Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Napenda mtu niliyempenda awe mmoja tu for always, aniache yeye sio mimi nimuache. Nikimpenda napenda awe the Part of me, my friend,my partner,my Companion. Nishee nae kila kitu.
The inner part of woman it's the only thing that I'm interested to.
I don't like s*x sijui watu dizaini yangu tuna shida gani upande huu. Hata kuongelea kitu hiki sipendi. I wonder how peoples are being addicted in watching porn[emoji848]

Hivyo vitu vitatu ndio vitu pekee napeeenda zaidi kwa mwanamke... Making love it's the last thing. Tena mpaka yeye mwenyewe apende kufanya kitu hiki..... Inawezekana nami ni moja ya watu wachache tuliokwepa kula tunda kimasihara mara nyingii zaidi.

Bluffing [emoji28]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] the inner part of the woman is the only thing you are interested
 
Naam, nimekuelewa vema kaka, hasa pointi ya kwanza, huwa pana utata sana kwangu, kwa sababu kama ulivyoandika, sina marafiki kabisa...wa kiume wala wa kike. Nilikuwa nasita kwa muda mrefu kujiingiza mwenye mahusiano na wadada ambao nikiongea bao, naona kama wanaangalia mambo bila kuwa na mtazamo mpana, wanaangalia walipo tu.

Duuh umeishia njiani kwenye eneo la sex, kwa upande wangu, sijaoa...na hata sasa nimejiepusha na hicho kitu kwa miaka sasa, mwanamke mwenye akili, busara na hadhari ndiye atakayenifanya nivutiwe...tofauti na hivyo, ....! Naam, nashukuru mno ndugu.
mzee so unanunua malaya?
 
Mate very sorry for taking too long to answer you [emoji3577]
Firstly I'm not fond to sex... It's my last thing to regard when. Anyway niishie hapa!
Napenda Mpenzi wangu awe zaidi ya rafiki, nimpende nae anipende back tushee vitu (materials) na maarifa mbalimbali. Nikipenda mtu hua Napenda mtu mmoja tu..

Binafsi hua ninaangalia vitu vitatu ili nimpende mtu Deeply and Madly.
✓Smartness, hua napenda sana mwanamke Inteligent ambae mkikaa mnaongea mnajadiri vitu kwa utashi na akili sio kukaa tunaongea umbea au maisha ya Insta n the likes.
Namuheshimu sana mwanamke nayeweza kukaa tukajadili Imani,sayansi,Uchumi nk nk.. Napenda sana kujibu maswali hivuo basi hua napenda mwanamke anayeweza kuunda maswali technical kutoka field yoyote.

✓✓Being Humble
Mimi ni mtu mpole na mtulivu napenda pia nawake wa aina hii.. Mwanamke mwenye aibu zake na heshima sio kila kitu anaongea bila kujali wewe utachukulia vipi. Napenda mambo yangu kuyatatua kwa njia ya amani na upendo. Hivyo nikiona mwanamke anaweza kubishana na watu wawili au zaid hua namkwepa sana.

✓✓✓Kindness
Hapa ndio niko mbovu sana ukiwa mwema tu hata uwe mbaya kivipi mm nakupenda hadi nakufa..sioni sisikii coz I do believe that Mwanadamu wa kweli ni yule anayesikia maumivu ya mwenzake na kuyafanyia kazi. Ukinifanyia wema au kunijali basi nakupeeeenda sana.

Mkuu kuhusu wewe kua unapenda watu wa hivyo na unaona labda inakukosesha mengi wala usijali mate... That's You.
Kumbuka unapata kile tu unachokitafuta.. Referring uzi wa wangu ule Mind, Subconscious mind Cache and Cookies.
Kama unawapenda Inteligent Woman shikilia hapohapo soon utakua unawapata wa aina hiyo tu..Ila tu usijichnagnye ukachukua wasio na vigezo uvipendavyo for the sake of Sex..Utaharibu

Hopefully nimejaribu kujibu
pia introvert wanapendwa sana na wanawake.wanawake huwa wanawachukulia kama wapole
 
Hahaha ndugu, kwa nini usianze wewe kujichanganya? Dah... Mimi nilishafika age ya kuoa, Ila sina mahusiano wala ukaribu na mdada yeyote na nilishazoea hivi. Wadogo zangu walishaoa Mimi bado...! Tutajua mbele ya safari.
mzee so unanunua malaya?
 
Mates;

Binaadamu tumeumbwa kwa matabaka tofauti tofauti sio wa rangi wala jinsia, katika upande wa Personalites binaadamu yupo katika makundi mabalimbali. Kuna Makundi makuu mawili ya personalities,ambazo ni Extroverts na Introverts. Kwa upande wa introverts dunia kwao si kikwazo au haina kikwazo chochote ambacho kinaweza kuwafanya wasisonge mbele au kupata yale wanayoyahitaji.

Upande wa Introverts mambo ni tofauti sana sana, wao dunia si mahali salama kwa muono wao na inakua ni ngumu sana kwao kupata yale wanayoyahitaji humu duniani. Introverts wanaamini au wanaiona dunia ist the bed of roses na unaweza kuishi na ku-Earn yale unayoyata bila kutumia nguvu kubwa sana ya mwili ila ya akili.

Bahati mbaya dunia haipo hivyo, dunia imejaa michongoma hii inawafanya introverts kuona hawafit kuishi duniani hapa ila ndio wapo sasa inabidi wakubaliane na matokeo.

Kama tunavyoelewa kua Extroverts ni watu Fulani ambao ni waongeaji wazuri na hawana aibu hata kidogo wakitaka kitu watakueleza mojakwamoja ila Introvert ni watu wasio na uwezo wa kujieleza vizuri na wana aibu sana, mara nyingi hutuia muda mwingi katika kufikiri na kutafakari vitu vipya!

Aliyeumba hizi aina kinzani za watu hakua mjinga, alikua na maana kubwa sana kuwaweka pamoja hapa duniani, katika hizi pande mbili kinzani zimeunganishwa na kitu kimoja ambacho ni Kutegemeana katika mazingira. Pande zote mbili zinategemeana mno kwa kiasi kikubwa kwakua introvert wanatumia muda mwingi kufikiria na kutafakari vitu basi hawa walijaliwa Creative and Genius mind!

Ukiangalia maandeleo katika Nyanja ya dunia hii yameletwa na watu ambao ni Introverts. Lakini Introvert person akiungana na extrovert person basi hua wanatengeneza the best duo, Introvert hua anamtumia huyo extrovert kama mdumo wake au nguvu yake huku yeye akitumia akili yake zaidi katika mambo japo maranyingi sana hua extroverts wanawatapeli introverts baada ya muda.

NB, sio kwamba extrovert hua hawana uwezo wa akili no, ila siku zote mtu anayeanza kutafakari maneno wakati wewe uko unaongea muheshimu sana, lakini pia usichanganye introvert na kibuli.

Wapo watu wengi walikua ni introvert wakaungana na extrovert wakatenda mambo makubwa hapa duniani Nitatoa baadhi ya mifano

Mussa
Huyu jamaa alikua nae ni introvert, hana uwezo mzuri sana wa kujieleza ndio maana alipoitwa na Mungu alimuuliza atawezaje kuzungumza nao wakati hawezi kuongea vizuri? Mungu akampatia msaidizi wake amabae ni Aaron, walitengeneza moja ya kolabo bomba hapa duniani nadhani mambo waliyofanya tunayajua na yataendelea kuwepo daima

Tesla
Tesla alikua ni introvert aliyepitiliza, alijua duniani kila mtu ni mwema kama yeye. Alikutana na bwana Thomas Eddison wakafanya kazi pamoja mpaka leo umoja wao ndio unatufanya tunaweza kuchati hapa, bahati mbaya Thomas alimdhurumu tesla ila hakujali kufa maskini alishukuru tu kua akaili yake imeweza kuleta maendeleo duniani.

Mark Zuckenburg
Binafsi hua nikiamuangalia tu mark namuonea huruma tu kwa munekano wake, ni moja kati ya watu amabao wana Innocent face, ukimuangalia tu unamuhurumia. Ni watu wachache sana wenye hiyo haiba yay a kuonekana wanatia huruma. Mark ni introvert maisha yake chuoni alikua sio muongeaji hata ukimuudhi vipi hua anabaki kimya.

Kuna kipindi kama miaka 2 imepita ilitokea mgogoro kwamba mark kaiga ile technology ya kuangalia game in vitual reality. Ikatakiwa alipe pesa, ilimuuma mno ila hakuongea alibaki nalo rohoni. Rafiki yake mkubwa amabae amemsaidia sana kufanikisha facebook kufika hapa ilipo ni Eduardo Sevarin. Eddu alikua muongeaji tu na mtafuta masoko na investors mpaka leo umoja wao huo ndio umeawafikisha hapa mark ni billionea.

David Benioff
Huyu jamaa ni moja kati ya watengenezaji wa tamthiria ya game of thrones, nayeye sio muongeaji kama walivyo introverts wote pia ana aibu mno. Anar rafiki yake waliyekutana nae chuoni anaitwa Daniel Brett Weiss (D.B.Weiss) naye huyu ni moja ya watengenezaji wa tamthiria hii. Ila huyu DB Weiss hana aibu hata kidogo na nimuongeaji sana.

Hata wakiwa kwenye interview maswali yanayomuhu David benioff hua anayjibu yeye the funny thing ni kwamba walipokua wanafanya casting ya actors labda kama kuna actor Fulani ambaye the next season alitakiwa afe David Benioff alikua hawezi kuwaambia eti anaogopa! So aliyekua anafanya kazi hiyo alikua ni DB Weiss tena kwake ilikua rahisi mno.

View attachment 1526082

Issack Newton
Kama kawaida ya introverts wote basi Newton pia hakua na marafiki kabisa alipenda kujifungia ndani ya maabara yake kufanyia tafiti fikra zake na kujipa nafasi ya kufikiri zaidi. Alikua anamsemo wake anasema kwamba “ Plato is my friend, Aristotle is my friend, but my best friend is truth” Lakini naye alikua na rafiki yake ambae alikua ni muongeaji mzuri/Extrovert aliitwa John Locke. Huyu ndio alikua rafiki pekee wa Newton na yeye ndio aliweza kumuelezea vizuri tabia zake za upweke japo baadae walishindwana urafiki wao. Maana Muda mwingi Newton alikua bize.

Albert Eintein
Albert alipohamia Switzerland akaanza kufanya kazi kwenye ofisi za Patent right (haki miliki) ndipo alipoanza kufanyia kazi Hobby yake pendwa ya Kufikiria. Ofisini kwake kulimwezesha kufikiria maana hakua na kazi ngumu, kupitia dirisha lililokua ofisini mwake aliweza kuformulate theory of relativy maana alikua anautafakari mwanga uliokua unaingia ofisini mwake kupitia dirishani….Japo alikua ni mtu mmoja mkimya sana na alikua anaongea kila baaada ya kutafakari sana anachotaka kuongea pia alikua na rafiki yake wa karibu toka zamani ambae wamesaidiana mengi si mwingine ni Michelle Besso. Beso ndio alikua rafiki yake mkubwa na kumuwezesha Albert kufanya mengi makubwa.

Mifano ni mingi sana ya urafiki wa introverts na extrovert, watu maarufu ambao ni Introverts..na wametenda mengi makubwa duniani mfano:

Albert Einstein,Rosa Parks,Bill Gates,Steven Spielberg,Sir Isaac Newton,Eleanor Roosevelt, Mark Zuckerberg,Larry Page,Al Gore,Marissa Mayer, Abraham Lincoln,
JK Rowling,Warren Buffett, Mahatma Gandhi,Hillary Clinton, Michael Jordan,Meryl Streep,Elon Musk,Dr. Seuss,Frederic Chopin

Introverts kwakua wao hawawezi kuingiliana vizuri na jamii waliyomo hivyo basi muda wao mwingi hua wanautumia kwenye mitandao ya kijamii. Huku kwenye jamii hawana attention kwa watu so wanachofanya ni kutafuta attention mitandaoni at any cost. Introvertism,Geniusity,Lonelness na Ugonjwa wa akili ni vitu vinavyoenda sambamba. Ukikuta mtu anaandika mapost marefu,anatukana au kuudhi watu mitandaoni usimchukie.

Muhurumie sana maana anakua muhanga wa matatizo niliyoyaainisha hapo juu. Wanafanya kuudhi watu ili nao waonekane kama wanaweza kufanya kitu, wanajitahid kufit in ila bahati mbaya wanatumia approach mbaya ya kuudhi watu.. Introverts ni watu poa sana, wana mioyo mizuri sana na wana akili zenye uwezo mkubwa.

-Vinci
Leo ndiyo nimemuelewa Extrovert
 
1615975238587.png
 
Mate very sorry for taking too long to answer you [emoji3577]
Firstly I'm not fond to sex... It's my last thing to regard when. Anyway niishie hapa!
Napenda Mpenzi wangu awe zaidi ya rafiki, nimpende nae anipende back tushee vitu (materials) na maarifa mbalimbali. Nikipenda mtu hua Napenda mtu mmoja tu..

Binafsi hua ninaangalia vitu vitatu ili nimpende mtu Deeply and Madly.
✓Smartness, hua napenda sana mwanamke Inteligent ambae mkikaa mnaongea mnajadiri vitu kwa utashi na akili sio kukaa tunaongea umbea au maisha ya Insta n the likes.
Namuheshimu sana mwanamke nayeweza kukaa tukajadili Imani,sayansi,Uchumi nk nk.. Napenda sana kujibu maswali hivuo basi hua napenda mwanamke anayeweza kuunda maswali technical kutoka field yoyote.

✓✓Being Humble
Mimi ni mtu mpole na mtulivu napenda pia nawake wa aina hii.. Mwanamke mwenye aibu zake na heshima sio kila kitu anaongea bila kujali wewe utachukulia vipi. Napenda mambo yangu kuyatatua kwa njia ya amani na upendo. Hivyo nikiona mwanamke anaweza kubishana na watu wawili au zaid hua namkwepa sana.

✓✓✓Kindness
Hapa ndio niko mbovu sana ukiwa mwema tu hata uwe mbaya kivipi mm nakupenda hadi nakufa..sioni sisikii coz I do believe that Mwanadamu wa kweli ni yule anayesikia maumivu ya mwenzake na kuyafanyia kazi. Ukinifanyia wema au kunijali basi nakupeeeenda sana.

Mkuu kuhusu wewe kua unapenda watu wa hivyo na unaona labda inakukosesha mengi wala usijali mate... That's You.
Kumbuka unapata kile tu unachokitafuta.. Referring uzi wa wangu ule Mind, Subconscious mind Cache and Cookies.
Kama unawapenda Inteligent Woman shikilia hapohapo soon utakua unawapata wa aina hiyo tu..Ila tu usijichnagnye ukachukua wasio na vigezo uvipendavyo for the sake of Sex..Utaharibu

Hopefully nimejaribu kujibu
Naomba link ya huo uzi wa subconscious
 
Mates;

Binaadamu tumeumbwa kwa matabaka tofauti tofauti sio wa rangi wala jinsia, katika upande wa Personalites binaadamu yupo katika makundi mabalimbali. Kuna Makundi makuu mawili ya personalities,ambazo ni Extroverts na Introverts. Kwa upande wa introverts dunia kwao si kikwazo au haina kikwazo chochote ambacho kinaweza kuwafanya wasisonge mbele au kupata yale wanayoyahitaji.

Upande wa Introverts mambo ni tofauti sana sana, wao dunia si mahali salama kwa muono wao na inakua ni ngumu sana kwao kupata yale wanayoyahitaji humu duniani. Introverts wanaamini au wanaiona dunia ist the bed of roses na unaweza kuishi na ku-Earn yale unayoyata bila kutumia nguvu kubwa sana ya mwili ila ya akili.

Bahati mbaya dunia haipo hivyo, dunia imejaa michongoma hii inawafanya introverts kuona hawafit kuishi duniani hapa ila ndio wapo sasa inabidi wakubaliane na matokeo.

Kama tunavyoelewa kua Extroverts ni watu Fulani ambao ni waongeaji wazuri na hawana aibu hata kidogo wakitaka kitu watakueleza mojakwamoja ila Introvert ni watu wasio na uwezo wa kujieleza vizuri na wana aibu sana, mara nyingi hutuia muda mwingi katika kufikiri na kutafakari vitu vipya!

Aliyeumba hizi aina kinzani za watu hakua mjinga, alikua na maana kubwa sana kuwaweka pamoja hapa duniani, katika hizi pande mbili kinzani zimeunganishwa na kitu kimoja ambacho ni Kutegemeana katika mazingira. Pande zote mbili zinategemeana mno kwa kiasi kikubwa kwakua introvert wanatumia muda mwingi kufikiria na kutafakari vitu basi hawa walijaliwa Creative and Genius mind!

Ukiangalia maandeleo katika Nyanja ya dunia hii yameletwa na watu ambao ni Introverts. Lakini Introvert person akiungana na extrovert person basi hua wanatengeneza the best duo, Introvert hua anamtumia huyo extrovert kama mdumo wake au nguvu yake huku yeye akitumia akili yake zaidi katika mambo japo maranyingi sana hua extroverts wanawatapeli introverts baada ya muda.

NB, sio kwamba extrovert hua hawana uwezo wa akili no, ila siku zote mtu anayeanza kutafakari maneno wakati wewe uko unaongea muheshimu sana, lakini pia usichanganye introvert na kibuli.

Wapo watu wengi walikua ni introvert wakaungana na extrovert wakatenda mambo makubwa hapa duniani Nitatoa baadhi ya mifano

Mussa
Huyu jamaa alikua nae ni introvert, hana uwezo mzuri sana wa kujieleza ndio maana alipoitwa na Mungu alimuuliza atawezaje kuzungumza nao wakati hawezi kuongea vizuri? Mungu akampatia msaidizi wake amabae ni Aaron, walitengeneza moja ya kolabo bomba hapa duniani nadhani mambo waliyofanya tunayajua na yataendelea kuwepo daima

Tesla
Tesla alikua ni introvert aliyepitiliza, alijua duniani kila mtu ni mwema kama yeye. Alikutana na bwana Thomas Eddison wakafanya kazi pamoja mpaka leo umoja wao ndio unatufanya tunaweza kuchati hapa, bahati mbaya Thomas alimdhurumu tesla ila hakujali kufa maskini alishukuru tu kua akaili yake imeweza kuleta maendeleo duniani.

Mark Zuckenburg
Binafsi hua nikiamuangalia tu mark namuonea huruma tu kwa munekano wake, ni moja kati ya watu amabao wana Innocent face, ukimuangalia tu unamuhurumia. Ni watu wachache sana wenye hiyo haiba yay a kuonekana wanatia huruma. Mark ni introvert maisha yake chuoni alikua sio muongeaji hata ukimuudhi vipi hua anabaki kimya.

Kuna kipindi kama miaka 2 imepita ilitokea mgogoro kwamba mark kaiga ile technology ya kuangalia game in vitual reality. Ikatakiwa alipe pesa, ilimuuma mno ila hakuongea alibaki nalo rohoni. Rafiki yake mkubwa amabae amemsaidia sana kufanikisha facebook kufika hapa ilipo ni Eduardo Sevarin. Eddu alikua muongeaji tu na mtafuta masoko na investors mpaka leo umoja wao huo ndio umeawafikisha hapa mark ni billionea.

David Benioff
Huyu jamaa ni moja kati ya watengenezaji wa tamthiria ya game of thrones, nayeye sio muongeaji kama walivyo introverts wote pia ana aibu mno. Anar rafiki yake waliyekutana nae chuoni anaitwa Daniel Brett Weiss (D.B.Weiss) naye huyu ni moja ya watengenezaji wa tamthiria hii. Ila huyu DB Weiss hana aibu hata kidogo na nimuongeaji sana.

Hata wakiwa kwenye interview maswali yanayomuhu David benioff hua anayjibu yeye the funny thing ni kwamba walipokua wanafanya casting ya actors labda kama kuna actor Fulani ambaye the next season alitakiwa afe David Benioff alikua hawezi kuwaambia eti anaogopa! So aliyekua anafanya kazi hiyo alikua ni DB Weiss tena kwake ilikua rahisi mno.

View attachment 1526082

Issack Newton
Kama kawaida ya introverts wote basi Newton pia hakua na marafiki kabisa alipenda kujifungia ndani ya maabara yake kufanyia tafiti fikra zake na kujipa nafasi ya kufikiri zaidi. Alikua anamsemo wake anasema kwamba “ Plato is my friend, Aristotle is my friend, but my best friend is truth” Lakini naye alikua na rafiki yake ambae alikua ni muongeaji mzuri/Extrovert aliitwa John Locke. Huyu ndio alikua rafiki pekee wa Newton na yeye ndio aliweza kumuelezea vizuri tabia zake za upweke japo baadae walishindwana urafiki wao. Maana Muda mwingi Newton alikua bize.

Albert Eintein
Albert alipohamia Switzerland akaanza kufanya kazi kwenye ofisi za Patent right (haki miliki) ndipo alipoanza kufanyia kazi Hobby yake pendwa ya Kufikiria. Ofisini kwake kulimwezesha kufikiria maana hakua na kazi ngumu, kupitia dirisha lililokua ofisini mwake aliweza kuformulate theory of relativy maana alikua anautafakari mwanga uliokua unaingia ofisini mwake kupitia dirishani….Japo alikua ni mtu mmoja mkimya sana na alikua anaongea kila baaada ya kutafakari sana anachotaka kuongea pia alikua na rafiki yake wa karibu toka zamani ambae wamesaidiana mengi si mwingine ni Michelle Besso. Beso ndio alikua rafiki yake mkubwa na kumuwezesha Albert kufanya mengi makubwa.

Mifano ni mingi sana ya urafiki wa introverts na extrovert, watu maarufu ambao ni Introverts..na wametenda mengi makubwa duniani mfano:

Albert Einstein,Rosa Parks,Bill Gates,Steven Spielberg,Sir Isaac Newton,Eleanor Roosevelt, Mark Zuckerberg,Larry Page,Al Gore,Marissa Mayer, Abraham Lincoln,
JK Rowling,Warren Buffett, Mahatma Gandhi,Hillary Clinton, Michael Jordan,Meryl Streep,Elon Musk,Dr. Seuss,Frederic Chopin

Introverts kwakua wao hawawezi kuingiliana vizuri na jamii waliyomo hivyo basi muda wao mwingi hua wanautumia kwenye mitandao ya kijamii. Huku kwenye jamii hawana attention kwa watu so wanachofanya ni kutafuta attention mitandaoni at any cost. Introvertism,Geniusity,Lonelness na Ugonjwa wa akili ni vitu vinavyoenda sambamba. Ukikuta mtu anaandika mapost marefu,anatukana au kuudhi watu mitandaoni usimchukie.

Muhurumie sana maana anakua muhanga wa matatizo niliyoyaainisha hapo juu. Wanafanya kuudhi watu ili nao waonekane kama wanaweza kufanya kitu, wanajitahid kufit in ila bahati mbaya wanatumia approach mbaya ya kuudhi watu.. Introverts ni watu poa sana, wana mioyo mizuri sana na wana akili zenye uwezo mkubwa.

-Vinci
Sasa hii mada inafanya nini huku kwenye mapenzi?
 
njia kubwa ya kujikomboa ni kutafuta lengo la maisha,binafsi ku a muda najiona heartless,unaweza kunipa taatifa za huzuni sana alafu nisiwe na reaction yoyote.
i have found my purpose,my son is my purpose,i fight so hard to leave him a legacy
 
Back
Top Bottom