Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Kumbe ndio maana J Zuma kipindi kile alishindwa kujizuia kwa ile Pisi, ikabidi tu apige halafu akimbilie bafuni fasta 😂
 
Mbona kama south africa imependelewa kwa madem wakali basi. Inawezekana hata wa latin hawaoni ndani e!!!
 
Mwendelezo nimeshaweka wakuu. Mniwie radhi maana majukumu nayo yanakaba kweli. Twendeni taratibu tu tufika hadi mwisho.
Huo mwendelezo mbona umenichanganya?!Umeanzia kweny siku ya mazishi!!Au kuna episod imenipita!
Mana kabla hujasamarize uliishia Khumbu amekuja na gari....nilidhan utaendelezea hapo.
 
Huo mwendelezo mbona umenichanganya?!Umeanzia kweny siku ya mazishi!!Au kuna episod imenipita!
Mana kabla hujasamarize uliishia Khumbu amekuja na gari....nilidhan utaendelezea hapo.
Story ya kabla ya hapo, ipo juu, pitia tu pages za juu utauona! Mi mwenyewe kuna kipengele naona kimeniachaaa , sijajua nakipata wapi!
 
Huo mwendelezo mbona umenichanganya?!Umeanzia kweny siku ya mazishi!!Au kuna episod imenipita!
Mana kabla hujasamarize uliishia Khumbu amekuja na gari....nilidhan utaendelezea hapo.
Wew ndo umechanganya mkuu
 
Huo mwendelezo mbona umenichanganya?!Umeanzia kweny siku ya mazishi!!Au kuna episod imenipita!
Mana kabla hujasamarize uliishia Khumbu amekuja na gari....nilidhan utaendelezea hapo.
Kuna mwendelezo hapo katikati umekupita. Jaribu kupekua utauona.
 

Poleeeee ndo ukubwa... ignore!!!
 
Usijali mkuu umelipiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…