Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Mkuu, nammiss sana huyu mwanamke. Huwa siamini kama kweli alifariki. Huwa ananiijia ndotoni na kupiga stori. Kuna siku niliota tupo sehemu flani hivi. Nikawa namuuliza "mbona niliambiwa umefariki?" We acha tu mkuu.
Au alikufa kwa mawazo ya kumkimbiaa!!!?
Kama unaendelea kumuota jitahd umuombe msamaha humohumo ndotoni.

Inawezekana haja-rest in peace bado
 
Picha ya khumbu ndo kitu pekee kilichomis kwenye hii story na najua mkuu unawasiwasi wadau wataanza
"oooh dem enyewe ndo huyu alikua anamsifiaaa mbona wa kawaidaa sanaaa"" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo hasa ndo sababu picha ya real khumbu haiwekwiii

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
kweli aisee...maana alitufojia picha wadukuzi wakamkosoa...Binafsi naamini Khumbu hakuwa na maajabu yoyote..anaweza kuwa alikuwa mzuri ila sio kama vile ambavyo konda msafi anataka kutuaminisha...The beauty of something is always on the eye of observer...

Hapa bwana Konda msafi inabidi alete picha
 
Bank teller mbona hata darasa la saba anafanya mkuu. Wewe utashindwa kupokea hela za wateja na kuwaandikia slip? By the way huo ulikuwa uongo wake tu. Ukiendelea kusoma utaona nini kilitokea.
Hata hapa tz,zaman advance wengi walikuwa wakimaliza form six hasa wa sayansi walkuwa wanaenda kufanya kaz TRA,Bank na sehemu zingine baadae ndo wanaenda chuo kikuu
 
Nimejaribu kupekua tena uzi mwanzo mwisho labda nitaona picha ya khumbu lakini wapi, mkuu kaza roho fanya hima tafadhali tumuone khumbu achana na maneno ya wakuda, nimeshindwa kabisa kuimagine taswira ya khumbu mawazo yananisukuma kuona picha yake, aisee huwezi amini nimeenda hadi GOOGLE search image kutafuta picha ya khumbu lakini bado roho haitaki. Fanya hima mkuu
 

8C794W2LXA7 Imethibitishwa. SAMARITAN WATER SOLUTION amepokea 30000.00 tarehe 20210307202059. Nimetuma Mfowetho.
 
Huu ndo ukwelii mkuu inawezekana hana maajabu kama konda anavyotuaminisha apaa,,sasa akitupia picha apa dem raia watamdiss sana

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu KONDA MSAFI kuna mawili, either una kaulofa/Kaufala/kauboya flani hv personal au Ulirogwa na huyo Khumbu, maana hakuna mtu/mwanaume aliye timamu 100% anayeweza kukubali kuendeshwa na mwanamke kiasi hicho kama yaliyokukuta wewe.

That is purely wrong. Tupo hapa kusoma hii story not to judge.
 
Ungeweka picha ya khumbu wale wazee wa chama cha wapiga punyeto ( chaputa) wangeitumia kupigia punyeto zao.

Njia ya kupiga punyeto lazima use na picha ya msichana mwenye makalio/ umbika vizuri kisha unaanza kuvuta hisia.

Chaputa mpoooo.
 
Asante kwa story nzuri kaka Imeni elimisha na kuniburudisha pia [emoji120][emoji120]
 
8C794W2LXA7 Imethibitishwa. SAMARITAN WATER SOLUTION amepokea 30000.00 tarehe 20210307202059. Nimetuma Mfowetho.
safi sana Mkuu kwa kuchangia Samaritan Water Solution kwa ajaili ya Khumbu na Hadithi murua, jamani tusiache changia hata km story haijakugusa, huenda huko mbele akaporomosha nyingine na picha ya Khumbu
 
Ila kwa south Africa Pretoria napapenda napaona ni mzuri ukiwa unarembwa na jakaranda trees na huu ni mtizamo wangu
 
Mkuu KONDA MSAFI kuna mawili, either una kaulofa/Kaufala/kauboya flani hv personal au Ulirogwa na huyo Khumbu, maana hakuna mtu/mwanaume aliye timamu 100% anayeweza kukubali kuendeshwa na mwanamke kiasi hicho kama yaliyokukuta wewe.
Hakuna mkamilifu hata mmoja, na ukiona hayajakukuta shukuru Mungu (kama unaamini yupo) maana ukimpenda mtu unaweza kugeuka mwehu mtaani.
 
Shukrani sana mkuu.
Mkuu nimekufuatilia toka unaanza story ikabidi ni some pia sitory ya pale kwenye family uliokua umepanga hapa bongo kwakweli uko vzr kwenye kusimlia.

Na nilikuwa nashindwa ku koment sababu nilikua bado sio member wa jf. Nikalazimika kutaka msaada wa kuwa member nikakosa msaada kiufupi nilijiongeza nimejiunga tarehe tano mwezi hu.

Nimefulahi kufanikiwa. Sasa nilikuwa najiuliza ivi ili upost episode ilikuwa lazima uwe na bando? Maana Mimi kusoma nilikuwa nasoma bule saizi naaply bule hii ikoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…