikuwa hajiamini, anakata tamaa mapema, mlalamishi, asiyeweza kujieleza, licha ya kupewa msaidizi na Mungu bado tabia zake zilimuathiri na akajikuta anakosa nchi ya ahadi-Kaanani].

- Wanauhesabu upendo wa dhati kutokana na mambo wanayofanyiwa na sio kuambiwa (wanafurahia sana vitendo kuliko maneno}

- Kwa upande wa wasichana inasemekana kuwa ndio ambao wanasumbuliwa zaidi na maumivu ya hedhi, na kujifungua.
Haya yote umeyajulia wapi?
 
Jitahidi kujichanganya na watu ndugu zangu...
Mimi nakosa mengi sana kwa hali hii😢
Jikubali mkuu cause you have nothing to lose
Mi najikubali jinsi nilivyo japo home wananisema sana but I can't run from myself. To change the way I am is too risk for me , and I can't afford it.
I don't want to fake the real me
 
Jikubali mkuu cause you have nothing to lose
Mi najikubali jinsi nilivyo japo home wananisema sana but I can't run from myself. To change the way I am is too risk for me , and I can't afford it.
I don't want to fake the real me
Mimi mwenyewe napenda kua mimi I'm very Certain person. I preserve the Inner Me. Naona tu changamoto ambazo hua nakutana nazo ndio maana nawaambia wengine wajichanganye. The world is UnComfortable to people like Us
 
Mimi mwenyewe napenda kua mimi I'm very Certain person. I preserve the Inner Me. Naona tu changamoto ambazo hua nakutana nazo ndio maana nawaambia wengine wajichanganye. The world is UnComfortable to the people like Us
By the way, vipi kwenye swala la kuoa/kuolewa kwa upande wako au wewe unaonaje? Namaanisha, kwa upande wangu naona kama nabagua mno, nikiongea na mtu nataka na yeye awe na level kubwa/ya juu kwenye kuekewa mambo mbalimbali. Napenda mtu awe anajiuliza (reasoning), au walau awe na njaa ya kujifunza na kutamani kujua mambo mbalimbali. Hiyo imenifanya kuwa mbali na watu wa upande wa pili. Na taking into consideration kuwa, nachukulia mwenzangu kama ndio atakuwa rafiki yangu wa karibu, hivyo hii tabia ya Mimi kuwa na maswali mengi, yasiyoisha, inaweza kupelekea Mimi kuona huyo mtu in mzigo. Au, yeye anaweza kuona kama namnyanyasa kwa sababu ya elimy nk. Wewe una mtazamo gani katika hili kaka? Naomba elimu tafadhali.

Natanguliza shukrani kaka.
 
By the way, vipi kwenye swala la kuoa/kuolewa kwa upande wako au wewe unaonaje? Namaanisha, kwa upande wangu naona kama nabagua mno, nikiongea na mtu nataka na yeye awe na level kubwa/ya juu kwenye kuekewa mambo mbalimbali. Napenda mtu awe anajiuliza (reasoning), au walau awe na njaa ya kujifunza na kutamani kujua mambo mbalimbali. Hiyo imenifanya kuwa mbali na watu wa upande wa pili. Na taking into consideration kuwa, nachukulia mwenzangu kama ndio atakuwa rafiki yangu wa karibu, hivyo hii tabia ya Mimi kuwa na maswali mengi, yasiyoisha, inaweza kupelekea Mimi kuona huyo mtu in mzigo. Au, yeye anaweza kuona kama namnyanyasa kwa sababu ya elimy nk. Wewe una mtazamo gani katika hili kaka? Naomba elimu tafadhali.

Natanguliza shukrani kaka.
Nipe muda nitakurudia mate...✌️
 
By the way, vipi kwenye swala la kuoa/kuolewa kwa upande wako au wewe unaonaje? Namaanisha, kwa upande wangu naona kama nabagua mno, nikiongea na mtu nataka na yeye awe na level kubwa/ya juu kwenye kuekewa mambo mbalimbali. Napenda mtu awe anajiuliza (reasoning), au walau awe na njaa ya kujifunza na kutamani kujua mambo mbalimbali. Hiyo imenifanya kuwa mbali na watu wa upande wa pili. Na taking into consideration kuwa, nachukulia mwenzangu kama ndio atakuwa rafiki yangu wa karibu, hivyo hii tabia ya Mimi kuwa na maswali mengi, yasiyoisha, inaweza kupelekea Mimi kuona huyo mtu in mzigo. Au, yeye anaweza kuona kama namnyanyasa kwa sababu ya elimy nk. Wewe una mtazamo gani katika hili kaka? Naomba elimu tafadhali.

Natanguliza shukrani kaka.
Mate very sorry for taking too long to answer you ✌️
Firstly I'm not fond to sex... It's my last thing to regard when. Anyway niishie hapa!
Napenda Mpenzi wangu awe zaidi ya rafiki, nimpende nae anipende back tushee vitu (materials) na maarifa mbalimbali. Nikipenda mtu hua Napenda mtu mmoja tu..

Binafsi hua ninaangalia vitu vitatu ili nimpende mtu Deeply and Madly.
✓Smartness, hua napenda sana mwanamke Inteligent ambae mkikaa mnaongea mnajadiri vitu kwa utashi na akili sio kukaa tunaongea umbea au maisha ya Insta n the likes.
Namuheshimu sana mwanamke nayeweza kukaa tukajadili Imani,sayansi,Uchumi nk nk.. Napenda sana kujibu maswali hivuo basi hua napenda mwanamke anayeweza kuunda maswali technical kutoka field yoyote.

✓✓Being Humble
Mimi ni mtu mpole na mtulivu napenda pia nawake wa aina hii.. Mwanamke mwenye aibu zake na heshima sio kila kitu anaongea bila kujali wewe utachukulia vipi. Napenda mambo yangu kuyatatua kwa njia ya amani na upendo. Hivyo nikiona mwanamke anaweza kubishana na watu wawili au zaid hua namkwepa sana.

✓✓✓Kindness
Hapa ndio niko mbovu sana ukiwa mwema tu hata uwe mbaya kivipi mm nakupenda hadi nakufa..sioni sisikii coz I do believe that Mwanadamu wa kweli ni yule anayesikia maumivu ya mwenzake na kuyafanyia kazi. Ukinifanyia wema au kunijali basi nakupeeeenda sana.

Mkuu kuhusu wewe kua unapenda watu wa hivyo na unaona labda inakukosesha mengi wala usijali mate... That's You.
Kumbuka unapata kile tu unachokitafuta.. Referring uzi wa wangu ule Mind, Subconscious mind Cache and Cookies.
Kama unawapenda Inteligent Woman shikilia hapohapo soon utakua unawapata wa aina hiyo tu..Ila tu usijichnagnye ukachukua wasio na vigezo uvipendavyo for the sake of Sex..Utaharibu

Hopefully nimejaribu kujibu
 
Mate very sorry for taking too long to answer you [emoji3577]
Firstly I'm not fond to sex... It's my last thing to regard when. Anyway niishie hapa!
Napenda Mpenzi wangu awe zaidi ya rafiki, nimpende nae anipende back tushee vitu (materials) na maarifa mbalimbali. Nikipenda mtu hua Napenda mtu mmoja tu..

Binafsi hua ninaangalia vitu vitatu ili nimpende mtu Deeply and Madly.
✓Smartness, hua napenda sana mwanamke Inteligent ambae mkikaa mnaongea mnajadiri vitu kwa utashi na akili sio kukaa tunaongea umbea au maisha ya Insta n the likes.
Namuheshimu sana mwanamke nayeweza kukaa tukajadili Imani,sayansi,Uchumi nk nk.. Napenda sana kujibu maswali hivuo basi hua napenda mwanamke anayeweza kuunda maswali technical kutoka field yoyote.

✓✓Being Humble
Mimi ni mtu mpole na mtulivu napenda pia nawake wa aina hii.. Mwanamke mwenye aibu zake na heshima sio kila kitu anaongea bila kujali wewe utachukulia vipi. Napenda mambo yangu kuyatatua kwa njia ya amani na upendo. Hivyo nikiona mwanamke anaweza kubishana na watu wawili au zaid hua namkwepa sana.

✓✓✓Kindness
Hapa ndio niko mbovu sana ukiwa mwema tu hata uwe mbaya kivipi mm nakupenda hadi nakufa..sioni sisikii coz I do believe that Mwanadamu wa kweli ni yule anayesikia maumivu ya mwenzake na kuyafanyia kazi. Ukinifanyia wema au kunijali basi nakupeeeenda sana.

Mkuu kuhusu wewe kua unapenda watu wa hivyo na unaona labda inakukosesha mengi wala usijali mate... That's You.
Kumbuka unapata kile tu unachokitafuta.. Referring uzi wa wangu ule Mind, Subconscious mind Cache and Cookies.
Kama unawapenda Inteligent Woman shikilia hapohapo soon utakua unawapata wa aina hiyo tu..Ila tu usijichnagnye ukachukua wasio na vigezo uvipendavyo for the sake of Sex..Utaharibu

Hopefully nimejaribu kujibu
Naam, nimekuelewa vema kaka, hasa pointi ya kwanza, huwa pana utata sana kwangu, kwa sababu kama ulivyoandika, sina marafiki kabisa...wa kiume wala wa kike. Nilikuwa nasita kwa muda mrefu kujiingiza mwenye mahusiano na wadada ambao nikiongea bao, naona kama wanaangalia mambo bila kuwa na mtazamo mpana, wanaangalia walipo tu.

Duuh umeishia njiani kwenye eneo la sex, kwa upande wangu, sijaoa...na hata sasa nimejiepusha na hicho kitu kwa miaka sasa, mwanamke mwenye akili, busara na hadhari ndiye atakayenifanya nivutiwe...tofauti na hivyo, ....! Naam, nashukuru mno ndugu.
 
Mie kwa upande wangu tangu nipo mdogo (kuanzia 10yrs) nilikuwa sipendi kuchangamana na wenzangu, nikitoka shule chumbani hadi kufikia wazazi wangu kuichukia tabia yangu, yaani rafiki zangu wakija kunisalimia nipo radhi nivunge nimelala usingizi ili tu waniachie nafasi ya kuwa peke yangu.

Hii tabia niliendelea nayo hadi secondary school, nilikuwa sipendi kitu chaitwa discussion, ni mwendo wa kupiga msuli mwenyewe.

Pia nimekuwa mchaguzi sana wa marafiki, wale wambea, tantalila nyingi hatuivi zaidi ya salamu, sipendi kusikia mtu ananiletea stori za ooh sijui fulani alikuwa anakusema hivi na hivi, akisikia aliache huko huko.

Kuhusu hisia za upendo ninazo sana iwe kwa rafiki ama mpenzi, na kuhusu kusaidia nachukua tatizo la mtu kama la kwangu, hii imepelekea kudhulumiwa sana na watu niliowaamini na kuwasaidia. Huwa naguswa sana.
Sasa sijui nadondokea wapi?
Da'Vinci
bado introvert?
 
introverts wote wana sifa hizi

  • Wana uwezo mkubwa kiakili (high intelligence Quotient)
  • Ni wagunduzi wa mambo makubwa ya kisayansi
  • Wanamudu vizuri masomo ya sayansi na hesabu
  • Ni watu wenye pole pole na wasio na maneno mengi
  • Wana hisia kali za upendo na ni kundi linalosadikika kuwa na upendo wa dhati

- Wanawajali sana wenzao hasa wanapokuwa katika shida na matatizo(i.e ndio maana hawa huwa waombaji –wanamaombi wazuri sana kiimani)

Sifa zao nyingine ni pamoja na;

  • Wana huruma sana na hawapendi kuona wengine wakionewa
  • Wanajitolea kwa haraka na kwa dhati katika mambo ya wengine

- Huondoa uchungu wao kwa machozi (wakiumizwa hulia haraka, hasa kwa upande wa wanawake/wasichana)

- Hawajiamini kwa mambo wanayoyafanya (hata wakiwa darasani si wepesi wa kunyoosha vidole ili kujibu maswali)

- Wanahesabu kushindwa kuliko kufanikiwa (mfano akitaka kuanzisha duka; badala ya kuwaza itakuwaje nikipata faida wanawaza itakuwaje kama duka litaibiwa ama kuungua moto, kwa maswali hayo anajikuta hata anafikia katika uamuzi wa kuahirisha uanzishaji wa mradi huo)

  • Wakata tamaa wanapokosolewa.
  • Wanapenda sana kutiwa moyo kiuhalisia.

Nyinginezo ni;

- Wanapenda kusoma, kusikiliza, na kusimulia mambo yenye tafakari na uchambuzi wa kina (hawapendi umbea)

- Wanapotoa mawaidha mahubiri ama ushauri wengi(wanaosikiliza) huwa wanaguswa nao na hubadilika haraka kutokana na mawaidha hayo ama ushauri ama mahubiri hayo.

  • Hawapendi kuvunja taratibu, sheria za eneo husika.
  • Wanapenda usafi na mpangilio mzuri wa vitu vyao

- Ni wa vumilivu sana katika hali mbalimbali (mfano wanapoonewa ama kuumizwa).

- Hawapendi kufuatilia mambo ya wengine pasipo sababu za msingi.

- Ni kundi mojawapo linaloathiriwa sana na magonjwa ya mashinikizo kutokana na kuwa wanawaza sana.

- Ni wagumu wa kusahau na hiyo imewasababishia kuwa wagumu wa kusamehe.

- Wanaumia sana wanapokosea ama kushindwa jambo Fulani

Pia, wanafahamika kwa;

- Wanajeruhika mioyo yao kirahisi (i.e wakiingiwa na pepo wabaya si rahisi kuwatoka kwa sababu ya kutunza uchungu kwa muda mrefu mioyono mwao)

  • Wana busara na hekima nyingi
  • Ni watu ambao wakiishika imani fulani wanajitahidi kuitimiliza sheria yote.
  • Ni wepesi wa kutubia makosa yao na kutubu kwa ajili ya wengine.
  • Wana aibu nyingi sana hasa kwa watu wasiowafahamu wala kuzoeana nao
  • Ni kundi la watu wanoridhika haraka

- Masikini wengi kiuchumi duniani ni wa kutoka katika kundi hili kutokana na uoga wao wa kuanzisha mambo kwa kuhofia kushindwa.

- Watoto wanaozaliwa katika kundi hili inasadikiwa ni wengi huwa na ndoto za kufanikiwa mapema lakini ni wachache mno ambao huweza kutimiliza ndoto zao kutoka na uoga wa kuanzilisha mambo mapya.

  • Kundi linalopenda amani na utulivu
  • Wanaogopa sana matatizo, vikwazo na changamoto

- Katika familia baba na mama wakiwa melancolin upo uwezekano mkubwa kwa watoto kuharibika maadili kwa sababu hawa melancolin si wepesi wa kuadhibu.

Wana sifa nyingi sana, nyinginezo ni;

- Mara nyingi hupenda kuonesha sura za tabasamu hata kama wapo katika matatizo makubwa

  • Hawapendi kumueleza kila mtu mambo yao binafsi
  • Ni kundi la watu wenye marafiki wachache
  • Wakati mwingine hupenda kujikataa.
  • Ni waaminifu na wasema ukweli
  • Wanapenda kusaidia wengine kupita hata uwezo wao
  • Ni waaminifu sana kwa mambo ya kawaida na yale ya kiimani
  • Hawapendi kujionesha mbele ya macho ya watu

- Hawa hawafai kuwa viongozi (si wazuri sana) kwa sababu wanapenda kusikiliza na kutafakari kila wanachoshauriwa hivyo hujikuta kuwa wanayumba kimisimamo. (mfano kama mkurugenzi/mwenyekiti wa eneo Fulani akiwa ni melancolin yafaa sana msaidizi wake awe ni colerick

Kingine kinachowanyima sifa ya kuwa viongozi wazuri ni kutokuwa na uwezo wa kujieleza kwa kujenga hoja zenye ushawishi mkubwa [Musa wa biblia alikuwa ni mmoja ya watu wa kundi hili, alikuwa hajiamini, anakata tamaa mapema, mlalamishi, asiyeweza kujieleza, licha ya kupewa msaidizi na Mungu bado tabia zake zilimuathiri na akajikuta anakosa nchi ya ahadi-Kaanani].

- Wanauhesabu upendo wa dhati kutokana na mambo wanayofanyiwa na sio kuambiwa (wanafurahia sana vitendo kuliko maneno}

- Kwa upande wa wasichana inasemekana kuwa ndio ambao wanasumbuliwa zaidi na maumivu ya hedhi, na kujifungua.
umeelezea vizuri sana.mengi yapo correct
isipokuwa machache tu
 
Back
Top Bottom