Firmino bobby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2018
- 228
- 594
- Thread starter
- #21
Ooh my God, mpaka leo sijawai kurudia kuusoma uzi ule, niliandika yale nikiwa na machungu sana moyoni. Nashukuruni sana wadau, nilichokiandika hapo ndicho kweli kilicho tokea leo hii.Moja ya aya zilizosisimua sana kwenye uzi wa jamaa.
View attachment 1455229
[emoji2021]Manners Maketh Man[emoji2021]