Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

Mnataka mkopo rahisi kaombeni hela kwa wazazi wenu. Mnadanganyana usikope je unabima ya kazi yako, au ndio ukifa asubuhi taarifa zishatumwa hazina unatolewa kwenye payroll. Kopa fanya maendeleo hio ndio nguzo kwa familia yako.
Boss naomba unieleweshee..
Hivi kimfamo mtu ukakopa lets say 70M(mdhamini ni mwajiri kupitia mshahara wako, specifically serikalini) ukarejesha kiasi halafu baada ya mda ukaafukuzwa kazi au ukaacha nini kitatokeaa...?
 
Yaani mkopo wa milioni 6 kwa miaka 8 huyo jamaa ni mpuuzi [emoji2][emoji2957] si achukue miaka miwili atakatwa kila mwezi 285,251 kwa miaka miwili na riba itakuwa 846,024 sawa na 6,846,024 kwa riba ya 13% huyo itakuwa mwalimu ndo wanapenda shida[emoji23][emoji23]
Nimeshangaa

Nikasema analipwa mshahara kila cha chini nini? Hawezi kumaliza kwa muda mfupi.

Anaona benki inamwibia kumbe yeye ndio ameshindwa kufanya mahesabu.
 
Mkuu yaani acha tuu.
Wanachokifanya kwenye ule mkataba just wanakuambia just usaini sehemu yako na shahidi wako tu. Ile sehemu utalipa kiasi gani wanajaza wao wakati haupo, apo utakachoambiwa ni makato ya mwezi ni kiasi gani.

Ni mtumishi mwenyewe azidishe makato ya mwezi na idadi ya miezi ya mkataba, hapo ndipo anaweza kugungua huu wizi.
Sio kweli.

Ukitaka kukopa unaenda wanakufanyia mahesabu na marejesho yako,ni wewe tu waenda kukopa bila kujua riba na marejesho.


Kila kitu fanya kabla.
 
Nimeshangaa

Nikasema analipwa mshahara kila cha chini nini? Hawezi kumaliza kwa muda mfupi.

Anaona benki inamwibia kumbe yeye ndio ameshindwa kufanya mahesabu.
Sahihi kabisa watumishi wanajilipua 50 Milion kwa hiyo miaka 8 sio kwa 6 mil hii hata mwaka unavunja.
 
Habari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.

Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.

Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.

5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
Kuiba maana yake nini?
 
Boss naomba unieleweshee..
Hivi kimfamo mtu ukakopa lets say 70M(mdhamini ni mwajiri kupitia mshahara wako, specifically serikalini) ukarejesha kiasi halafu baada ya mda ukaafukuzwa kazi au ukaacha nini kitatokeaa...?
Ukiacha mwenyewe kwa mapenzi yako mwajiri atakwambia lipa deni kwanza, Ukifukuzwa bima italipa, ukifa bima italipa na familia inabidi ipewe gawio la faida, ukifa benki watataka cheti cha kifo ili wakadai malipo bima, vilevile ukifukuzwa watahitaji barua ya kufukuzwa kutoka kwa muajiri. Mwisho wa siku kama muajiriwa wewe kopa tu ufanye yako ajira ni yako si ya familia yako. Ukifa kabla hujazikwa kitengo chako kashapewa mtu vilevile wanaanza kukuteta ofisini jinsi ulivyokua unawasumbua kutoa michango ya harusi. Kiufupi kazini hamna urafiki it's all about unafiki 1st class.
 
Habari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.

Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.

Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.

5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?


Kama haya ni kweli hii ni dhuluma
 
Ukiacha mwenyewe kwa mapenzi yako mwajiri atakwambia lipa deni kwanza, Ukifukuzwa bima italipa, ukifa bima italipa na familia inabidi ipewe gawio la faida, ukifa benki watataka cheti cha kifo ili wakadai malipo bima, vilevile ukifukuzwa watahitaji barua ya kufukuzwa kutoka kwa muajiri. Mwisho wa siku kama muajiriwa wewe kopa tu ufanye yako ajira ni yako si ya familia yako. Ukifa kabla hujazikwa kitengo chako kashapewa mtu vilevile wanaanza kukuteta ofisini jinsi ulivyokua unawasumbua kutoa michango ya harusi. Kiufupi kazini hamna urafiki it's all about unafiki 1st class.
Asante Sanaa
Do your Job
Get Paid
Go home..

Makazini watu wanatetana sanaaa.
 
Commercial banks zipo kibiashara unafikiri wenye banks watalipaje operating cost

Hakuna anayeibiwa mkuu. Mkopaji (mtumishi wa umma) amekubaliana na vigezo na masharti kutoka kwa mkopeshaji (bank)
 
Back
Top Bottom