Mkuu umetaja hadi kabila langu ngoja basi niombe undugu wa hiyari kwa konda msafiDaaaa!! Mkuu ukaacha kabisaa???!!! Na mshahara mnono??
Jumba zuri eti Uje hapa jua kali hivi?? jamani weee!!!ayayayaaa!!!!
wewe uliitwa home kwenu kichawi najua wazigua/waha/wasukuma wanazijua sana hizi dawa za mwito.wewe hukosi hayo maka bila.
Hata kama mtu alikutishia kukuua hallow! unakufa wewe kwanza hata iweje!! Maisha ya South raha bana. Unaweza sahau chupi!
Mkuu achana na uzungu kapige ramli kuna kitu kimekukalia vibaya
huyo mkundu kuwaka ametokea wapi ??Usichokilua ni kwamba Mayor ni diwani so anafika sana kitaa kwa majukumu yake, hivyo vitu vizuri anaviona pia, kumbuka anayoa saluni moja na jamaa yetu huyu, pamoja na maelezo yoote haya we bado hujaelewa Khumbu alikuwa pisi kali? Akili yako iko nyuma sana kwa kudhani umekulia Dar hivyo unajua kila kitu. Hapa Dar kuna mawaziri wanapiga mpaka 3 some na watoto wa kawaida kabisaaaaa, nini Mayor?
Mkuu wananini tupe intro kidogo hata tukizamia wasitusumbue.Home boy achana na huyo fala ajui anacho kisema,
Mi nipo CAPE TOWN nakufatilia kwa umakini sana alafu nakuelewe kinoma. Story yako inanikumbusha demu wangu waki- Xhosa (THANDO) mademu wakisouth we acha tu
achana na huyo ...Hilo ndo Yale matoto yanaitwa JUNIOR...huyo tuachie wenyewe tumalizane nae...stay focus ....Halafu huyu jamaa anayejiita Hesabu900 ni bonge la mshamba. Mayor ni diwani tu (ward councilor). Na yeye ni binadamu kama wengine na anavutiwa na pisi kali pia. Mayor alikuwa anakuja workshop kupiga misele kama raia wengine tu japo alikuwa na body guard. Kwa hiyo pisi kali kama Khumbu akikutana nayo kitaa lazima aiimbishe. By the way South africa kuwa na gari sio issue, kila mtu mwenye kipato au mwenye kazi ana gari. Hata hao anaowaita wauza mitumba wa Karume wanauza mitumba huku wamepaki magari ya maana pembeni. Mwambieni aache ushamba, Khumbu kuwa na gari sio big deal, angeweza hata kujinunulia mwenyewe kama angetaka. South africa wanatengeneza magari na kuna hela ya kutosha mpaka vijijini huko. Huko vyuma havijakaza kama huku bongo. Kifupi South africa kuwa na gari sio issue. Karibia kila familia ina gari. Hiyo exposure anayoiongelea sijui ni ipi kama anaona mayor kutembelea V8 ni kitu cha ajabu kwa nchi kama South africa. Shame on him!
Kumbe n ww mdau wa Isidingo eee. Yah haikua njema ile kitu ilimuumiza Sibeko. Halafu anarudi anasema anampenda bado kweli sie wanawake hatujui tunataka nini
Huu uzi ni balaa.Daaah!!!huu uzi ni wa mwaka nimerudi humu mbio kumbe mwamba Konda msafi aliahid Hadi Jumatano ndio atashusha nondo [emoji848]
Leo nlkua cjaingia humu nawaza tu khumbu atapga tukio gan kumbe mpakaj5[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu uzi ni balaa.
Nadhani konda msafi aongezewe ulinzi kwa kipindi chote mpaka hii stori iishe
Nasoma kama. Hadithi... Ya mtu anayeota. Lakini hakuna ukweliHongera wewe usiyedanganywa na unaendelea kukomaa kwenye uzi wa mtu anaekudanganya sasa unafanya nini hapa? Yani unasema unadanganywa bado upo unasoma uone huo udangayifu Aseee only in Tanzania. Wewe tuache wenyewe tumeupenda wenyewe usiharibu starehe za watu.
He was really good at what he did.one of the best gunners players,Yah.. nakumbula alitetire... he gave us the good memmories.
Hivi navyo vinapatikana south Africa?View attachment 1702585
Ukisikia ijumaa inaanza basi pombe na nyama hapa tuna choma kuku
View attachment 1702587
Vichwa vya kuku na vifirigisi za kuchoma unaweza kuokota pisi kali .ila njaa itawamaliza watoto wa kule.pembeni vitunguu vya mafuta.
Kaburu rahaaa
“impilo ilunya lwakho”
Hivi navyo vinapatikana south Africa?
Sawa mkuu ila checkers sio mall. Checkers ni store/supermarket.Aisee@kondamsafi stori yako imenikumbusha mitaa ya Durban, nilienda huko for job training na kula bata sana, nimekumbuka hiyo shopping mole ya workshop.hapo nje kuna mahema mengi ya viatu alafu jamii ya wahindi wanapaogopa sana. Nilikuwa nakaa kwenye surbub moja kuna wazungu wengi sana iko karibu na shopping mole inaitwa checkers.
Ila mkuu ile checkers ni kama mlimani city tu hapa dar. Alafu umenikumbisha yale mabasi ya Durban watu wanapanda kwa foleni, pia daladala zao hazina konda, abiria mnachangishana tu alafu mna dereva, sipati picha hiyo ingekuwa bongoSawa mkuu ila checkers sio mall. Checkers ni store/supermarket.