Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haupo pekee yako, observe.Watu aina kama yangu watajua namaanisha nini..
Being an introvert has affected my social life yaani,I had rather stay at home watching series than kujichanganyachanganya na watu...
Pia yaan mambo mengi tu hunipita [emoji81][emoji81] zile outings na bf nyingi waga nazi-cancel for no reason
Hivi what can i do to cope with it?
Naongezea sifa zengne tulizo nazo ma introvert...
1-: hatujui kuchagua vitu hasa rangi au umbo....yaani unaweza ukatoka nyumban kwenda dukan kununua labda nguo aina flan rangi flani ile nguo ukaikosa apo Sasa muuzaji anaweza akakuuzia rangi yyte ata usiopenda na ukashindwa ata kukataa...unalipa unasepa uku ukijifariji.
2-:wapekuzi sana wa mambo yaani Kama unamauhusiano na bint utampekua bila yeye kujua adi mambo yasiopekurika mwsho wa sku huwa tunabaki na siri moyoni wala hatuwaambii wale tulio wapekua..
3-: hatupendi kutishwaa....mfano kutishwa utoe kitu fulani ili upate kitu fulani,
4-:hatuwezi kusimulia vtu kwa mdomo...tunaweza tukasoma vtu tukavielewa Ila Kwenye kuvipresent tukashindwa.
5:- huwa tunatamani tuwe tofauti na tulivyo Ila tunajikuta tupo hvyohvyo,usipojijua utabaki unaishi maisha ya kuiga tu.
6-:tunapenda Sana kufanya mapenzi Ila hatupendi tuonekane katk hali hyo...
7-: wapenzi wetu Mara nyingi ni wale marafiki zetu wa karbu sana...tulio wazoea ndo hao hao tunawatongoza.
Na wakishalewa wanaongea athari😁Wakiangukia kwenye vyombo wanakua walevi hatari
Mkuu kwa huo ukimya ulionao kama ungevuta bange sio ndio ungekuwa mong'oo kabisa 😁Seriously, nakumbuka before nilifanya mpaka majaribu ya kuvuta bangi ili nijaribu kuishinda hii introvert character, but nashkur Mungu akaniepushSasa
Not true mkuuBeing an introvert it's a curse, it's not a something to be proud of.
Talking with experience [emoji22][emoji22][emoji22]
Kwa jinsi dunia ilivyo sidhani kama ni jambo jema kua introvert. Kwa upande wangu ni hasara tupu inaumiza kwakwelNot true mkuu
It's just matter of your opinion.
Our Lord is fair to all of his creatures
Some feel proud for being introverts some for being extroverts and vice versa (as you said)
Our Lord created us equal
Ninavyojua ikiwa ww ni introvert inatakiwa uishi kulingana na introvert character and vice versa, sijui labda unieleze tatizo linatokea wap mkuu?Kwa jinsi dunia ilivyo sidhani kama ni jambo jema kua introvert. Kwa upande wangu ni hasara tupu inaumiza kwakwel
I can't tell you tatizo ni wapi au ni nini.Ninavyojua ikiwa ww ni introvert inatakiwa uishi kulingana na introvert character and vice versa, sijui labda unieleze tatizo linatokea wap mkuu?
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]I can't tell you tatizo ni wapi au ni nini.
Umeona kichwa cha huu uzi kinavyosema?? In fact nilijiandikia mimi huu uzi ju ya ninayokumbana nayo. So trust me Introvert it's a curse.
Kikubwa namuomba Mungu isitokee ikatakiwa nisimame mahakamani
I am an introvert, huwa naacha extrovert waropokee watoe hadi siri zao na nijue uwezo wao wakati mimi nikiwaficha siri zangu na uwezo wangu, tukija kwenye utendaji wanapata tu surprise...hahaha, it comes naturally hata hivyo ila naamini ukimya wangu na kutopenda sana kuongea hovyo kwasababu kufanay hivyo napambana na aibu fulani hivi...hiyo kwangu nimechukulia kama advantage, utendaji wangu wote huwa nautenda kwa kuponya matundu ya udhaifu wangu huo na huwa nawapiga bao watu kwa surprise tu.Mates;
Binaadamu tumeumbwa kwa matabaka tofauti tofauti sio wa rangi wala jinsia, katika upande wa Personalites binaadamu yupo katika makundi mabalimbali. Kuna Makundi makuu mawili ya personalities,ambazo ni Extroverts na Introverts. Kwa upande wa introverts dunia kwao si kikwazo au haina kikwazo chochote ambacho kinaweza kuwafanya wasisonge mbele au kupata yale wanayoyahitaji.
Upande wa Introverts mambo ni tofauti sana sana, wao dunia si mahali salama kwa muono wao na inakua ni ngumu sana kwao kupata yale wanayoyahitaji humu duniani. Introverts wanaamini au wanaiona dunia ist the bed of roses na unaweza kuishi na ku-Earn yale unayoyata bila kutumia nguvu kubwa sana ya mwili ila ya akili.
Bahati mbaya dunia haipo hivyo, dunia imejaa michongoma hii inawafanya introverts kuona hawafit kuishi duniani hapa ila ndio wapo sasa inabidi wakubaliane na matokeo.
Kama tunavyoelewa kua Extroverts ni watu Fulani ambao ni waongeaji wazuri na hawana aibu hata kidogo wakitaka kitu watakueleza mojakwamoja ila Introvert ni watu wasio na uwezo wa kujieleza vizuri na wana aibu sana, mara nyingi hutuia muda mwingi katika kufikiri na kutafakari vitu vipya!
Aliyeumba hizi aina kinzani za watu hakua mjinga, alikua na maana kubwa sana kuwaweka pamoja hapa duniani, katika hizi pande mbili kinzani zimeunganishwa na kitu kimoja ambacho ni Kutegemeana katika mazingira. Pande zote mbili zinategemeana mno kwa kiasi kikubwa kwakua introvert wanatumia muda mwingi kufikiria na kutafakari vitu basi hawa walijaliwa Creative and Genius mind!
Ukiangalia maandeleo katika Nyanja ya dunia hii yameletwa na watu ambao ni Introverts. Lakini Introvert person akiungana na extrovert person basi hua wanatengeneza the best duo, Introvert hua anamtumia huyo extrovert kama mdumo wake au nguvu yake huku yeye akitumia akili yake zaidi katika mambo japo maranyingi sana hua extroverts wanawatapeli introverts baada ya muda.
NB, sio kwamba extrovert hua hawana uwezo wa akili no, ila siku zote mtu anayeanza kutafakari maneno wakati wewe uko unaongea muheshimu sana, lakini pia usichanganye introvert na kibuli.
Wapo watu wengi walikua ni introvert wakaungana na extrovert wakatenda mambo makubwa hapa duniani Nitatoa baadhi ya mifano
Mussa
Huyu jamaa alikua nae ni introvert, hana uwezo mzuri sana wa kujieleza ndio maana alipoitwa na Mungu alimuuliza atawezaje kuzungumza nao wakati hawezi kuongea vizuri? Mungu akampatia msaidizi wake amabae ni Aaron, walitengeneza moja ya kolabo bomba hapa duniani nadhani mambo waliyofanya tunayajua na yataendelea kuwepo daima
Tesla
Tesla alikua ni introvert aliyepitiliza, alijua duniani kila mtu ni mwema kama yeye. Alikutana na bwana Thomas Eddison wakafanya kazi pamoja mpaka leo umoja wao ndio unatufanya tunaweza kuchati hapa, bahati mbaya Thomas alimdhurumu tesla ila hakujali kufa maskini alishukuru tu kua akaili yake imeweza kuleta maendeleo duniani.
Mark Zuckenburg
Binafsi hua nikiamuangalia tu mark namuonea huruma tu kwa munekano wake, ni moja kati ya watu amabao wana Innocent face, ukimuangalia tu unamuhurumia. Ni watu wachache sana wenye hiyo haiba yay a kuonekana wanatia huruma. Mark ni introvert maisha yake chuoni alikua sio muongeaji hata ukimuudhi vipi hua anabaki kimya.
Kuna kipindi kama miaka 2 imepita ilitokea mgogoro kwamba mark kaiga ile technology ya kuangalia game in vitual reality. Ikatakiwa alipe pesa, ilimuuma mno ila hakuongea alibaki nalo rohoni. Rafiki yake mkubwa amabae amemsaidia sana kufanikisha facebook kufika hapa ilipo ni Eduardo Sevarin. Eddu alikua muongeaji tu na mtafuta masoko na investors mpaka leo umoja wao huo ndio umeawafikisha hapa mark ni billionea.
David Benioff
Huyu jamaa ni moja kati ya watengenezaji wa tamthiria ya game of thrones, nayeye sio muongeaji kama walivyo introverts wote pia ana aibu mno. Anar rafiki yake waliyekutana nae chuoni anaitwa Daniel Brett Weiss (D.B.Weiss) naye huyu ni moja ya watengenezaji wa tamthiria hii. Ila huyu DB Weiss hana aibu hata kidogo na nimuongeaji sana.
Hata wakiwa kwenye interview maswali yanayomuhu David benioff hua anayjibu yeye the funny thing ni kwamba walipokua wanafanya casting ya actors labda kama kuna actor Fulani ambaye the next season alitakiwa afe David Benioff alikua hawezi kuwaambia eti anaogopa! So aliyekua anafanya kazi hiyo alikua ni DB Weiss tena kwake ilikua rahisi mno.
View attachment 1526082
Issack Newton
Kama kawaida ya introverts wote basi Newton pia hakua na marafiki kabisa alipenda kujifungia ndani ya maabara yake kufanyia tafiti fikra zake na kujipa nafasi ya kufikiri zaidi. Alikua anamsemo wake anasema kwamba “ Plato is my friend, Aristotle is my friend, but my best friend is truth” Lakini naye alikua na rafiki yake ambae alikua ni muongeaji mzuri/Extrovert aliitwa John Locke. Huyu ndio alikua rafiki pekee wa Newton na yeye ndio aliweza kumuelezea vizuri tabia zake za upweke japo baadae walishindwana urafiki wao. Maana Muda mwingi Newton alikua bize.
Albert Eintein
Albert alipohamia Switzerland akaanza kufanya kazi kwenye ofisi za Patent right (haki miliki) ndipo alipoanza kufanyia kazi Hobby yake pendwa ya Kufikiria. Ofisini kwake kulimwezesha kufikiria maana hakua na kazi ngumu, kupitia dirisha lililokua ofisini mwake aliweza kuformulate theory of relativy maana alikua anautafakari mwanga uliokua unaingia ofisini mwake kupitia dirishani….Japo alikua ni mtu mmoja mkimya sana na alikua anaongea kila baaada ya kutafakari sana anachotaka kuongea pia alikua na rafiki yake wa karibu toka zamani ambae wamesaidiana mengi si mwingine ni Michelle Besso. Beso ndio alikua rafiki yake mkubwa na kumuwezesha Albert kufanya mengi makubwa.
Mifano ni mingi sana ya urafiki wa introverts na extrovert, watu maarufu ambao ni Introverts..na wametenda mengi makubwa duniani mfano:
Albert Einstein,Rosa Parks,Bill Gates,Steven Spielberg,Sir Isaac Newton,Eleanor Roosevelt, Mark Zuckerberg,Larry Page,Al Gore,Marissa Mayer, Abraham Lincoln,JK Rowling,Warren Buffett, Mahatma Gandhi,Hillary Clinton, Michael Jordan,Meryl Streep,Elon Musk,Dr. Seuss,Frederic Chopin
Introverts kwakua wao hawawezi kuingiliana vizuri na jamii waliyomo hivyo basi muda wao mwingi hua wanautumia kwenye mitandao ya kijamii. Huku kwenye jamii hawana attention kwa watu so wanachofanya ni kutafuta attention mitandaoni at any cost. Introvertism,Geniusity,Lonelness na Ugonjwa wa akili ni vitu vinavyoenda sambamba. Ukikuta mtu anaandika mapost marefu,anatukana au kuudhi watu mitandaoni usimchukie.
Muhurumie sana maana anakua muhanga wa matatizo niliyoyaainisha hapo juu. Wanafanya kuudhi watu ili nao waonekane kama wanaweza kufanya kitu, wanajitahid kufit in ila bahati mbaya wanatumia approach mbaya ya kuudhi watu.. Introverts ni watu poa sana, wana mioyo mizuri sana na wana akili zenye uwezo mkubwa.
-Vinci
Let me break this for you mate.![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu sio kama nafeel proud hapana ila ukwel even myself am real introvert ndomana najaribu kukupinga usemacho
Duuy mkuu, kama umefika mbali saanaLet me break this for you mate.
Kutokana na maisha yalivyo kumefanya Duniani kuwepo makundi mawili ya watu ambayo Wolves (Mbwa mwitu) na Sheep(Kondoo) wewe binafsi ndio unachagua upendavyo kua je uwe kondoo uliwe au uwe mbwa mwitu ule kondoo.
Sasa kutokana na characteristics za Introvert wengi wanachagua kua kondoo coz wengi hupenda kua wema. Sasa hapo ukishaingia kwenye mtego wa wema jua tu kwamba tayari wewe ni kondoo na mbwa mwitu lazima wakutafune tu.
Hicho ndio nachozungumza hapa.. Introvertism inakufanya uwe kondoo hivyo utaliwa sana hadi uone kua introvert ni curse. Wolves will use you and Will Take advantage of you.
Kama haijakupata keep waiting mate soon or later you'll approve my fact
Nimekuelewa mkuu.Let me break this for you mate.
Kutokana na maisha yalivyo kumefanya Duniani kuwepo makundi mawili ya watu ambayo Wolves (Mbwa mwitu) na Sheep(Kondoo) wewe binafsi ndio unachagua upendavyo kua je uwe kondoo uliwe au uwe mbwa mwitu ule kondoo.
Sasa kutokana na characteristics za Introvert wengi wanachagua kua kondoo coz wengi hupenda kua wema. Sasa hapo ukishaingia kwenye mtego wa wema jua tu kwamba tayari wewe ni kondoo na mbwa mwitu lazima wakutafune tu.
Hicho ndio nachozungumza hapa.. Introvertism inakufanya uwe kondoo hivyo utaliwa sana hadi uone kua introvert ni curse. Wolves will use you and Will Take advantage of you.
Kama haijakupata keep waiting mate soon or later you'll approve my fact
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Exactly.
It gave me a lesson, That Introvert is Curse
Hauko sawa boss. Seek help ASAP!Let me break this for you mate.
Kutokana na maisha yalivyo kumefanya Duniani kuwepo makundi mawili ya watu ambayo Wolves (Mbwa mwitu) na Sheep(Kondoo) wewe binafsi ndio unachagua upendavyo kua je uwe kondoo uliwe au uwe mbwa mwitu ule kondoo.
Sasa kutokana na characteristics za Introvert wengi wanachagua kua kondoo coz wengi hupenda kua wema. Sasa hapo ukishaingia kwenye mtego wa wema jua tu kwamba tayari wewe ni kondoo na mbwa mwitu lazima wakutafune tu.
Hicho ndio nachozungumza hapa.. Introvertism inakufanya uwe kondoo hivyo utaliwa sana hadi uone kua introvert ni curse. Wolves will use you and Will Take advantage of you.
Kama haijakupata keep waiting mate soon or later you'll approve my fact