Jinsi Lissu alivyoushtukia mtego uliopangwa na mamlaka wakishirikiana na Dkt. Slaa

Jinsi Lissu alivyoushtukia mtego uliopangwa na mamlaka wakishirikiana na Dkt. Slaa

Habari zenu wanaJF wenzangu

Hapa katikati ya mvutano wa nani anaefaa kuwa mwenyekiti wa Chadema. Baada ya upepo kuonekana kwenda upande wa Lissu, wazee wa kazi wakakaa kikao kimya kimya kama walivyofanya wakati wa Lowasa (lkn safari hii kwa namna nyingine) na kuja na njia ambayo itasaidia kumtia Lisu nguvuni, ili yule mgombea wao aweze kupita kiurahisi katika uchaguzi mkuu wa chama.

Katika kuangalia huku na kule ndo ikaonekana kwamba Dr Slaa anaweza kufaa sana katika dili la kusaidia kukamatwa kwa Lisu, lkn ili hilo litokee ni lazima kuwe na sababu ya kumkamatia.

Dkt. Slaa akapewa kazi ya kutengeneza uongo dhidi ya mkuu wa mhimili uliojichimbia (mama Abdu) na kuuweka kwenye media ili waone Lisu ata react vipi kupitia uongo huo.

Baada ya kuona Lisu hakutilia maanani sana swala hilo, wakaja na gia ya kwenda kumkamata Dr Slaa na kumtupa lupango ili kuona kwamba yule anaejifanya kutetewa na Dr Slaa ambae ni Tundu Lisu atalichukuliaje swala la mtetezi wake uchwara kukamatwa.

Kama hiyo haitoshi, Dkt. Slaa akanyimwa dhamana. Lengo la kumnyima dhamana ni kuangalia kama Lisu atalivalia njuga swala hilo, na pengine kuhamasisha watu wake akiwemo yeye mwenyewe kuingia barabarani kumpigania Dr Slaa apewe apewe dhamana, na hivyo kuwa rahisi kwa Lisu na wafuasi wake ambao wangeandamana kukamatwa na kutupwa ndani, kisha kuja kuachiwa mwisho wa mwezi huu baada ya uchaguzi wao wa chama kuisha na mtu wao kupita katika kinyang'anyiro bila upinzani wowote.

Ama kweli Lisu ana machale aisee. Angekurupuka kujifanya anaingia barabarani kumpigania Dr ilikuwa amekwisha.
Kiwango cha fikra za kitoto
 
lakini nikimwangalia Slaa kwa namna nyingine naona ni mzee flani asiyeaminika. sio?
Licha ya Slaa kutoaminika, lkn pia kitendo cha Lisu kumpotezea mpiga debe huyu kinaonesha ni jinsi gani alivyofanikiwa kuuelewa mtego huu mapema uliokuwa umetegwa kwa ajili yake.
 
Basi watu wa mfumo watakuwa wa hovyo sana. Chama kinaweza kuendeleaje na uchaguzi wakati makamu mwenyekiti wao na ambaye ni mgombea yuko ndani? Kama waliweza kumchagua kuwa makamu mwenyekiti akiwa ubeligiji anajiuguza huoni kama kumfunga Lisu ndio kutachochea ushindi wake hata akiwa hukohuko gerezani? Huoni kama kutachochea vurugu za kiuchaguzi ndani ya CDM kama uchaguzi utaendelea Lisu akiwa mahabusu?

Silaa amekamatwa kutokana na maneno yake jambo ambalo si vibaya kumshikilia atoe ushahidi kwa tuhuma nzito alizozitoa. Sidhani kama Mbowe ni mjinga kiasi hicho au watu wa kitengo kwamba wamekosa akili kwa kiasi hicho.
 
Mungu wa kweli na mwema, tunaweka uchaguzi huu mikononi mwako. Tunaamini kuwa kwa uongozi wako, matokeo yatakuwa ya kutangaza utukufu wako na kuimarisha mshikamano wetu.

Katika jina la Yesu Kristo tunaomba na kushukuru. Amina.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Hapa katikati ya mvutano wa nani anaefaa kuwa mwenyekiti wa Chadema. Baada ya upepo kuonekana kwenda upande wa Lissu, wazee wa kazi wakakaa kikao kimya kimya kama walivyofanya wakati wa Lowasa (lkn safari hii kwa namna nyingine) na kuja na njia ambayo itasaidia kumtia Lisu nguvuni, ili yule mgombea wao aweze kupita kiurahisi katika uchaguzi mkuu wa chama.

Katika kuangalia huku na kule ndo ikaonekana kwamba Dr Slaa anaweza kufaa sana katika dili la kusaidia kukamatwa kwa Lisu, lkn ili hilo litokee ni lazima kuwe na sababu ya kumkamatia.

Dkt. Slaa akapewa kazi ya kutengeneza uongo dhidi ya mkuu wa mhimili uliojichimbia (mama Abdu) na kuuweka kwenye media ili waone Lisu ata react vipi kupitia uongo huo.

Baada ya kuona Lisu hakutilia maanani sana swala hilo, wakaja na gia ya kwenda kumkamata Dr Slaa na kumtupa lupango ili kuona kwamba yule anaejifanya kutetewa na Dr Slaa ambae ni Tundu Lisu atalichukuliaje swala la mtetezi wake uchwara kukamatwa.

Kama hiyo haitoshi, Dkt. Slaa akanyimwa dhamana. Lengo la kumnyima dhamana ni kuangalia kama Lisu atalivalia njuga swala hilo, na pengine kuhamasisha watu wake akiwemo yeye mwenyewe kuingia barabarani kumpigania Dr Slaa apewe apewe dhamana, na hivyo kuwa rahisi kwa Lisu na wafuasi wake ambao wangeandamana kukamatwa na kutupwa ndani, kisha kuja kuachiwa mwisho wa mwezi huu baada ya uchaguzi wao wa chama kuisha na mtu wao kupita katika kinyang'anyiro bila upinzani wowote.

Ama kweli Lisu ana machale aisee. Angekurupuka kujifanya anaingia barabarani kumpigania Dr ilikuwa amekwisha.
Story za vijiweni hizi
 
Lisu kashtukia mchezo. Utaona jinsi kesi ya Dr Slaa itavyoyeyuka baada ya uchaguzi mkuu Chadema kuisha.

Maana lengo kuu lilikuwa ni kumkamata Lisu ili asishiriki uchaguzi mkuu wa chama ili mwamba ashinde kiulaini bila upinzani wa maana.
Kwa hiyo kwa mantiki yako Mwenyekiti anahusika na mpango? Aisee
 
Watu wakubwa ktk nchi hawawekwi lupango kam watu wa kawaida ktk jamii bali sehemu maalumu ya kupata huduma zote ambazo unaweza ukazipata ukiwa nyumbani kwako
Kama kupiga simu, unakunywa supu, unaoga vizuri. Na Net ya kulalia inapewa.

Saluni tu ndio huendi ili uote midevu kama wafungwa
 
Mleta mada alivyo mpumbavu unaweza kukuta ameacha kupyambya kabisa eti kwa ajili ya kutunga huu ujinga. Kuna wakati mwingine unapitia nyuzi humu halafu unatafakari kuhusu familia ya mleta mada, hususani mkewe na watoto, kisha unasikitika sana.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Habari zenu wanaJF wenzangu

Hapa katikati ya mvutano wa nani anaefaa kuwa mwenyekiti wa Chadema. Baada ya upepo kuonekana kwenda upande wa Lissu, wazee wa kazi wakakaa kikao kimya kimya kama walivyofanya wakati wa Lowasa (lkn safari hii kwa namna nyingine) na kuja na njia ambayo itasaidia kumtia Lisu nguvuni, ili yule mgombea wao aweze kupita kiurahisi katika uchaguzi mkuu wa chama.

Katika kuangalia huku na kule ndo ikaonekana kwamba Dr Slaa anaweza kufaa sana katika dili la kusaidia kukamatwa kwa Lisu, lkn ili hilo litokee ni lazima kuwe na sababu ya kumkamatia.

Dkt. Slaa akapewa kazi ya kutengeneza uongo dhidi ya mkuu wa mhimili uliojichimbia (mama Abdu) na kuuweka kwenye media ili waone Lisu ata react vipi kupitia uongo huo.

Baada ya kuona Lisu hakutilia maanani sana swala hilo, wakaja na gia ya kwenda kumkamata Dr Slaa na kumtupa lupango ili kuona kwamba yule anaejifanya kutetewa na Dr Slaa ambae ni Tundu Lisu atalichukuliaje swala la mtetezi wake uchwara kukamatwa.

Kama hiyo haitoshi, Dkt. Slaa akanyimwa dhamana. Lengo la kumnyima dhamana ni kuangalia kama Lisu atalivalia njuga swala hilo, na pengine kuhamasisha watu wake akiwemo yeye mwenyewe kuingia barabarani kumpigania Dr Slaa apewe apewe dhamana, na hivyo kuwa rahisi kwa Lisu na wafuasi wake ambao wangeandamana kukamatwa na kutupwa ndani, kisha kuja kuachiwa mwisho wa mwezi huu baada ya uchaguzi wao wa chama kuisha na mtu wao kupita katika kinyang'anyiro bila upinzani wowote.

Ama kweli Lisu ana machale aisee. Angekurupuka kujifanya anaingia barabarani kumpigania Dr ilikuwa amekwisha.
Lissu hakuweza kuingia barabarani kutetea katiba mpya na tume huru ya uchaguzi unafikiri angeweza kuingia barabarani kumtetea Slaa?
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Hapa katikati ya mvutano wa nani anaefaa kuwa mwenyekiti wa Chadema. Baada ya upepo kuonekana kwenda upande wa Lissu, wazee wa kazi wakakaa kikao kimya kimya kama walivyofanya wakati wa Lowasa (lkn safari hii kwa namna nyingine) na kuja na njia ambayo itasaidia kumtia Lisu nguvuni, ili yule mgombea wao aweze kupita kiurahisi katika uchaguzi mkuu wa chama.

Katika kuangalia huku na kule ndo ikaonekana kwamba Dr Slaa anaweza kufaa sana katika dili la kusaidia kukamatwa kwa Lisu, lkn ili hilo litokee ni lazima kuwe na sababu ya kumkamatia.

Dkt. Slaa akapewa kazi ya kutengeneza uongo dhidi ya mkuu wa mhimili uliojichimbia (mama Abdu) na kuuweka kwenye media ili waone Lisu ata react vipi kupitia uongo huo.

Baada ya kuona Lisu hakutilia maanani sana swala hilo, wakaja na gia ya kwenda kumkamata Dr Slaa na kumtupa lupango ili kuona kwamba yule anaejifanya kutetewa na Dr Slaa ambae ni Tundu Lisu atalichukuliaje swala la mtetezi wake uchwara kukamatwa.

Kama hiyo haitoshi, Dkt. Slaa akanyimwa dhamana. Lengo la kumnyima dhamana ni kuangalia kama Lisu atalivalia njuga swala hilo, na pengine kuhamasisha watu wake akiwemo yeye mwenyewe kuingia barabarani kumpigania Dr Slaa apewe apewe dhamana, na hivyo kuwa rahisi kwa Lisu na wafuasi wake ambao wangeandamana kukamatwa na kutupwa ndani, kisha kuja kuachiwa mwisho wa mwezi huu baada ya uchaguzi wao wa chama kuisha na mtu wao kupita katika kinyang'anyiro bila upinzani wowote.

Ama kweli Lisu ana machale aisee. Angekurupuka kujifanya anaingia barabarani kumpigania Dr ilikuwa amekwisha.
Kuna siku atapatikana tuu ,wapo watu wake wengi wa maana kuliko huyo unaemsakizia.

By the way anaempigania Slaa ni Lema na pengine wanadhani jambo Yao ikishinda wao watamsimamisha kama mgombea Urais.
 
Huenda Lissu ana watu wake katika system wanaompa habari ya kila kinachopangwa juu yake.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Hapa katikati ya mvutano wa nani anaefaa kuwa mwenyekiti wa Chadema. Baada ya upepo kuonekana kwenda upande wa Lissu, wazee wa kazi wakakaa kikao kimya kimya kama walivyofanya wakati wa Lowasa (lkn safari hii kwa namna nyingine) na kuja na njia ambayo itasaidia kumtia Lisu nguvuni, ili yule mgombea wao aweze kupita kiurahisi katika uchaguzi mkuu wa chama.

Katika kuangalia huku na kule ndo ikaonekana kwamba Dr Slaa anaweza kufaa sana katika dili la kusaidia kukamatwa kwa Lisu, lkn ili hilo litokee ni lazima kuwe na sababu ya kumkamatia.

Dkt. Slaa akapewa kazi ya kutengeneza uongo dhidi ya mkuu wa mhimili uliojichimbia (mama Abdu) na kuuweka kwenye media ili waone Lisu ata react vipi kupitia uongo huo.

Baada ya kuona Lisu hakutilia maanani sana swala hilo, wakaja na gia ya kwenda kumkamata Dr Slaa na kumtupa lupango ili kuona kwamba yule anaejifanya kutetewa na Dr Slaa ambae ni Tundu Lisu atalichukuliaje swala la mtetezi wake uchwara kukamatwa.

Kama hiyo haitoshi, Dkt. Slaa akanyimwa dhamana. Lengo la kumnyima dhamana ni kuangalia kama Lisu atalivalia njuga swala hilo, na pengine kuhamasisha watu wake akiwemo yeye mwenyewe kuingia barabarani kumpigania Dr Slaa apewe apewe dhamana, na hivyo kuwa rahisi kwa Lisu na wafuasi wake ambao wangeandamana kukamatwa na kutupwa ndani, kisha kuja kuachiwa mwisho wa mwezi huu baada ya uchaguzi wao wa chama kuisha na mtu wao kupita katika kinyang'anyiro bila upinzani wowote.

Ama kweli Lisu ana machale aisee. Angekurupuka kujifanya anaingia barabarani kumpigania Dr ilikuwa amekwisha.
Huu uzi umejikita kwenye umbea na tetesi kuliko facts. Lowasa kuhamia CHADEMA haikuwa ishu za usalama wa taifa, tena hiki ndio kipindi CHADEMA ilipata wabunge wengi kuliko wakati wowote. Hata uchaguzi mkuu, hakuna uhakika kama JPM alishinda ule uchguzi.
 
Back
Top Bottom