Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

 
Una title gani, kama unaweza weka link itapendeza. Nimesearch kuna page 25 sijaona.
Huo apo [emoji116]


 
Stori nitaimaliza mpaka mwisho. Kuweni na subra.
Safi sana, Endelea Thelathini na 5 Yani Mtiririko uwe huo huo, Ujue wengine hatu - Comment sana Ila Tunafatilia balaa na nadhani tupo wengi sana, Kwahiyo broo Malizia Story, Na sio lazima iishe siku moja, Unaweza kuwa unaandika Episodes 2 them unatulia kama siku 2 au 3 Kulingana na Ratiba zako


so malizia mwanangu, Malizia Tupo Pamoja [emoji123]
 
Mbona kuna sehemu hadi ya 60 huko. Kuna mwendelezo baada ya hiyo sehemu ya 34.
 
Nadhani yamebaki matukio manne tu kulingana na ule muainisho niliouweka siku zile za mwanzo mwanzo. 1. Khumbu kula nauli. 2. Kutishiwa kupigwa risasi. 3. Siku ya kuagana naye/siku ya kurudi Bongo. 4. Kifo chake. So, nitajitahidi yote hayo niyamalize Jumatano. Kama kuna tukio nimelisahau kwenye ule muainisho mnikumbushe.
 
Hatutaki bna ww jamaa unatifanya sisi watoto sana ahadi nyingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…