The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Siukumbuki niliupa title gani ila jaribu kupekua kwenye nyuzi zangu za mwanzo kabisa. Unahusu dillema niliyoipata baada ya kujikuta nimetumbukia kwenye mapenzi ya wasichana wawili halafu wote wakapata ujauzito. Nikawa kwenye dillema yupi nimuoe yupi nimuache. Ila nilliamua kumuoa yule wa chuo. Utafute utaupata tu.
Huo apo [emoji116]Una title gani, kama unaweza weka link itapendeza. Nimesearch kuna page 25 sijaona.
Safi sana, Endelea Thelathini na 5 Yani Mtiririko uwe huo huo, Ujue wengine hatu - Comment sana Ila Tunafatilia balaa na nadhani tupo wengi sana, Kwahiyo broo Malizia Story, Na sio lazima iishe siku moja, Unaweza kuwa unaandika Episodes 2 them unatulia kama siku 2 au 3 Kulingana na Ratiba zakoStori nitaimaliza mpaka mwisho. Kuweni na subra.
Mbona kuna sehemu hadi ya 60 huko. Kuna mwendelezo baada ya hiyo sehemu ya 34.Safi sana, Endelea Thelathini na 5 Yani Mtiririko uwe huo huo, Ujue wengine hatu - Comment sana Ila Tunafatilia balaa na nadhani tupo wengi sana, Kwahiyo broo Malizia Story, Na sio lazima iishe siku moja, Unaweza kuwa unaandika Episodes 2 them unatulia kama siku 2 au 3 Kulingana na Ratiba zako
so malizia mwanangu, Malizia Tupo Pamoja [emoji123]
HATUTAKI ww jamaa unapendwa mambo ya kubembelezwa sasa Mood Ya kuufuatilia kama zamani hata Hatuna...Stori nitaimaliza mpaka mwisho. Kuweni na subra.
Natamani nikujibu jibu unalostahili ila siku zote huwa najitahidi kuwa mstaarabu ninapokutana na watu wenye calibre kama yako.HATUTAKI ww jamaa unapendwa mambo ya kubembelezwa sasa Mood Ya kuufuatilia kama zamani hata Hatuna...
Na khumbu mwenyewe kafa sasa kipya nn haoo
hutaki wwNatamani nikujibu jibu unalostahili ila siku zote huwa najitahidi kuwa mstaarabu ninapokutana na watu wenye calibre kama yako.
NdoanoKuna dada nimemwelekeza namna ya kupukuta siafu. Aisee ameweza mpaka nimefurahi. Amepukuta vizuri mnoo, nahitaji wanafunzi wengine. Kanuni ni zile zile "N + X + T"
Kwahiyo wkend yote hii kimya mpaka hiyo j5!!! Mateso bila chuki.Jumatano story nzima itaisha. Nitajitahidi niimalize yote.
Hatutaki bna ww jamaa unatifanya sisi watoto sana ahadi nyingi sanaNadhani yamebaki matukio manne tu kulingana na ule muainisho niliouweka siku zile za mwanzo mwanzo. 1. Khumbu kula nauli. 2. Kutishiwa kupigwa risasi. 3. Siku ya kuagana naye/siku ya kurudi Bongo. 4. Kifo chake. So, nitajitahidi yote hayo niyamalize Jumatano. Kama kuna tukio nimelisahau kwenye ule muainisho mnikumbushe.
Kwa hiyo kama mtu yupo busy aache kazi zake aje akufurahishe wewe? Umemlipa shilingi ngapi? Sio unalalamika tu wakati anatumia bundle lake.Hatutaki bna ww jamaa unatifanya sisi watoto sana ahadi nyingi sana