antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Walimu wa St. Kayumba ndiyo wengi, na lugha inayoandikwa kwenye mkataba ni changamoto kwao!Kwani utachukua mkopo bila kusoma mkataba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimu wa St. Kayumba ndiyo wengi, na lugha inayoandikwa kwenye mkataba ni changamoto kwao!Kwani utachukua mkopo bila kusoma mkataba
Mkiambiwa CCM ni janga hivyo fanyeni kila namna ili tupate katiba mpya na nchi iwe na mabadiliko mnasema haiwahusu. Ukweli ni kwamba uongozi mbovu wa CCM unalingamiza taifa letu na kila mmoja atakuwa affected kwa njia moja au nyingine.Habari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.
Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.
5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
Wenyewe vigogo wanahisi watumishi wakimiliki kila kitu watashindwa kufanya kazi(kubweteka).Kweli, Mimi naona kungekuwa na utaratibu wafanyakazi wa serikali wote wawe wanakopa hazina
Wanatuibia sanaWenyewe vigogo wanahisi watumishi wakimiliki kila kitu watashindwa kufanya kazi(kubweteka).
Hawawezi kutoa mikopo ya namna hiyo mkuu.
Benki zetu hizi ni wezi sana . Mfano hayo mambo ya processing fees , sijui Bima ya mkopo n.k , vyote hivyo ni wizi tu.
Mteje akifanya up-dating halipwi fedha alizokatwa kama Bima ya mkopo uliopita, yaani bora hata NBC wanatoa chochote baada ya ku-update
Basi siwez kuchukua mkopo Kwa namna hiyo, inakuwaje siri Kwa mtu mmoja tu naakati ni jambo la pande zote mbiliUtasoma ila ata copy ya mkataba hawakupi,eti ni confidential[emoji846]
Hatulazimishwai ni shida zetu zinatupeleka,ukiona sio ni kuachana na mikopo tuHabari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.
Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.
5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
Basi ni wahuni!Mkuu yaani acha tuu.
Wanachokifanya kwenye ule mkataba just wanakuambia just usaini sehemu yako na shahidi wako tu. Ile sehemu utalipa kiasi gani wanajaza wao wakati haupo, apo utakachoambiwa ni makato ya mwezi ni kiasi gani.
Ni mtumishi mwenyewe azidishe makato ya mwezi na idadi ya miezi ya mkataba, hapo ndipo anaweza kugungua huu wizi.
You are right mkopo sahihi na usio umiza ni wa miaka miwili yaani 24 months,mkopo mrefu ni hasara kwa bank na pia kwa mteja you have to know thisMiezi 96 ni miaka 8.ni mjinga pekee anayeweza kopa mdogo hivyo kwa kipindi cha zaidi ya miezi 48.
Mikopo ya muda mrefu mi ghali sana.
Yaani unakopa kabla ya mtoto kuzliwa unaendelea kulipa mpaka mtoto anafanya national ya std 4.
Hapana sio hivo,riba huwa ni ileile haibadiriki Hadi mwisho wa mkopo nduguRiba huongezeka kulingana na muda wa mkopo. Muda ukiwa mrefu riba inakua kubwa na rejesho linakua kidogo and vice versa. Kupanga ni kuchagua .. hakuna wizi hapo as long as amekubali vigezo na masharti.
Shida gn ikufanye hata mkataba usisome unless mama yupo ICU lakini kama kununua kiwanja una haraka gn? Waambie wakupe mkataba maana mikataba Yao ni standard contract unakuta ishatengenezwa wewe ni kusaini tuu au kukataa. Ukiona hakufai unaleave ukiona uko poa unachukua mkopo.Ukiwa na shida hata huo mkataba kuusoma ni kazi nyingine. Wazo linakuwa kwenye uhitaji wa fedha!
Ila wanatuibia sana hawa watu! Mara bima ya mkopo, riba nayo kubwa! Nchi ngumu sana hii!
Umeelewa swali mwalimu?Ss akakope wapi
Aende na wakili wake binafsi ili amtafasirie vifungu Kwa kina, in the same sense at the same thingWalimu wa St. Kayumba ndiyo wengi, lugha inayoandikwa kwenye mkataba ni changamoto kwao!
eeh mnataka bank zife nyie nyie wakti pesa zenu zinarudi tena hazina kwa jina la ruzuku za bank...Kweli, Mimi naona kungekuwa na utaratibu wafanyakazi wa serikali wote wawe wanakopa hazina
Kwahiyo hiyo riba ni wale tu wenye shida ambao Hawana shida riba Yao ndogo?Unakuta mtu anashida no way out
Siku hizi wamewaingilia na wastaafu!!! Ni maumivu hadi basi!!Hiyo Processing fee wangeiondoa,hizi riba ziwatoshe.
Wanapata faida kubwa kwa kuwanyonya maskini.
Nawashangaa sana hawa watu ahseeHatulazimishwai ni shida zetu zinatupeleka,ukiona sio ni kuachana na mikopo tu
Sio kweli, mda mrefu riba ni kubwa makato madogo ila mda mfupi makato makubwa riba ndogo.Hapana sio hivo,riba huwa ni ileile haibadiriki Hadi mwisho wa mkopo ndugu