Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Huyu ndio mbongo halisi!!
 
Huu uzi ni international!! Hivyo una mashabiki wengi na wa aina tofauti tofauti, hivyo uki balance ni vema zaidi na utabamba kila mtu.
Kwani ni lazima kuchangia ww boya?
kwanini usipite kimya kimya, mara ukosoe
ninyi ndio mnamkwaza konda msafi acheni atoe story yake mpaka mwisho na ikiwezekana ikae Post #1
lete ya kwako basi km hii imekukwaza ukashindwa kwenda Jukwaa la DINI?
MODERATOR tunaomba Jukwaa lile la watu wazima lingetufaa hawa watoto wa chekechea na walokole wabakie huku.
Sio kila post kuchangia sasa mmeshaharibu week end yetu,
wengine tukipitia humu tunaondoa stress zetu
 
Kwakwambia nani? Mambo ya VVU hayatuhusu sisi ni story, dogo kwani hujui kuwa nzi hufia kwenye kidonda na ogopa sana kupenda na penzi likakufanya ukawa mtumwa kuna watu huwa wanachanganyikiwa na kuacha hata kazi
 

Sasa je, unajisikiaje kuoneshwa sato mkubwa kisha ukatengewa dagaa!!
 
Nimekuelewa mkuu, niwie radhi. Na pia naomba kwa leo tuishie hapo maana hata mimi akili imevurugika kidogo, nimekosa amani ya moyo. Tutaendelea kesho panapo majaliwa.
Pole sana Mkuu Mchuzi umeshaharibu Pilau lote, tulia yakipoa uendelee lkn sijui ukiommit hizo starehe za kitandani utaona mtu watasepa wote
Mungu akujalie utoe Kitabu kitanunuliwa tu, ingawa wapingaji ni wengi
 
Hamna alokwazika kumbhu si hayupo bongo lete hiyo ya kula jicho mkuu usiaache,kuna wengi wanasubiri hicho kipengele[emoji2]
 
Utanishtua mama kwenye kumchangia nauli watu wanajifanya malaika humu
 
Ngoja niendelee kurecord mastaili

Apa nimepata ingine [emoji16][emoji16]

Unaiweka alafu unafanya kama unakung'uta sisimizi ivii [emoji848][emoji16][emoji16]
 
Asipoelezea aliikosaje tigo namfungulia kesi ya kujipatia umaarufu kwa njia ya udanganyifu. Wazee wenzangu tumefuatilia hilo tu kujua vijana huwa mnavifanyeje

Huyu ashalewa umaarufu, tayari mdudu keshaingia kwenye embe![emoji53]

Jana usiku sijapiga miti kisa stori halafu analeta mzaha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…