Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Mkuu tupo pamoja usiyumbishwe na mtu andika step kw step usiruke kipengele ht kimoja
 
Nimekusoma mkuu, pia niwie radhi kwa kukukwaza kwani unatumia muda wako kutupa burudani.
 
Tofauti na jumatano iliyopita kuna kipande uliweka? Nahisi kama namis vipande
 
Tofauti na jumatano iliyopita kuna kipande uliweka? Nahisi kama namis vipande
Yeah kuna kipande mkuu nilitupia jana usiku. ...Kuna mtu ameniambia hapendi kuniona najibu comments wakati nauweka usiku kwenye stori. Anasema bora nisijibu comment kama nashindwa kuweka stori. Jamani kujibu comment ni rahisi kuliko kuandika stori. Mnivumilie tu, stori itaisha.
 
Mkuu @konda msafi usijisikie vibaya kwa watu wanaokusema hiyo ina maana story yako inapendwa na watu wakikipenda kitu huwa wanataka kukimiliki. So hapa wameshahisi hii story ni mali yao na wewe ni vessel tu ya kuwafikishia bila kuangalia factors nyingine zikiwemo muda, akili na ufahamu vinahitajika kuandika story kwa mtiririko utakaovutia wasomaji
 
oyaaaa mitano tena? hii kitu ya kuchangia kwenye Chama wala si nzuri maana wajumbe tunakunywa mtungi mmoja, siku Corona ikitufuma tunaisha wote, maana hapo tu Ukimwi umetukosa,
 
Hcho cha usiku nilikisoma punde tu baada ya kukirusha[emoji16]
 
Tako kubwa ,, yaani kubwa... Duh we jamaa kwa mizigo ni balaa..
 
Uko sahihi kabisa! tumefurahi tena sana. Wewe km unamachungu pole!!!

Inawezekana haukutokana na ngono!! Bali jini makata alikuzaa!! Au mzazi mmoja wao alilazimishwa akachanika!
Lzma watu wa dizaini yako mlie sana na kulaani kungonoka! Tuliagizwa tuzaane! Kwa kungonoka! Sasa wewe pyuuuxvbnmm
 
Mbona kama south africa imependelewa kwa madem wakali basi. Inawezekana hata wa latin hawaoni ndani e!!!
Halafu Latin kitu mchanganyiko ile!!

Africans/Arabs, pemba pia mixer yake. uwiii!! Utakaa chini mwenyewe.

Tatizo liko kwa mchanganyiko wa japanese, sijui china girl/boys ni kilio kila pande.
 
Mkuu achana na huyo nyumbu
 
Asikutatize huyo mkuu, labda ata yuko huko back-benchi hajui tushafika Kampala, 🤣 tupia uzi kwa mda wako, usiwe na haraka, hawakulipi!

Salamu toka nchi jirani ✌️
 
" Nikipiga simu hadi marafiki zake wanaitwa ili waongee na shemeji yao, hadi mama mtu anapewa simu anisalimie, wanawake bhana!"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tako kubwa ,, yaani kubwa... Duh we jamaa kwa mizigo ni balaa..
Umeona? 😂 😂 😂 Ana mind mikia ya kueleweka, ile XXXL la tepwetepwe! 🤣
Mitano tena jamani ndugu zetu!

Salamu toka nchi jirani ✌️
 
Konda
Jaribu uchore hapa ka picha ka tako la kuning'inia ili niweze kupata picha ya aina hiyo ya tako la shemeji yetu Khumbu
But MUNGU amlaze mahari pema peponi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…