Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Nimepita kule insta nikakukumbuka [emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee kuna story zinahuzunisha na kufurahisha kwa wakati mmoja
🤣🤣🤣🤣 Tena umenikumbusha Jamani..wacha nikasome michambo ya michepuko na mama mijengo... ndoa hizi 🙌
 
Ukiona konda anavaa nguo safi ujue ni mtu makini
 
Yaani [emoji119][emoji119][emoji119][emoji16][emoji16][emoji16] twenzetu tu
 
Watu wako wapi mbona leo sioni shangwe za khumbu na ndio walikuwa wanapiga kelele hapa[emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] michango ya bundle imewakimbiza

Konda msafi angesema aende telegram watu walipie bukubuku ngewasikia hapa kama shida bundle na mda wako ungeweka no tukuchangie kaweka no michango hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…