Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana mtu Special [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Very emotional!!
😃😃 manyaku nyakuAnyways nimesoma mpaka mwisho. Hongera kwako na kwa waliokusaidia.. sasa bro umesema nyumba unayo vipi mke ushapata? Asking for a friend[emoji847]
Sent From Galaxy S20 Ultra
Unataka kutangaza nia kama Jimbo lipo wazi?!![emoji2][emoji2][emoji2]Anyways nimesoma mpaka mwisho. Hongera kwako na kwa waliokusaidia.. sasa bro umesema nyumba unayo vipi mke ushapata? Asking for a friend[emoji847]
Sent From Galaxy S20 Ultra
Hahahaha mkuu sikwenda kokote mkuu, nilipewa ahadi nyingi, kuna jamaa mmoja aliniambia niende nikamjengee msingi wa nyumba yake yote atanipa ada nzima na huyo bwana alikua yuko songea mimi niko dar.Mkuu hukuendaga kwenye ile kampuni/taasisi ya kahawa kule moshi??..
Ameen mkuu. Sanaa sanaa yeah!Hongera sana mtu Special [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha hapana sijapata bado,,,, ahsanteAnyways nimesoma mpaka mwisho. Hongera kwako na kwa waliokusaidia.. sasa bro umesema nyumba unayo vipi mke ushapata? Asking for a friend[emoji847]
Sent From Galaxy S20 Ultra
Nashukuru mkuu, nilifungua email yangu nikakuta kuna tag ya post yako na ndio ukanifanya nilete mrejesho leo, shukrani kwa comment yako ile.Safi mkuu mimi nilitaka nijue kwamba ulichomoa au bado kina chuwa wameshikilia kiuno ila nimeona ulitoka first seating hongera na Mungu akutangulie katika mapambano ya maisha
Shukurani sanaa Hamdan.Mwenyezi Mungu awazidishie wale wote walio kusaidia mpaka kufika hapo, na akufinyie wepesi katika mambo yako, uendelee kuwa msaada kwa wengine.
Mkuu hongera sana japo sikufanya ilivyotakiwa but ulinishirikisha hatua zoteMkuu Lyamber kuna mahala ulini tag ukataka updates, karibu kaka.
You are the man bro. i will never forget you, nakushukuru sanaa sanaa, msaada wako wa mawazo na namna ulivyokua ukinipa matumaini vilikua vinatosha sanaa, nisingeweza kufika hapa bila wewe,Mkuu hongera sana japo sikufanya ilivyotakiwa but ulinishirikisha hatua zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaio hautaki tena Crown New Model unataka wakili msomi?Anyways nimesoma mpaka mwisho. Hongera kwako na kwa waliokusaidia.. sasa bro umesema nyumba unayo vipi mke ushapata? Asking for a friend[emoji847]
Sent From Galaxy S20 Ultra
Unataka umchune?Anyways nimesoma mpaka mwisho. Hongera kwako na kwa waliokusaidia.. sasa bro umesema nyumba unayo vipi mke ushapata? Asking for a friend[emoji847]
Sent From Galaxy S20 Ultra