Firmino bobby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2018
- 228
- 594
- Thread starter
-
- #61
Amen, japo umeshukuru kuzidi mkuuYou are the man bro. i will never forget you, nakushukuru sanaa sanaa, msaada wako wa mawazo na namna ulivyokua ukinipa matumaini vilikua vinatosha sanaa, nisingeweza kufika hapa bila wewe, kazi uliyoifanya ilikua ni kubwa sanaaa sanaa hata kuwaaminisha watu tu kua nilikua nasema ukweli na sidanganyi vile vilitosha sanaa, Mwenyezi Mungu akubariki sanaa mkuu sanaa sanaaa, tutafanya mengi pamoja siku za mbeleni.
Shukrani sanaa Saint kwa maneno yako haya🙏Hongera Sana kwa kutimiza ndoto zako. Endelea na moyo huo wa kusaidia wasiojiweza. Mungu atakubariki hadi utashangaa. Kumbe kuna watu wema sana humu.
Huu uzi umenifanya nikasome na uzi wako mwingine[emoji120]
Huu ndio upendo wa dhati
Sent using Jamii Forums mobile app
Hornet ahsante sanaa kwa niaba yao.🙏Jf kuna watu wema sana. Yaani Jf is more than a family. Unaweza tengeneza marafiki zaidi hata ya sehemu nyinginezo.
Kwa yoyote aliyegusa maisha yangu kwa namna moja au nyingine. M.Mungu awabariki sana.
Mbarikiwe Mliompigania mtoa mada Mungu awabariki.
hahahahahh sawa, shukrani sana.Mh Mwanasheria unisamehe sijaweza kumaliza kusoma bandiko lako lote kutokana na ni usiku usingizi umeshachukua nafasi yake ila nikupongeze kwa kutambua umuhimu wa kusaidia watu kama wewe ulivyosaidiwa.
Hongera sana
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Sanaa mkuu 🙏Vizuri sana,, wakati wote naamini roho mbaya haijengi hivyo tuishi vizuri na watu ,tusaidie wengine. Mungu ni mwema.
Nimejikuta nafurahi Sana.Shukrani sanaa Saint kwa maneno yako haya[emoji120]
Wakili msomi ataninunulia CrownKwaio hautaki tena Crown New Model unataka wakili msomi?
"Ni wivu tu" in Gwajiboy' voiceUnataka umchune?
Usijali we jihesabie ushapata. Nazama pm chapHahahaha hapana sijapata bado,,,, ahsante
Kwendraaaa[emoji23]. Usini peperushie ndege wangu[emoji2][emoji2] manyaku nyaku