Corosive
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 1,460
- 2,908
Hayo n matusi mkuuMember wa JF baada ya kuambiwa kuna kipengele kitarukwa basi wanajifanya wako okay kabisa hawaja huzunika hivi ndivyo wanavyo onekana.View attachment 1701579
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo n matusi mkuuMember wa JF baada ya kuambiwa kuna kipengele kitarukwa basi wanajifanya wako okay kabisa hawaja huzunika hivi ndivyo wanavyo onekana.View attachment 1701579
Baki tu na Uzi wako nimeishia hapa.Kipengele cha 071 naachana nacho rasmi. Naomba nieleweke kuwa hakikufanyika kama nilivyoelezea toka awali. Hivyo sioni sababu ya kuelezea in details ilikuwaje au ni mazingira gani yalimfanya mpaka Khumbu akaridhia kutoa 071.
Kama mimi tuBaki tu na Uzi wako nimeishia hapa.
Naunga mkono hojaBro kwema? Hivi ilikuaje mpaka lile jukwaa pendwa linafutwa na wewe unatazama tu? Yaani kukosekana like jukwaa tunakosa mambo mengi sana! Hakuna namna tunaweza kumvaa Max aturudishie jukwaa letu?
Niringeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sisi wanawake wa jf tumeambiwa tuna vitambiKhumbu Shunie...
Wazee wa puchu utawajua tu[emoji1787][emoji1787]Hiyo style yake ya kipekee sio ile ya doggy style hlf anakuwa anadunda dunda kama kitenesi????
Sio kishamba. Imevaliwa kibiashara hasarambona hyo bikin,imevaliwa kishamba hvyo
Mie baada ya kusikia kuwa kipengele cha tigo ni rasmi sasa hakitazungumziwa tena![emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 1701547
Ule uzi wako wa Mungu kutoisaidia simba umeukimbiaJamani wajumbe mpaka sasa kwenye uzi wetu huu tushapata ID mpya mbili ambazo ni
1. khumbu_peresa
2. workshop
Mimi ni mweka hazina kwa hiyo mahesabu mpaka kisa kiishe
Nmb alitamani asafishwe yeye mtaro maana ni bwabwaHadi sasa kubu 4 konda msafi 2........na wewe jamaa mwenye nembo ya nmb behave like a real man .. Kama kitu hukipendi kausha wengine wanakipenda acha kujifanyisha wewe ndio special sana .....shame on you
Angalia mada iliyopo mezaniUle uzi wako wa Mungu kutoisaidia simba umeukimbia
Kwani wewe boya umeitwa uku ili ni jukwaa la MMU kama unahubiri nenda jukwaa la dini.Nashangaa mnaninyoshea kidole kanakwamba mimi ndo nlikuwa namfanya khumbu awe hayupo active sana kwa konda msafi
Seems watu humu ndani mnapenda sana uzinzi si wanawake si wanaume, sasa jamaa akielezea xxx kwenye uzi mnafaidika nini kama sio kuchukua sabuni na kufanya yenu? Kesho mnakuja na nyuzi ati nguvu za kiume zimekata,
Vijana acheni ngono haina faida yoyote ni kujilisha upepo.
Malizia na katusi kadogo umbwaaaaahHadi sasa kubu 4 konda msafi 2........na wewe jamaa mwenye nembo ya nmb behave like a real man .. Kama kitu hukipendi kausha wengine wanakipenda acha kujifanyisha wewe ndio special sana .....shame on you
Izi 2 na 3 naweza kuziapta jukwaa lipi mkuu?Kuanzia juzi hapa JF pamekuwa patam sana, kuna nyuzi kama 3 hivi nkiingia lazima nizipitie.
1.hii ya khumbu
2.Jamaa anaye mkataa mtoto rasmi.
3.ya mzee wetu Mwitore na bi mdogo wake.
Yaani mambo ni Hot no Stress.