Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Kwakweli kwa mtumishi wa umma ni bora tu kuwekeza kidogo kidogo hata kama ni kwa miaka kadhaa kuliko kukopa!Nawashangaa sana hawa watu ahsee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli kwa mtumishi wa umma ni bora tu kuwekeza kidogo kidogo hata kama ni kwa miaka kadhaa kuliko kukopa!Nawashangaa sana hawa watu ahsee
Kwa mda mrefu kweli pesa inakuwa kubwa zaidi,kinacholazimu mtu a opt mda mrefu ni makato makubwa Kwa mda mfupi kitu kinachomwathri maisha ya Kila siku japo atalipa pesa kidogo kuliko mda mrefuSio kweli, mda mrefu riba ni kubwa makato madogo ila mda mfupi makato makubwa riba ndogo.
Unapochelewesha fedha unakwamisha mzunguko wa pesa Bank
yaani unataka kuwahi kuchukua mzigo, let's say ukusanye gunia 150 Kwa wakati unazani utawaza kisoma mkatabaShida gn ikufanye hata mkataba usisome unless mama yupo ICU lakini kama kununua kiwanja una haraka gn? Waambie wakupe mkataba maana mikataba Yao ni standard contract unakuta ishatengenezwa wewe ni kusaini tuu au kukataa. Ukiona hakufai unaleave ukiona uko poa unachukua mkopo.
🙆🙆Jamaa angu alipata uteuzi wa HoD, akawa anapokea 4G+... akazama Bank... mkopo 70m... marejesho Million 120+ huko...
Hey sorry, tukiachana na mada please Naomba tuyajenge PM ako kajina kako [emoji3059][emoji39][emoji39][emoji39]Kwa mda mrefu kweli pesa inakuwa kubwa zaidi,kinacholazimu mtu a opt mda mrefu ni makato makubwa Kwa mda mfupi kitu kinachomwathri maisha ya Kila siku japo atalipa pesa kidogo kuliko mda mrefu
Ndomasikini mlivyoyaani unataka kuwahi kuchukua mzigo, let's say ukusanye gunia 150 Kwa wakati unazani utawaza kisoma mkataba
kwani DP World Wenyewe wanasemaje?Habari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.
Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.
5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
ACHA masihara jamaaHey sorry, tukiachana na mada please Naomba tuyajenge PM ako kajina kako [emoji3059][emoji39][emoji39][emoji39]
Mwanaume mwenzio aiseeeKwani ww ni ke?
Hilo gawiyo ni kwa waliowekeza hisa zao humo siyo kapuku wa kukopaNdio maana fedha hizo zinarudi kama gawawo.....
Na ukienda kuchukua mkopo wanakufanyia process haraka haraka sana ili usibadili maamuziHabari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.
Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.
5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?