Premij ni vituko sana huyo Binti ni Mnyambwa anaishi na Mama yake nyumba ya vyumba vi3 majirani wamenieleza hakatai mtu ni anawapanga hasa, usiku kwa mchana na hata wakigongana hawagombani kabisa, Mama anawapangua wanaondoka km yupo aliyewahi, ndio anayeendelea kula mzigo.
Nilitumia Kikao cha Mtaa ili nipate kibali cha kwenda Dawati la Jinsia POLISI, basi mfungabuti akaniwahi POLISI kuwa mtoto ni wake ila wanibane nitoe matumizi wala wasiniruhusu nikawapime DNA wote wanne, hapo nikagonga ukuta
sasa mtoto amekua funga buti alishaachishwa kazi kwa ajili ya ulevi na alikuwa na mke, mke akamkimbia mfunga buti
sasa huyu mchepuko wangu naye akamkataa, jina nimeambiwa anatumia la mfunga buti ila shule kaandikisha ubini wangu, juzi ananiambia hata akifa kwa ukimwi au Corona nikachukue mtoto.
yaani naogopa Mungu ameninusuru ila nashindwa kumuacha kwani kaumbika kuliko Khumbu yeye ana asili ya unyambwa na ututsi baba yake ni hawa madereva wa Malori Rwanda, waliokuwa wanapark malori vituo km Kintiku ndipo Mama akabeba mimba.
Kweli Bint ana vituko kwani kwa umbo mwembaba shingo ndefu nyuma kajazia hivyo ni mwepesi na popote anajikunja na anakupea iwe ndani ya gari, iwe mlingotini wima km miti porini iwe ile chuma mb. uchochoroni, tatizo alitaka atambulike kwetu wakati mtoto sifanani nae kabisa na DNA hataki
Ngoja niishie hapo kwanza nimpishe mleta Mada
konda msafi