Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Nimekuw mmoja wa waliosistizi pcha ya Khumbu iwekwe.Lakn imewekwa na kufutwa bila mi kuiona.Imeniuma san!
 
Hahahahaha konda msafi huyo dem anaitwa Siphosethu Maqhubela ila yeye yupo hai bado [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila malizia story tu then ndo utupe picha ya Khumbu mwenyewe [emoji1787]View attachment 1714959
Hata style ya hili vazi kwa wale watu wa fashion ni style latest kabisaa....au nasema uongo ndugu zangu
 
Hahahahaha konda msafi huyo dem anaitwa Siphosethu Maqhubela ila yeye yupo hai bado [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila malizia story tu then ndo utupe picha ya Khumbu mwenyewe [emoji1787]View attachment 1714959
Hahahaha wewe jamaa bhana. Ungekausha bana. Watu walikuwa wanahitaji picha ili stori iishe. Sasa ndio umefanya nini sasa hahahaha! Basi waletee na Khumbu original sasa.
 
Ilifutwa angalia hapo huyo jamaa alipost
Screenshot_20210301-221238.jpg
 
Back
Top Bottom