92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
Ah kama sio ww piga kimyaSio Mimi soma vizuri andiko ndo ucoment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah kama sio ww piga kimyaSio Mimi soma vizuri andiko ndo ucoment
Dai ni haki yakoUtasoma ila ata copy ya mkataba hawakupi,eti ni confidential🙂
Kwamba watakuruhusu usome pale pale na ukimaliza wanaurudisha?Utasoma ila ata copy ya mkataba hawakupi,eti ni confidential[emoji846]
Kwani hiyo formula ya mkopo wa bank huwa inawahusu watumishi wa umma pekee?Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo
Ndio ndioKwamba watakuruhusu usome pale pale na ukimaliza wanaurudisha?
Dai ni haki yako
Uhitaji wa pesa kwa wakati huo,unakuwa una namna mkuu.Basi siwez kuchukua mkopo Kwa namna hiyo, inakuwaje siri Kwa mtu mmoja tu naakati ni jambo la pande zote mbili
Serikali ina mambo mengi sana ya kufanya na hili walishawaachia hao watumishi wa umma wapambane nalo kwa utashi wao. Yaani serikali iache kulipa vizuri wabunge na mawaziri ambao kimsingi ndio wenye nchi ije ihangaike na watumishi wa umma ambao wengi wao wana Elimu ya kutosha kupambanua mambo? Hizo riba zipo kisheria na mikataba wanayopewa hao wakopaji ipo wazi Sasa sijui kama huwa wanasoma kabla au shida ya pesa ndio inafanya wasielewe kama wanaibiwa?Habari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.
Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.
5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
Je ww unaweza mkopesha mtu pesa yko M6 akae nayo miaka 8 arudishe bila ongezeko?Habari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.
Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.
5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
Unataka umkopeshe? HahaaaaaaHey sorry, tukiachana na mada please Naomba tuyajenge PM ako kajina kako [emoji3059][emoji39][emoji39][emoji39]
Sorry nani kakwambia hawatozwi ribaHabari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.
Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.
5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
Acha uwongo mkuu kmhujawahi kopa kaa kmyaa mikataba inatolewa sema wakopaji wengi wako busy na shida y kukopa akishapta hana muda tena wa kusubiri mikataba lkn inatolewa mm ninaoAsubutuu,hupewi mkuu.Uliza aliyekopa kama kapewa copy ya mkataba wake wa mkopo?
Hao ndio hawafai kabisa unakopa milioni moja utarudisha nneBora bayport [emoji41][emoji41]
Hii elimu wengi hawana. Kadri muda unavyopungua wa mkopo, ndo riba nayo inapungua.Yaani mkopo wa milioni 6 kwa miaka 8 huyo jamaa ni mpuuzi [emoji2][emoji2957] si achukue miaka miwili atakatwa kila mwezi 285,251 kwa miaka miwili na riba itakuwa 846,024 sawa na 6,846,024 kwa riba ya 13% huyo itakuwa mwalimu ndo wanapenda shida[emoji23][emoji23]
Khaaaa aiseee... mbonaa balaaJamaa angu alipata uteuzi wa HoD, akawa anapokea 4G+... akazama Bank... mkopo 70m... marejesho Million 120+ huko...