Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Big up mwana,afadhali story zako za kiujana.Maana kuna mzee huko kapewa limbwata mchepuko anauita bimdogo.

Bora tumepata chimbo la kupumnzikia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uliwapataje mkuu?
 
Dah, Mwamba hapa kweli ulivurugwa hatari
 
"Babe, South African Girls Need Money"

Khumbu kwa huu msemo, Nakuombea Mungu akupe Maisha marefu na yenye Furaha.
 
noma sana
 
Kuanzia juzi hapa JF pamekuwa patam sana, kuna nyuzi kama 3 hivi nkiingia lazima nizipitie.
1.hii ya khumbu
2.Jamaa anaye mkataa mtoto rasmi.
3.ya mzee wetu Mwitore na bi mdogo wake.

Yaani mambo ni Hot no Stress.
Mkuu nitag hizo mbili nipepese macho na mm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…