Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Hakuna mkamilifu hata mmoja, na ukiona hayajakukuta shukuru Mungu (kama unaamini yupo) maana ukimpenda mtu unaweza kugeuka mwehu mtaani.
Huyo anaongea tu. Watu mpaka wanajiua kwa sababu ya mapenzi.
 
Shukrani mkuu kwa kunifuatilia. Sasa utawezaje kufungua internet bila bando? Sasa labda utuelekeze umewezaje kusoma na kureply bila bando?
 
kufungua internet bila bando? Sasa labda utuelekeze umewezaje kusoma na kuapply bila bando?
Kaka Mimi nimekuwa natumia free basics kwakuwa wewe ni member sio shida download app ya free basics alafu pale utazikuta huduma nyingi utachagua unacho kitaka bila shida yoyote. Picha utaziona kasolo yake huto play video. Ila Mimi kwenye hii jf bado vitu vingi sijavijuwa kwaio naomba kampani yako.
 
Jalibu hio mku alafu ulete mlejesho tushauliane.
 
Sawa mkuu.
 
HAPPY WOMEN'S DAY!!!

Hongereni Sana Wanawake wote mliopo kwenye ukurasa huu.

Ninyi ni wanawake wa nguvu na wa thamani sana mbele za Mungu na wanadamu.

Tunawatakia mafanikio mema kwa kila hatua ya maisha yenu.Msirudi nyuma endeleeni kupambana.Tupo pamoja na nyinyi siku zote.Tunawapenda sana.
 
Internet hakuna huduma ya bure, zote ni lazoma ulipie kwa kulipia bundle ambapo shirika husika hulipia huduma hiyo katika Mkongo wa Taifa.
Huduma km Facebook unaweza kuta unasoma bure lkn Indirect kwa kupitia malipo ya muda wa hewani unapewa bure.
Bure haiwezekani kwani tayari unakuwa registered kwenye line ya simu au IP address au Internet cafe
Kwa sasa JF na www za You Tube utaona ni bure lkn Jamii Media inapata kutoka matangazo madogomado na vyanzo vyao, siku za nyuma JF waliomba kuchangiwa na utapewa Rank kutokana na malipo yako mfano Bronze mpaka Platinum naona kwa sasa wameshazitoa.
Kwa ninavyoelewa jibu ndilo hilo JF kujiunga ni bure hata kupost Hadithi ni bure lkn kwa sh 500/ hutaambulia lolote ni lazima ununue GB kubwa na ndio maana tunaridhia kuichangia SAMARITAN
 
At last, duh uzi na nusu huu! Bonge la story lenye mvuto wa kiaina yake vile, yaani raha ndani, huzuni ndani na mafunzo pia. Shukran konda msafi kwa kuiachia part of your life journey kwa ustadi. Rest easy Khumbu, ulipendwa ila ndio hivyo maisha yalivyo. Sote tu wapita njia.

Salaam toka nchi jirani ✌️
 
Ahsante mku kwa maelezo yako nikweli kwamba bule hakuna ila kwakuwa mtandao husika ndio wanalipia ndipo sisi tuna pata huduma. Ndio maana nimesema kwaza lazima uwe na app ya free basics au Kama vipi kwenye Facebook lite unaipata free basics.
 
Mkuu picha haifunguki

Iweke tena
 
Hapana, sijuti kurudi Bongo. Naombea tu JPM aijenge nchi iwe kama SA ili raha za SA tuzipate hapa hapa nyumbani. Nyumbani kuna raha yake ujue. Ukiwa na hela bongo unaenjoy life mara mia kuzidi SA.
Nimekupenda bure. Maedeleo ya watu huja baada ya maendeleo ya vitu. Infrustructure ikiwa imara na watu watajiletea maendeleo si serikali.
 
Dah umenifanya niipende zaidi JF maana siyo mwenyeji Sana humu, Safi Sana mkuu Tupo pamoja hadithi imenifanya nijifunze mambo mengi sana

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kipindi nipo naye nilikuwa naamini ananipenda lakini kwa sasa baada ya kuwaelewa wanawake vizuri ndio nimezidi kuamini hakika alikuwa ananipenda sana.

Maybe, you were screwing her properly, aliyekuwa mme ya jd anaita kukojoza, ndio maana alikuwa anapewa gari na mtu mwingine lakini bado anakutafuta umkunje.
 
Sawa mkuu mimi naomba nikutafute in box
 
Hata hapa tz,zaman advance wengi walikuwa wakimaliza form six hasa wa sayansi walkuwa wanaenda kufanya kaz TRA,Bank na sehemu zingine baadae ndo wanaenda chuo kikuu
Tena Chuo Unasomeshwa, Walikula Maisha Sana Wazee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…