Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

ANGALIZO: Katika nchi ya Tanzania usijaribu kumdanganya MBONGO, pamoja na umasikini wake ataenda kukopesha pesa ya VOCHA akufuatilie kwenye mitandao yote, pages zote za watu..yani MBONGO ni usalama wa taifa part 2
Hahahaha ila hii story ilikuwa ya kusisimua sana hadi mitaani ina trend,binafsi nili amini hiyo picha hadi pale nilipo tiashaka hiyo picha ya khumbu,ni kama mtu ambaye alikuwa photoshoot nikaongeza mashaka niliposikia umempiga mkiwa kitongoji cha rossburg,nikafanya ku google lens na image search kule bing ikaleta matokeo chanya,bado naimani na awamu hii chini ya uongozi wa jiwe tutapata tu picha halisi ya khumbu konda msafi malizia kwanza story ili tukiingia kazini tuwe na uhakika wa kuchakata data.
 
Wazee wa fordsburg
Ndani ya gauteng jozi
View attachment 1701421

Tuje maeneo tutakutana marshalltown
View attachment 1701422
View attachment 1701423
View attachment 1701424

Maisha ya sauzi kama bongo akaunti inasoma milioni 50 mpaka 100.na unaweza kulipa kodi kuanzia laki 6 basi kule unaweza kuishi maisha mazuri na michongo kibao.
Ila tahadhari wabongo asilimia 90 sio watu huko wanaweza kukutoa kwenye ramani hata ujilani nao mbali kabisa.

Kuna pisi za kufa mtu na chai ya moto (ukimwi) maana baridi tu litakufanya huwe mlevi au mpenda chini.
Carlton centre kwa mbaaaali!
Nalog off
 
konda wa daladala umetupitisha bahati mbaya tulilala afu na picha ikafutwa bila kuizoom. ila dah konda msafiiii
 
Hahahaha ila hii story ilikuwa ya kusisimua sana hadi mitaani ina trend,binafsi nili amini hiyo picha hadi pale nilipo tiashaka hiyo picha ya khumbu,ni kama mtu ambaye alikuwa photoshoot nikaongeza mashaka niliposikia umempiga mkiwa kitongoji cha rossburg,nikafanya ku google lens na image search kule bing ikaleta matokeo chanya,bado naimani na awamu hii chini ya uongozi wa jiwe tutapata tu picha halisi ya khumbu konda msafi malizia kwanza story ili tukiingia kazini tuwe na uhakika wa kuchakata data.
Hahahahaha! Picha halisi ya Khumbu kwa heshima yangu kwakwe hamuwezi kuipata. Mlifanikiwa kumpata Sandile lakini Khumbu sidhani. Wabongo mna mambo mengi sana hivyo kila mtu amchore Khumbu kichwani kwake.
 
Khumbu kwenye akili yangu ilikua nimemchora Kama dem flan hivi mwenye uzuri wa asili uliyo undwa kwa ngozi rangi ya chocolate, macho ya mviringo akikuangalia kama anasinzia, nywele za singa singa, tabia ya upole umbo namba 8, tako lina ning'ing'inia, kiuno kama chupa ya fanta orange take away, chuchu saa 6 zinazo choma bila kuumiza[emoji39][emoji39][emoji16][emoji16] dah aise kumbe hata siyo
Dah! 🤣 🤣 🤣
✌️
 
Mkuu kwenye stori sijaelezea kila kitu. Ningesema nielezee kila kitu nadhani hata mwaka ungeisha sijaimaliza hii stori. Mara nyingi tu nilikuwa namchimba mkwara anakuja anakimbia. Hata akiwa wapi nikimhitaji lazima aje. Halafu pia usisahau kuwa mapenzi huwa yanachuja, mtu anakuzoea anakuona wa kawaida tu. Halafu mapenzi hayana baunsa mkuu. Unaweza ukajimwambafy hapa kuwa huwezi kuwa boya wa mapenzi ila akipatikana mjanja wako anakunyoosha kisawasawa. Moyo ukipenda mkuu ni shughuli pevu kujinasua.
Absolutely!
✌️
 
Back
Top Bottom