Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Habari wakuu? Nimepitia comments za wadau na kuona karibia kila mtu anataka nisikiruke kipengele cha 071. Halafu nimeona hii thread imepata view nyingi sana. Kulingana na watu wengi kuonyesha kutaka kipengele tajwa nikiweke, nimeona haina budi nikiweke. Ila ningeomba moderators waufute huu let's say baada ya wiki hivi. Maandishi yanadumu, vizazi na vizazi vitakuja kusoma huu uzi na nisingependa uzi huu uwe sehemu ya kuhamasisha hicho kitendo ingawa kitendo chenyewe hakikufanyika. Sasa sina uhakika kama moderators watakuja kuufuta huu uzi au ndio watauacha uendelee kuwepo daima.
Shusha vitu mkuu icho kipengele kitafutwa after a week kingine hakuna atakae kujua. Shusha mavituzz hahaaa watu tigo tigo .ila khumbu popote alipo achukue heiken catton nzima ntalipa
 
Nimeskip mauongo kibaoo...

Anyway.. Umejitahidi.

Ila bado hujafika kwa Jini ashura 😂👌
 
Nilio wakwaza naomba mnisamehe bure, yalikuwa maoni yangu kwa Konda msafi, bahati nzuri kayaelewa na kuyafanyia kazi.

Inaonesha Dunia imefika sehem mbaya mno, mambo ambayo ni machukizo kwa Muumba wetu ndo yanapendwa na wengi.

Niwakumbushe tu kuwa Mungu aliiangamiza sodoma na Gomora kwa Dhambi za kutumia Tg, hivyo geukeni sasa mkatubu kwa kulia na kuomboleza nanyi mtasamehewa.
Kuna watu " Mbwa kabisa" [emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]

Wanasema " kwa Mpalange ..kwa Mpalange .. kuna jotroooo.." [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu? Nimepitia comments za wadau na kuona karibia kila mtu anataka nisikiruke kipengele cha 071. Halafu nimeona hii thread imepata view nyingi sana. Kulingana na watu wengi kuonyesha kutaka kipengele tajwa nikiweke, nimeona haina budi nikiweke. Ila ningeomba moderators waufute huu let's say baada ya wiki hivi. Maandishi yanadumu, vizazi na vizazi vitakuja kusoma huu uzi na nisingependa uzi huu uwe sehemu ya kuhamasisha hicho kitendo ingawa kitendo chenyewe hakikufanyika. Sasa sina uhakika kama moderators watakuja kuufuta huu uzi au ndio watauacha uendelee kuwepo daima.
Endelea kuisikiliza nafsi yako, usifuate makelele ya nje kama jambo hili ni baya kwako usifanye, msimamo wako ulikuwa sahihi kutokuliongelea, shetani asikushinde kwenye hili.
Namwunga mkono ndugu j wa nmb simama na kilicho right hata kama uko pekeyako.
 
Mie baada ya kusikia kuwa kipengele cha tigo ni rasmi sasa hakitazungumziwa tena![emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 1701547
Honestly speaking imeniuma Sana
Acha nilie tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji26][emoji26][emoji26]
Et9rfY5XcAMs5Rc.jpg
 
Mkuu tuendelee [emoji16][emoji16][emoji16]
Huu Uzi Naona members wote wa jf wamehamia hapa [emoji16][emoji16][emoji16]

Tunapenda ngono Sana mamaee acha tufe tu [emoji16][emoji16]
Nani tena uyu jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Endelea kuisikiliza nafsi yako, usifuate makelele ya nje kama jambo hili ni baya kwako usifanye, msimamo wako ulikuwa sahihi kutokuliongelea, shetani asikushinde kwenye hili.
Namwunga mkono ndugu j wa nmb simama na kilicho right hata kama uko pekeyako.
Mbona mnakua hivi si uende kwenyee jukwaa la dini watu wengine bana., Unajua icho kitendo hajakifanya so sio mbaya kuzungumza ili na wengine wajue ni jinsi gani mtu unaweza kukwepa kishawishi flani ,konda msafi we funguka itakua njia moja wapo ya ku confess na naamini utakua huru kwa nafsi yako kwa icho kitendo .
 
Nilio wakwaza naomba mnisamehe bure, yalikuwa maoni yangu kwa Konda msafi, bahati nzuri kayaelewa na kuyafanyia kazi.

Inaonesha Dunia imefika sehem mbaya mno, mambo ambayo ni machukizo kwa Muumba wetu ndo yanapendwa na wengi.

Niwakumbushe tu kuwa Mungu aliiangamiza sodoma na Gomora kwa Dhambi za kutumia Tg, hivyo geukeni sasa mkatubu kwa kulia na kuomboleza nanyi mtasamehewa.
Dunia ni batili hamna kipya mkuu haya ni mambo ambayo yalishatokea
 
Una kipaji cha uandishi wa vitabu, fursa nyingine hiyo kwako mzee. Nilitemtembelea jamaa mmoja cha pombe huko. Wiki sikumaliza alileta demu usiku wa manane. Chumba ni kimoja kitanda ni kimoja, nililala upande kama mgomba mpaka kunakucha, huku jamaa anafaida tunda. South kuna mengi.
 
Mbona mnakua hivi si uende kwenyee jukwaa la dini watu wengine bana., Unajua icho kitendo hajakifanya so sio mbaya kuzungumza ili na wengine wajue ni jinsi gani mtu unaweza kukwepa kishawishi flani ,konda msafi we funguka itakua njia moja wapo ya ku confess na naamini utakua huru kwa nafsi yako kwa icho kitendo .
Eti kujifunza namna ya kukwepa vishawishi, aisee mmenishinda tabia! 😁😁😁
 
Back
Top Bottom