Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

ata ivo jamaa nae ametoa code mno brother umeshindwa hata kubadilika na na kuficha kbsa code zote mhimu na pia majina ya wahusika?
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Unalizwa mapenzi tena we jamaa vipi ?
[emoji16][emoji16][emoji16]kawaida Sana hiyo mkuu ..kulia pale unapoumizwa iwe na mapenzi au chochote Ni afya inapunguza sonona ...so mkuu usione aibu au haya kulia ..wewe ukiumizwa iwe na mapenzi au maisha kwa ujumla Lia sana tu ... Lakini kwa kuwa wewe Ni mwanaume tafuta sehemu isiyo na watu ndio ulie maana ukilia mbele za watu itakuwa unatafuta kuchekwa
 
Kwenye mwendelezo usisahau kukazia hapo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]......kereng'ende kabisaa...! Firigisi kabisaaaaa....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nami ndio nimemaliza uzi wote muda huu. Mapenzi ni usenge kweli, yanaweza yakakufanya upoteze kitu muhimu kisa mbunye.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mapenzi Ni [emoji706][emoji706]
 
Demu unagombana nae asubuhi jioni unamkuta kahamia Floor ya chini ya mtu mnaye ishi nae kwenye flat 1 ... Mademu wa ukanda ule Ni nyoko ..ukiishi SA ukirudi bongo mademu Hawa wezi kukupasua kichwa Aisee ... Kule Kuna watu wamevurugwa Sana [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Duh
 
konda msafi mkuu kwanza nafurahi kwa sababu sasa nimefika kileleni mwa ligi(stori) naomba ufate ushauri wa Emmanuel Kasomi wa kutembea kwa episode ili iwe rahisi mtu kujua nipo ya ngap?
 
Nakubaliana nawewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…