Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Nimejitahidi sana kwenda sambamba toka page ya kwanza yani day one unaanza mpk leo lakini malipo yake ndo haya nashindwa kunyonyesha mtoto kwa umakini kwa sbb ya story hii lakini ndo hivi unaishia njiani. Ptuuuuh
Watanzania Hamna jema 😁😁😁
 
Fungua uZi
 
Huyu habib b Anga nna Kesi nae Operation Barras Kimyw, Vipepeo weusi Kimya, na mambo Kibaoo yy uishiaa njianii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena watu maarufu ndo wanaongoza kufanya mambo ya hovyo, wakiona pisi Kali tu wanataka wanalivue nguo,
 
Mkuu tatizo la Watanzania wengi exposure ni zero,jamaa amesikia mayor akahisi president! Huku sisi Serikalini mtua akikwambia ni Diwani au Mbunge unachukulia simple vibaya mno Mara mia akuambie ni Mkurugenzi flani ndipo heshima itakuwepo.
Hata President anaweza kugonga mwanamke ambaye hajaenda shule ili mradi kavutiwa nae, achana na kitu pisi Kali ukiliona tu mguu wa tatu lazima usimame hapo lazima utumie wazifa kula mtoto
 
Hii scene mbona sijaiona??
Mkuu konda msafi tafadhali hii scene nitumie inbox

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Muwe na usiku mwema enyi taifa la wenye viherehere.
Muwe na usiku mwema wa dada wote magubegube yaliomshinda mtume na maswahaba zake, wenye damu za kunguni na nyota za punda tasa, mliokosa mualiko hata siku ya Valentine's Day kwenda kuhongwa hata Banana au K-Vant.

Mmekaa kukodoa macho JF usiku na kuharisha kwenye thread za watu, wakati wenzenu tupo nao viwanja.[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…