Mkuu ukielewa umepost jukwaa lipi utagundua hujakiuka chochote, ulikuwa sawa ila kuna watu hapa wanajifanya wamepotea njia wanaanza kujiona wao ndiyo wamekuita uje hapa, kumbe wamekuja wenyewe hawajaitwa na mtu. Ni kama uingie disco na uanze kuzuia muziki usipigwe.Hapana mkuu. Hiki kisa niliamua nikishare hapa kwa nia safi. Huko telegram hata sipajui. Kwa hiyo hatuwezi kwenda sehemu nisiyoijua.
Heshima mkuu. Hela na heshima vinaendana.ili tuwe na wanawake???
Nimekuelewa mkuu. Uzi utaendelea, acha nipate utulivu kwanza.Mkuu kwanza nikupe hongera kwa mtiririko mzuri wa story.
Unajitahidi sana.
Kuhusu hizo explicit events (maudhui ya chumbani) wewe yaandike tu na wala huna sababu ya kumuomba mtu radhi.
Najua you made peace with your mind, kitambo, na haimaanishi kama uliyafanya huko nyuma, hata sasa unayafanya. HAPANA.
Tupo hapa kujifunza kwa mazuri na mabaya kupitia watu, hakuna mtu mkamilifu, atakayeona kutopendezwa na unachokiandika, ni vema akauacha huu uzi na kuelekea kunakomfaa yeye.
Kuna mengi sana ya kujifunza kupitia uzi wako, lakin kuna mtu hapa atakuja kuanza kukandia baadhi ya matukio, jaman we are not Gods, sisi ni binadamu, na hakuna aliekamilika, na ni vema huyo mtu akaanzishe uzi wake huko, nan kamuita aje hapa?
Mkuu endelea kushusha vitu, tuko pamoja na wewe.
Nimekuelewa mkuu ila usimlaumu mtu yeyote maana ni mimi tu ndio nimejishitukia. Hakuna aliyenifuata na kunilalamikia.Mkuu ukielewa umepost jukwaa lipi utagundua hujakiuka chochote, ulikuwa sawa ila kuna watu hapa wanajifanya wamepotea njia wanaanza kujiona wao ndiyo wamekuita uje hapa, kumbe wamekuja wenyewe hawajaitwa na mtu. Ni kama uingie disco na uanze kuzuia muziki usipigwe.
mitano tena!
Nimekuelewa mkuu ila usimlaumu mtu yeyote maana ni mimi tu ndio nimejishitukia. Hakuna aliyenifuata na kunilalamikia.
Subiri tumpigie simu khumbu akuelekezeSasa hii style ya mbuzi kagoma kwenda afu anadunda kama kitenesi na hii ya kung'uta kunguni....nataka kumuelekeza mtu apply naanzaje wakuu..!?[emoji848][emoji23][emoji23]
Kiwanda kinatoa mlenda.Mimi mwenyewe hata sijui najikuta tu
Kwani we mtoto?Binafsi nlikwazika [emoji849], maana inabadilisha hata dhamira ya uzi.
Ukifika vipande kama hivyo unaweza sema tu kuwa tukafanya yetu, hapo inaeleweka, sio kuanza kueleza mambo ambayo hayakuwa na umuhim
Kumbuka kumbukumbu zitabaki milele hapa hata ukiwa tayari usharudi kwa Muumbaji Mungu mfalme.
Binafsi nimefurahishwa na kujitambua kwako, na kuwataka radhi wafwatiliaji wa uzi wako huu mzuri.
Km umenielewa nashukuru mwamba.Nimekuelewa mwana. Hapo kwenye kuniambia uboya wala usihofu maana hizo ndio zilikuwa lugha zetu huko Dizonga. Kule mnaongea kwa kutukanana na ni sehemu ya mawasiliano. Ukiwa mshamba unaweza ukawa unagombana na watu kila siku kwa kudhani wanakutukana kumbe watu ndio ongea yao. Kipindi niliporudi bongo nikawa naongea na watu kwa mtindo huo, si unajua mazoea yana tabu. Watu wakawa hawanielewi ila nilikuja kubadilika baadae baada ya kutambua sasa nipo bongo na sio Sauzi tena. Stori itaendelea usijali, acha nipate utulivu kwanza.
Haki hizi akili za furaha ya Simba.Shem bebe ni wewe huyu kabisa
Stori inahusu mahusiano yake na mtoto wa kizulu.... Sasa mahusiano gani bila mapenzi?? Ingekuwa stori ya kusaka pesa ama kusoma hapo ungeeleweka....Km umenielewa nashukuru mwamba.
Ila usije ukatuletea swagga zako za ki ndezi eti inaendelea kesho na unajua kabisa leo wiki end macho kodo kwenye story.
Fanya Fanya fasta uendeleze story halafu, kama unajua kabisa huandiki mambo ya mapenz, eeehhhh kutanua vile, oooohhh mambo ya kudinyana bora story iishie hapa hapa tunaendelee na harakati zetu za kutongoza hela.
Hii story ni km mkanda wa X tu huwezi kuangalia mkanda wa X halafu usikutane na mambo ya X.
So, shusha mzigo km wote usipunguze maana hapa tupo mapenzini hivyo uzi ukae ki mapenz mapenz ndo utanoga.
Usilete habari zako za kisenge eti umekwazika!
Huu uzi ni international!! Hivyo una mashabiki wengi na wa aina tofauti tofauti, hivyo uki balance ni vema zaidi na utabamba kila mtu.Kwani we mtoto?