Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amalizie story bana ishakuwa ndefu Sana episode aziongezee urefuEti kama anakung'uta kukunguni duuh ngoja nikaogo nitarudi jioni maana Khumbu atabaki kuwa Khumbu
[emoji81][emoji81]Mambo yanaanza kuwa mazito haya, printer atakubalii kukichapisha hiki kitabu?
[emoji23][emoji23] bhana pumzi mkuu usipumue kwa sekunde kadhaa fanya hivyo kwa kurudia mara nyingi hadi mashine italala yenyeweNipo kwenye daladala machine imesimama kushuka naona noma.
Done mkuu[emoji736]Naomba ufute hii picha mkuu.
Umeona eehKuna mda uu uzi unatia genye[emoji28] [emoji28][emoji28]
Umeona kukung'uta kunguni [emoji23][emoji23][emoji23] unaeza sema umesikia vyote huku ulimwenguni kumbe bado kabisaMambo ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Nimesoma kwanzia page ya kwanza mpka sasa
konda msafi khumbu hatuwezi kukuchangia nauli urudi kumfata?
Bado hujafuta.Ohoooh, tumeibukia mtaroni sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mabaharia msisahau jana ilikuwa birthday ya Ryan Corner[emoji851]
Umeona kukung'uta kunguni [emoji23][emoji23][emoji23] unaeza sema umesikia vyote huku ulimwenguni kumbe bado kabisa
Nilijua lazima ufanye rehearsal chizi wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tangu juzi najifunza style ya kukunguta ..kiuno hoi[emoji23][emoji23][emoji23]
Acheni khumbu aitwe khumbu