Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Nimepata Elimu kubwa kuhusu Introvertsm can someone tell me about Extrovertsm?or kama kuna Uzi wowote unaowazungumzia MaExtroverts aniLink ili nipate Elimu dunia upande huo pia??
 
Je ukali WA wazazi uliopitiliza Kwa watoto wao pindi wakiwa wadogo/ ukali WA bekitatu Kwa watoto hauwezi pelekea mtoto kuwa introvert ukubwani?
 
Am introvert lkn aibu sina ikifika muda muafaka wa jambo la msingi. Udomo zege sina kabisa. Ila sitongozi hovyo inanirudisha heshima. Nikiwa na mwanamke napenda ongea point then wajihi wangu hunipelekea nakubalika then najikuta niko kwa penzi afu nikionaga kero huwa siongei. Mwanamke atashtukia yuko peke ake.
 
we ni Native Introvet aliyekubuhu

Kivipi mkuu?

Wanatuonaga wenye viburi kumbe sio ndo tulivyoumbwa

Duh! Mtu mmoja kama anaambiwa yeye

Je ukali WA wazazi uliopitiliza Kwa watoto wao pindi wakiwa wadogo/ ukali WA bekitatu Kwa watoto hauwezi pelekea mtoto kuwa introvert ukubwani?

Hapana mzazi akiwa mkali kwa mtoto hakubadirishi personality yake kwamba awe extrovert abadirike ajwe extrovert. Kumbuka Personality traits yaani kua extrovert au introvert ni mambo traits ambazo mwanadamu anazaliwa nazo tayari zipo ndani yake hivyo muhusika hawezi kubadirisha traits hizo au kuhama kundi moja kwenda lingine.

Ila wazazi kama ni wakali kwa mtoto wanaharibu behavioral model ya mtoto, tabia za ndio kitu mtu unaweza kubadirisha kutokana na mazingira fulani uliyopo...

Waleeni watoto wenu vizuri mkiwapa maneno ya ushindi na kutia moyo hata kama unaona mwanao hana uwezo mkubwa, we unamwita mwanao we mjinga njoo hapa,we mpumbavu, we zezeta njoo n.k....namwanangu mtu akimwita hivo tutauana haya maneno nayajua uchungu wake na madhara yake nayaona mpaka leo. mtoto anakua hana imani na maisha, anajiona hafai kwenye jamii mwisho inampelekea kua na msongo hata ufikiri wake unayumba mwisho anaanza kutenda maovu ili kulipa machungu ya maneno anayoambiwa.

Treat your son like king not like a asshole. Mentality disturbance za watoto zinaharibiwa nanyi wazazi. 5yrs ago nilisoma soma Psycology upande wa tabia za binaadamu na makuzi yake toka akiwa na wiki 2 baada ya mimba kutungwa hadi umri wa miaka 70 nafahamu vyema sana, Kwenye Behavioural model tabia za binaadamu zimegawiwa katika makundi matatu makuu:
✔️Agressive: Huyu mtu aliye kwenye kundi hili yeye jambo dogo analikuza linakua kuubwa (amplifying), kila kitu yeye anamind...mara nyingi hua wanajitanguliza wao kwenye vitu hawajali wenzao nk nk.

✔️Passive: Hawa ni wale watu wa kuchukulia poa hawana shida na watu wao ukiwaudhi wanatabasamu tu. Mark zuckenburg, Wentworth Miller (michaelscolfied) hili kundi ndio husongwa na Msongo zaidi

✔️Assertive: Hawa wao wako tayari kufanya chochote kwa ajili ya wenzao hata kupoteza maisha..wanachukulia wengine ni wathamani kuliko wao. mf Jesus, Nyerere,All freedom fighters.

Sasa fikiria mtu wa kundi la kwanza umemtendea mambo mabaya huyu lazima awe mbaya mbeleni tu si mnajua alichofanya hitler ajili ya kudharauliwa,akina Mao tsetung, serial killers wote, lakini kwa watu wa kundi la pili hua tofauti wao hua wanayatumia yale madharau wanayofanyiwa kufanya vitu kuwathibishia watu kua wao sio wajinga.

Mfano Mark wa Facebook alikua wanamchukulia poa sana kipindi yuko chuo ila ukizingatia kwa walikua maskini ila leo hii walio mdharau wako wapi? Thomas Edison hadi mama yake aliandikiwa barua na uongozi wa shule kua hana akili, mwisho kabisa kawa ndio mgunduzi na mfanyabiashara mkubwa sana kwenye maswala ya electrnonic na electricity. Akina Eminem leo hii wako level ipi? Wentworth Miller hadi sasa kutokana na kuwa abused hata hajielewi tena jinsia yake inataka nini (leo gay kesho mwanaume) mifano ni mingi mno.

Jamani wazazi wa leo na wazazi watarajiwa hatima ya mafanikio ya mwanao kiuchumi au kiakili yapo mkononi mwako, mwambie mema sio kumwambia mwanao maneno yanayo mfanya ajione inferior, hana thamani matokeo yake hua ni mabaya sana. Hata Jesus watu walimbeza ila mwisho wa siku kabaki kua ndio binaadamu ambae historia yake haitafutika kwa aliyoyatenda. Usimdharau mtu wala kumkandamiza hatujui hatima zetu. Serial killers wengi chnzo hua ni ugonjwa akili ambao unasababishwa na malezi mabaya.
 
Hapana mzazi akiwa mkali kwa mtoto hakubadirishi personality yake kwamba awe extrovert abadirike ajwe extrovert. Kumbuka Personality traits yaani kua extrovert au introvert ni mambo traits ambazo mwanadamu anazaliwa nazo tayari zipo ndani yake hivyo muhusika hawezi kubadirisha traits hizo au kuhama kundi moja kwenda lingine.

Ila wazazi kama ni wakali kwa mtoto wanaharibu behavioral model ya mtoto, tabia za ndio kitu mtu unaweza kubadirisha kutokana na mazingira fulani uliyopo...

Waleeni watoto wenu vizuri mkiwapa maneno ya ushindi na kutia moyo hata kama unaona mwanao hana uwezo mkubwa, we unamwita mwanao we mjinga njoo hapa,we mpumbavu, we zezeta njoo n.k....namwanangu mtu akimwita hivo tutauana haya maneno nayajua uchungu wake na madhara yake nayaona mpaka leo. mtoto anakua hana imani na maisha, anajiona hafai kwenye jamii mwisho inampelekea kua na msongo hata ufikiri wake unayumba mwisho anaanza kutenda maovu ili kulipa machungu ya maneno anayoambiwa.

Treat your son like king not like a asshole. Mentality disturbance za watoto zinaharibiwa nanyi wazazi. 5yrs ago nilisoma soma Psycology upande wa tabia za binaadamu na makuzi yake toka akiwa na wiki 2 baada ya mimba kutungwa hadi umri wa miaka 70 nafahamu vyema sana, Kwenye Behavioural model tabia za binaadamu zimegawiwa katika makundi matatu makuu:
[emoji3581]Agressive: Huyu mtu aliye kwenye kundi hili yeye jambo dogo analikuza linakua kuubwa (amplifying), kila kitu yeye anamind...mara nyingi hua wanajitanguliza wao kwenye vitu hawajali wenzao nk nk.

[emoji3581]Passive: Hawa ni wale watu wa kuchukulia poa hawana shida na watu wao ukiwaudhi wanatabasamu tu. Mark zuckenburg, Wentworth Miller (michaelscolfied) hili kundi ndio husongwa na Msongo zaidi

[emoji3581]Assertive: Hawa wao wako tayari kufanya chochote kwa ajili ya wenzao hata kupoteza maisha..wanachukulia wengine ni wathamani kuliko wao. mf Jesus, Nyerere,All freedom fighters.

Sasa fikiria mtu wa kundi la kwanza umemtendea mambo mabaya huyu lazima awe mbaya mbeleni tu si mnajua alichofanya hitler ajili ya kudharauliwa,akina Mao tsetung, serial killers wote, lakini kwa watu wa kundi la pili hua tofauti wao hua wanayatumia yale madharau wanayofanyiwa kufanya vitu kuwathibishia watu kua wao sio wajinga.

Mfano Mark wa Facebook alikua wanamchukulia poa sana kipindi yuko chuo ila ukizingatia kwa walikua maskini ila leo hii walio mdharau wako wapi? Thomas Edison hadi mama yake aliandikiwa barua na uongozi wa shule kua hana akili, mwisho kabisa kawa ndio mgunduzi na mfanyabiashara mkubwa sana kwenye maswala ya electrnonic na electricity. Akina Eminem leo hii wako level ipi? Wentworth Miller hadi sasa kutokana na kuwa abused hata hajielewi tena jinsia yake inataka nini (leo gay kesho mwanaume) mifano ni mingi mno.

Jamani wazazi wa leo na wazazi watarajiwa hatima ya mafanikio ya mwanao kiuchumi au kiakili yapo mkononi mwako, mwambie mema sio kumwambia mwanao maneno yanayo mfanya ajione inferior, hana thamani matokeo yake hua ni mabaya sana. Hata Jesus watu walimbeza ila mwisho wa siku kabaki kua ndio binaadamu ambae historia yake haitafutika kwa aliyoyatenda. Usimdharau mtu wala kumkandamiza hatujui hatima zetu. Serial killers wengi chnzo hua ni ugonjwa akili ambao unasababishwa na malezi mabaya.
Kongole mkuu,nmekuelewa sanaa hapa
 
Kuna demu hapa mtaani juzi kati amenichana ananiambia mimi ni mtu ninayejisikia sana , ninajiona mimi ndo mimi ,sina story na watu na hata kuwasalimia watu ni shida ,ikabidi nimwambie tuuh sio kwamba najisikia au ninadharau ila ndo nipo hivyo
 
Kuna demu hapa mtaani juzi kati amenichana ananiambia mimi ni mtu ninayejisikia sana , ninajiona mimi ndo mimi ,sina story na watu na hata kuwasalimia watu ni shida ,ikabidi nimwambie tuuh sio kwamba najisikia au ninadharau ila ndo nipo hivyo
Mate unachanganya kiburi+dharau na Introvertism. Kutokusalimia watu ni dharau sio introverts..
 
Dah mimi cjui ni introvert au extroverts maana tabia zangu ni hizi

1. Sicheki na mtu, kucheka ni kwenye simu nikiwa naperuzi

2. Sikai kwenye sehemu yenye kelele, hata kikiwa kikao cha harusi ya ndugu sikai

3. Sipendi kufuatilia, naweza nikawa najisomea halafu nikute boya mmoja anapita huku anaangalia nachosoma nafunga daftar

4. Chuo marafiki wa kuongea nao ni wachache kuwajibu ni ok. Sawa, yes ila tukiwa kwenye grupu la Whatsapp akiwasha sio poa

5. Mademu naishia kuwala kwa macho. Sina taimu nao wote nawaona malaya tu

6. Sikai sebulen nikirudi chuo nipo ndani nachati,
Ilinichukua muda sana kuzoea the so called Discussion...
 
till now im not too good in openly (public) discussins
Mm Napenda kukaa mbele kabisa kama nipo Sehemu ya muunganiko wa watu. Siku tupo kwenye orientación nimekaa mbele nilikua nimevaa cheni ndogo ya rozali halafu hapo kuna sheria kali sana za mavazi ikiwemo cheni. Si nikatolewa mbele ya watu 1000+ nikatolewa mfano wa kutokuvaa cheni. It was the worst day of my life.. mimi aibu tu ndio huniponza
 
Mate unachanganya kiburi+dharau na Introvertism. Kutokusalimia watu ni dharau sio introverts..
Kuna kusalimia na kusalimia kila mtu njiani, mimi watu ninaowafahamu ninawasalimia vizur kabisa ila kama sikufahamu tukipishana barabarani mimi ni mgumu kusalimia, Huyo demu aliyeniambia sababu tumekutana maeneo mengi sana alafu ananikuta mkimya tuu ikabidi achukue namba kwa mshikaji wangu akawa anashangaa mbona kwenye simu naongea na story kibao
 
Hapana mzazi akiwa mkali kwa mtoto hakubadirishi personality yake kwamba awe extrovert abadirike ajwe extrovert. Kumbuka Personality traits yaani kua extrovert au introvert ni mambo traits ambazo mwanadamu anazaliwa nazo tayari zipo ndani yake hivyo muhusika hawezi kubadirisha traits hizo au kuhama kundi moja kwenda lingine.

Ila wazazi kama ni wakali kwa mtoto wanaharibu behavioral model ya mtoto, tabia za ndio kitu mtu unaweza kubadirisha kutokana na mazingira fulani uliyopo...

Waleeni watoto wenu vizuri mkiwapa maneno ya ushindi na kutia moyo hata kama unaona mwanao hana uwezo mkubwa, we unamwita mwanao we mjinga njoo hapa,we mpumbavu, we zezeta njoo n.k....namwanangu mtu akimwita hivo tutauana haya maneno nayajua uchungu wake na madhara yake nayaona mpaka leo. mtoto anakua hana imani na maisha, anajiona hafai kwenye jamii mwisho inampelekea kua na msongo hata ufikiri wake unayumba mwisho anaanza kutenda maovu ili kulipa machungu ya maneno anayoambiwa.

Treat your son like king not like a asshole. Mentality disturbance za watoto zinaharibiwa nanyi wazazi. 5yrs ago nilisoma soma Psycology upande wa tabia za binaadamu na makuzi yake toka akiwa na wiki 2 baada ya mimba kutungwa hadi umri wa miaka 70 nafahamu vyema sana, Kwenye Behavioural model tabia za binaadamu zimegawiwa katika makundi matatu makuu:
[emoji3581]Agressive: Huyu mtu aliye kwenye kundi hili yeye jambo dogo analikuza linakua kuubwa (amplifying), kila kitu yeye anamind...mara nyingi hua wanajitanguliza wao kwenye vitu hawajali wenzao nk nk.

[emoji3581]Passive: Hawa ni wale watu wa kuchukulia poa hawana shida na watu wao ukiwaudhi wanatabasamu tu. Mark zuckenburg, Wentworth Miller (michaelscolfied) hili kundi ndio husongwa na Msongo zaidi

[emoji3581]Assertive: Hawa wao wako tayari kufanya chochote kwa ajili ya wenzao hata kupoteza maisha..wanachukulia wengine ni wathamani kuliko wao. mf Jesus, Nyerere,All freedom fighters.

Sasa fikiria mtu wa kundi la kwanza umemtendea mambo mabaya huyu lazima awe mbaya mbeleni tu si mnajua alichofanya hitler ajili ya kudharauliwa,akina Mao tsetung, serial killers wote, lakini kwa watu wa kundi la pili hua tofauti wao hua wanayatumia yale madharau wanayofanyiwa kufanya vitu kuwathibishia watu kua wao sio wajinga.

Mfano Mark wa Facebook alikua wanamchukulia poa sana kipindi yuko chuo ila ukizingatia kwa walikua maskini ila leo hii walio mdharau wako wapi? Thomas Edison hadi mama yake aliandikiwa barua na uongozi wa shule kua hana akili, mwisho kabisa kawa ndio mgunduzi na mfanyabiashara mkubwa sana kwenye maswala ya electrnonic na electricity. Akina Eminem leo hii wako level ipi? Wentworth Miller hadi sasa kutokana na kuwa abused hata hajielewi tena jinsia yake inataka nini (leo gay kesho mwanaume) mifano ni mingi mno.

Jamani wazazi wa leo na wazazi watarajiwa hatima ya mafanikio ya mwanao kiuchumi au kiakili yapo mkononi mwako, mwambie mema sio kumwambia mwanao maneno yanayo mfanya ajione inferior, hana thamani matokeo yake hua ni mabaya sana. Hata Jesus watu walimbeza ila mwisho wa siku kabaki kua ndio binaadamu ambae historia yake haitafutika kwa aliyoyatenda. Usimdharau mtu wala kumkandamiza hatujui hatima zetu. Serial killers wengi chnzo hua ni ugonjwa akili ambao unasababishwa na malezi mabaya.
nmekuelewa asee
 
Tabia za binadamu zimewekwa katika mafungu matatu makuu wao wataalamu wanaita Behavioral Models ambazo Passivenes,Asertivenes na Agressiveness.

Passiveness Behaviour.
Mtu wa kundi hili anakuwa mkimya na haongei wala kuchukua hatua yoyote kama kakasirika au mtu kamtendea jambo baya au akichanganyikiwa. Wanasaikolojia wanashauri kuwa hii sio tabia nzuri binadamu kuwa nayo maana inamfanya mtu anaweza kukuongoza, kukutumia au kukunyanyasa.

Japo Wanasema muda mwingine inasaidia.
hapa wanatoka kundi la wale wanyonge rais wetu anaowasema kama Nikola Tesla, Sirdhata Gautama (Budha) Dalai lama, Mark Zuckernburg, Wentworth Miller,
Clint Eastwood (Blondie wa The bad and the Ugly),na wengine wengi.

Siafa za mtu mwenye tabia hii.

●Hubaki kimya mtu akimchukiza
●Huishi kutokana na watu wanavyataka aishi na huacha watu wengine ndio wamfanyie maamuzi
●Hapiganii haki zake, akidhulumiwa hua hadai nabaki kimya
● huomba msamaha sana
●Kama anashida ya kimaisha hua hasemi anabaki nalo moyoni
●mara nyingi huongea taratibu (sauti ndogo)
●Hapendi kutokukubaliana na mtu, hata kama jambo hajapenda yuko tayari akubali tu ili kumridhisha mtu
● Hupenda kucheka na kuficha sura yao kwa viganja.

Assertiveness Behaviour
Katika aina hii ya tabia mtu anakua yupo tayari kufanya lolote ili apate haki au kutendewa kwa usawa, Mtu anakua tayari kutoa mawazo yake, hisia zake au matamanio yake bila ya kudharau mawazo, mahitaji,hisia na matamanio ya wengine.

Kundi hili wanatoka watu wengi maarufu hasa wapigania uhuru na haki za wanadamu.. huku Bwana Jesus akiwaongozea jahazi lao, nyerere akiwa pembeni, Martin Luther king, Malcom X, Bob marley, Patrice Lumumba, Kwame
Nkhuruma, Mahatma Gandhi, Che Guevara, Fidel Castrol nk

Sifa za mtu mwenye tabia hii
● Anakuwa huru kuwasilisha mawazo na hisia zake juu ya kitu fulani
● Hutambua haki zake
● Huwa wanajiamini sana
● Huwa wanaweza kukontro hasira zao, wanakontro hasira zao lakini hawezi acha kukwambia kama umemuudhi, atakwambiaa kwa kutumia hekima
●Huwa wanapenda kusaidia watu wengine wapate haki zao
●Hua wanaheshimu na kuthamini mawazo au hisia za wengine
● Hupenda kusuruhisha matatizo
●Hupenda kudai haki zao bila kutumia maneno ya kuudhi.

Agressive Behaviour
Kundi hili ni wale watumi nguvu kwenye kila kitu, Sio wema, na wanapenda kunyanyasa
wengine hasa kutoka kundi namba moja.

Watu wa kundi hili wanaweza kufanya matendo hayo kwa maneno ya kuudhi, vitendo vya kuudhi nk. Agressive behaviour inaweza kua Physically, mentally au Verbal (maongezi). hapa sasa ndio wanakuja wale wote wenye tabia za kidikteta, roho mbaya roho mbaya tu, hawana utu! Mtawataja wenyewe tumewajaza Duniani na nchini kwetu.

Sifa za watu wa kundi hili
● Huwasilisha hisia zao, mawazo yao au matamanio na mahitaji yao bila katika njia
ambayo inaweza kuwatisha wengine.
●Huwa wanasimama kwa haki zao tu hawajali wengine, kama yeye kala wewe usipokula shauri yako. she/he don't give a damn
●Hupenda kujiweka mbele ya wengine apate kwanza yeye wengine ndio mfuate
●Hupenda kupata mafanikio au kutimiza malengo yake kwa kuwatumia wengine bila
kuwajali.
●Wanapenda kutumia nguvu zaidi dhidi ya wenzio
●Huwa wanapenda wawe viongozi wa wenzao
● Hupenda kufoka tu hata kwa jambo dogo
●Hupenda kusema makosa ya wenzao kwa kuwanyooshea vidole
●Hupenda kupigana au kutishia kupiga/na
●Anapenda apate wewe usipate
●Hawapendi kukosolewa na wanapenda kujisifia/sifiwa.

Tabia zinaweza athiriwa na mazingira pia, kuna wakati mtu anabadirika kutokana mazingira yanamfanya awe hivo, ila ni rahisi Mtu wa kundi la tatu kurudi kundi la kwanza kuliko kundi la kwanza kuja la tatu.

Bila shaka mkuu

kitu gani kimekuchekesha

Yes, na heshima ni kitu kikubwa sana.

Yes tunapenda wapole

Ila upole ule uliochangamka

Sikupingi babaake

Aisee hio namba 6 ni kweli kabisaa

Na wakishalewa wanaongea athari😁

Nimekuelewa mkuu.

Ila mkuu experiences has to give us lessons and to apply

Hauko sawa boss. Seek help ASAP!

Acha ujinga,hivi kuwa introvert ni kuto kuongea?

Eti hope ntapata malaika[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Kubal ulichobarikiwa Mkuu, hakuna Curse yoyote

Ngoja nisabusikaraibu kwanza then nirudi nipitie mdogomdogo

Acha umbea

Kivipi mkuu?

Yaan una FULL FEATURES za introvert

Wanatuonaga wenye viburi kumbe sio ndo tulivyoumbwa

Duh! Mtu mmoja kama anaambiwa yeye
 
Back
Top Bottom