Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Pwahahahaha!... Wee jamaa hataree! 🤣Hahahaha wewe jamaa bhana. Ungekausha bana. Watu walikuwa wanahitaji picha ili stori iishe. Sasa ndio umefanya nini sasa hahahaha! Basi waletee na Khumbu original sasa.
Basi nitumie picha ya khumbu orijino... Pm tafadhali..maana tumetoka mbali na stori, hivyo bila picha hainogi kabisa..Huyo ni Khumbu fake mkuu. Khumbu hana sura nzito kama hiyo.
Mkuu Tafadhali Picha Haipo Tena wengine Hatukuwepo Hewani Tafadhali Sana Sana.. natamani kulia sababu Ya kutokuiona Picha ya Shemeji Yetu... Tafadhali Sana MkuuKwa hiyo unataka kusemaje labda?
Stori haijaisha ndugu yangu. Nasubiri kwanza upepo wa picha fake ya Khumbu upite ili tuendelee. Si unaona kulivyochafuka humu na picha fake ya Khumbu.Hivi stori ilishaisha au tumehamia kwenye picha ya Khumbu??
Sijatuma mangi. Mi mwenyewe bando langu kuweka utata. Sina kazi mjini kwa siku naingiza 0 Tshs. Maisha yamenigonga.Mhandisi Mzalendo picha ya shemejio itawekwa. Vipi umetuma ya bundle lakini?
Wabongo nyokoHahahahaha konda msafi huyo dem anaitwa Siphosethu Maqhubela ila yeye yupo hai bado [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila malizia story tu then ndo utupe picha ya Khumbu mwenyewe [emoji1787]View attachment 1714959
Kama unahisi ni stori ya UONGO TUNGA YAKOOOOOO
Post zote 2 na ya khumbu pia Kuna wengine hatukuionaVipi niwawekee na picha ya Amina mtoto wa kihaya? Amina naye alikuwa kisu. Pale kwenye foleni ya Akamba ukifika tu lazima macho yako yatue kwakwe halafu shuguli zingine ndio ziendelee.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ANGALIZO: Katika nchi ya Tanzania usijaribu kumdanganya MBONGO, pamoja na umasikini wake ataenda kukopesha pesa ya VOCHA akufuatilie kwenye mitandao yote, pages zote za watu..yani MBONGO ni usalama wa taifa part 2
Tuwekee picha bwana yaani wewe unadhani kwamba unaweza kumridhisha kila mtu hapa Duniani fanya Mambo yako kwaajili ya wale wanao ku- support na wanao ona umuhimu wa Hii story hao wanao kupinga achana nao ndio maisha yalivyo usitarajiwe kupata positive halafu pasiwe na uwepo wa negative .... So post picha kwaajili yetu'' sisi wengine Kuna ambao Huyo khumbu hatujamuona still tunataka picha yake na Huyo Amina pia m-post wazee wa mamlaka ya viwango tuthibitishe [emoji3][emoji3][emoji3]Wabongo wanasema huyo ni Khumbu fake. Nisije nikaweka na ya Amina tena nayo wakasema ni fake. Ngoja kwanza nipate muda niimalizie stori then nitaangalia kama kuna haja ya kuweka picha.
Ni kwel mkuu,jamaa amefel kucheza na nyakat,Mimi nilimtahadharisha kuweka picha hakusikia ona kaumbukaHata style ya hili vazi kwa wale watu wa fashion ni style latest kabisaa....au nasema uongo ndugu zangu
hii ungesema tokea mwanzoni mkuu rather than seriously kutaka kutuaminisha yule ndo yeye that means tusingekua wadadavuzi ungekua umetulisha tango,.haijakaa poa,.Hahahahaha! Picha halisi ya Khumbu kwa heshima yangu kwakwe hamuwezi kuipata. Mlifanikiwa kumpata Sandile lakini Khumbu sidhani. Wabongo mna mambo mengi sana hivyo kila mtu amchore Khumbu kichwani kwake.
Aisee tako la dizain hiyo lipo, mimi nimeliona sehemu mkuu, sema siwezi piga picha mana hairuhusiwi ila mazingira yakikaa sawa basi ntampiga picha akiwa na nguoHahaha...mimi navuta picha ya tako linalotaka kuanguka [emoji3][emoji3]
Mkuu ulitaka ile chipsJamani tulikubaliana nikiwawekea picha ya Khumbu na stori inaishia hapo, si ndio? Picha nishaweka kwa hiyo stori ishaisha wakuu. ...Nawatania jamani stori nitaimalizia. Tatizo kuandika kunatia uvivu sana halafu inakula muda sana.
Done!!Hahahahaha konda msafi huyo dem anaitwa Siphosethu Maqhubela ila yeye yupo hai bado [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila malizia story tu then ndo utupe picha ya Khumbu mwenyewe [emoji1787]View attachment 1714959