Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

Sio kweli, mda mrefu riba ni kubwa makato madogo ila mda mfupi makato makubwa riba ndogo.

Unapochelewesha fedha unakwamisha mzunguko wa pesa Bank
Kwa mda mrefu kweli pesa inakuwa kubwa zaidi,kinacholazimu mtu a opt mda mrefu ni makato makubwa Kwa mda mfupi kitu kinachomwathri maisha ya Kila siku japo atalipa pesa kidogo kuliko mda mrefu
 
Shida gn ikufanye hata mkataba usisome unless mama yupo ICU lakini kama kununua kiwanja una haraka gn? Waambie wakupe mkataba maana mikataba Yao ni standard contract unakuta ishatengenezwa wewe ni kusaini tuu au kukataa. Ukiona hakufai unaleave ukiona uko poa unachukua mkopo.
yaani unataka kuwahi kuchukua mzigo, let's say ukusanye gunia 150 Kwa wakati unazani utawaza kisoma mkataba
 
Kwa mda mrefu kweli pesa inakuwa kubwa zaidi,kinacholazimu mtu a opt mda mrefu ni makato makubwa Kwa mda mfupi kitu kinachomwathri maisha ya Kila siku japo atalipa pesa kidogo kuliko mda mrefu
Hey sorry, tukiachana na mada please Naomba tuyajenge PM ako kajina kako [emoji3059][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Habari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.

Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.

Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.

5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
kwani DP World Wenyewe wanasemaje?
 
Daaah aisee,jamani msaada wenu please nimekwama sana sana nipate Milioni 2. Mdogo wangu kagonga treni( lugha iliyozoeleka) ila amegongwa na treni kasagika mguu wa kulia,sasa matibabu ndo changamoto gharama zake.

Mpaka muda huu ameshakatwa mguu wa kulia na kuna operation nyingine inatakiwa.

Hapa nawaza kwenda Bank na hali ndo kama hii.

Nitarejesha taratibu tu,mimi ni mwaminifu sana.

Mungu atakubariki wewe utakayeniamini na kunisaidia katika hili la kuokoa uhai.
 
Mnataka mkopo rahisi kaombeni hela kwa wazazi wenu. Mnadanganyana usikope je unabima ya kazi yako, au ndio ukifa asubuhi taarifa zishatumwa hazina unatolewa kwenye payroll. Kopa fanya maendeleo hio ndio nguzo kwa familia yako.
 
Habari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.

Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.

Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.

5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
Na ukienda kuchukua mkopo wanakufanyia process haraka haraka sana ili usibadili maamuzi

Na hata hawakupi muda wa kusoma mkataba sembuse kukufafanulia. Wanakupa tu usaini haraka haraka.
 
Back
Top Bottom