Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Daah umetuacha juu kwa juu
 
umesema vema kabisa lakini dear bas do not make promises za kumaliza siku flani maana unatupa expectations mwisho wa siku zinadisapoint mi nashauri kausha tu hata kama miaka ukija shusha yote iishe sio unasema jtano na jtano unakuja na sound kiubinadam hata kama ni mali yako na hiyari yako inakera hadhira iliyokusudiwa mkuu mbaya zaidi tunakuona unareply yani ni kama unamdai mtu af mnaenda mgahawani anaagiza supu chapati mbili...good job upo vizuri
 
Wanakuaga watamu ila wanatoaga kaharufu flan kanakinaisha sana
 
Konda msafi kisha nitumia story yoteee pm tena inamengi zaidiii ya haya anayowapa... ila mpaka umtumie hela ya vocha

Ubahili wenu mtachelewa sanaaa
 

Ikawaje mzee [emoji23][emoji23][emoji23]

Nipo interested kujua iliishaje hiyo issue.
 
Konda naomba nikukumbushe umesahau na tukio la 3 (Picha ya Khumbu)....😂
 
Ikawaje mzee [emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo interested kujua iliishaje hiyo issue.
Premij ni vituko sana huyo Binti ni Mnyambwa anaishi na Mama yake nyumba ya vyumba vi3 majirani wamenieleza hakatai mtu ni anawapanga hasa, usiku kwa mchana na hata wakigongana hawagombani kabisa, Mama anawapangua wanaondoka km yupo aliyewahi, ndio anayeendelea kula mzigo.
Nilitumia Kikao cha Mtaa ili nipate kibali cha kwenda Dawati la Jinsia POLISI, basi mfungabuti akaniwahi POLISI kuwa mtoto ni wake ila wanibane nitoe matumizi wala wasiniruhusu nikawapime DNA wote wanne, hapo nikagonga ukuta
sasa mtoto amekua funga buti alishaachishwa kazi kwa ajili ya ulevi na alikuwa na mke, mke akamkimbia mfunga buti
sasa huyu mchepuko wangu naye akamkataa, jina nimeambiwa anatumia la mfunga buti ila shule kaandikisha ubini wangu, juzi ananiambia hata akifa kwa ukimwi au Corona nikachukue mtoto.
yaani naogopa Mungu ameninusuru ila nashindwa kumuacha kwani kaumbika kuliko Khumbu yeye ana asili ya unyambwa na ututsi baba yake ni hawa madereva wa Malori Rwanda, waliokuwa wanapark malori vituo km Kintiku ndipo Mama akabeba mimba.
Kweli Bint ana vituko kwani kwa umbo mwembaba shingo ndefu nyuma kajazia hivyo ni mwepesi na popote anajikunja na anakupea iwe ndani ya gari, iwe mlingotini wima km miti porini iwe ile chuma mb. uchochoroni, tatizo alitaka atambulike kwetu wakati mtoto sifanani nae kabisa na DNA hataki
Ngoja niishie hapo kwanza nimpishe mleta Mada konda msafi
 
Endelea tu mkuu. Mie ya kwangu nitaimalizia nikipata utulivu. Endelea kutuhabarisha hili sakata mkuu.
 
Endelea tu mkuu. Mie ya kwangu nitaimalizia nikipata utulivu. Endelea kutuhabarisha hili sakata mkuu.
Nimekuelewa Mkuu, unajua kuhadithia True story ni kipaji
acha tukusubiri tu hatuna pa kwenda Majukwaa habari zimeisha na zinabanwa majukwaa yamefungwa siasa hatuwezi
 
Ok, Ngoja nisome sasa, Sema si ungeiwekea Link kule juu kwenye ule Muendelezo au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…