Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Ahsante kwa kwa hii story konda msafi. Nilikuwa naifuatilia kwa ukaribu kabisa. Ila naomba utuambie je wale jamaa zako uliowatuma wakachunguze chanzo cha kifo cha Khumbu walirudi na feedback kuwa chanzo ni hicho cha kubanwa na mbavu? Hapa umetuacha njiapanda.
Ahsante.
 
mkuu leta mambo, maana story ya Khumbu imekuwa kama starter
, asbh lazima upitie kidogo, mchana pia lazima upitie uzi kama kuna episode mpya, na ucku spisode ya kulalia.

Tumeweka kambi hapa, Jamaa wa kukataa mtoto naona episode zimeisha so hatuna mbadala tena zaidi Khumbu.
Huu uzi toka mara ya kwanza kuuona nilikua naupita sasa jana nikawaza ngoja nizame nione hatari.
 
Hongera konda msafi kwa uandishi mzuri na pole kwa kuondokewa na kumbu.
 
Fohadi mbona unanitega mkuu? Usije ukanifanya nikaweka picha ya shemeji yako hapa kwa hasira. ...Just kidding.
hahahhaahaha weka tu mkuu..watakaochukia shauri yao maana swala la kumfurahisha kila mtu ni gumu...kuna wengine wamechukia tu hata ulipohadithia hii story..so wote hawawezi kufurahi...iweke tu mkuu ili story iwe complete..
 
Tulipoingia ndani ya complex nikamwona anashangaa shangaa hizo nyumba maana hiyo complex ilikuwa na nyumba za maana hatari. Ilikuwa na magorofa mafupi mafupi yenye ghorofa nne. Yalikuwa yamejengwa kwa kupangwa kimtindo flani unaovutia sana. Kwenye ghorofa tulilokuwa tunakaa tulikuwa ghorofa ya tatu.

Kawaida jamaa zangu huwa wanatoka kwenye mida ya saa nne na kurudi usiku. Ila sometimes huwa wanakuja hata mchana kama labda kuna kazi ya kufanya. Hivyo kwa muda huo tuliofika hawakuwepo.

Tukapanda ngazi kuelekea kwenye floor yetu. Tulipoingia ndani Khumbu akauliza, wewe ndio unakaa hapa? Unalipa kodi kiasi gani? Maana kulikuwa na fenicha za hatari. TV kubwa, zulia jekundu laini, makochi leather mazuri yamezunguka sebule. Jikoni kulikuwa na friji kubwa ya milango miwili na jiko la umeme. Pia kulikuwa na makabati ya ukutani ya kuwekea vyombo, kifupi nyumba ilikuwa imekamilika.

Akakaa pale sebuleni, mimi nikaingia chumbani kwangu kuweka mazingira sawa. Nikaanza kupasha msuli kama mchezaji anayesubiri kuingia uwanjani, hapo najinyoosha viungo kucheki kama kuna sehemu ya mwili ina jeraha inayoweza kuniangusha, nikajikuta nipo fresh kabisa kwa mpambano. Nikatoka chumbani kwenda sebuleni kuungana naye. Nikamkuta tayari keshapunguza nguo mwilini kabaki na chupi tu, dah! ile kuuona huo mwili wake ukiwa kwenye chupi tu nikawa kama nimepigwa shoti ya umeme.

Wakati natoka chumbani nilikuwa nimepanga niandae msosi tule kwanza kisha ndio mtanange uanze, ila baada ya kumkuta yupo kwenye chupi tu nikaghairi swala la kuandaa chakula. Nikasema huyu nimpasue kwanza, tutakula baada ya kumaliza kumla yeye.
Dah! Khumbu mtundu sana yule mtoto. Aliinuka pale kwenye kochi akaomba nimwelekeze bafu lilipo. Nikamwonyesha bafu lilipo. Akaenda bafuni.

Kama dakika 3 hivi akatoka akiwa mtupu, chupi kaiacha bafuni. Akanikuta nimesimama kama nimepigwa na bumbuwazi, akaniuliza mbona bado umevaa nguo, au sikuvutii tena? Kabla sijajibu akanifuata na kunishika kichwa kwa mikono yake yote miwili kuashiria anahitaji deep kiss. The girl is a good kisser.

Alinipiga kiss hilo nikahisi masikio yameziba. Alianza kuingiza ulimi kwenye masikio nikawa nahisi kama kuna vitu vinanitembelea mwilini. Msisimko nilioupata haukuwa wa nchi hii. Aliendelea kunikiss huku ananifungua vifungo vya shati na mimi nikawa nafungua mkanda wa suruali ili nivue kabisa. Hapo tukajikuta sasa wote tupo watupu, hatuna nguo yoyote mwilini. Akaniambia, babe let's go to the bedroom.

Tukakokotana mpaka chumbani, akaniambia nilale chali nirelax, nisifanye chochote, nimwache afanye kile ambacho she is good at. Basi nilipigwa blow job hiyo nikajihisi niko ulimwengu mwingine. Alikuwa anaikamata mashine anakuwa kama anaitumia kupiga mswaki, anaipeleka hadi kwenye koromeo anajigogola mpaka unasikia kama anataka kutapika. Halafu alikuwa na mikono laini kinyama hivyo alikuwa anayapapasa mapumbu kwa ustadi wa jabu.

Itaendelea.
Hizi habari za korona zilikua zimenichosha,nahisi kuchangamuka sana.
 
Story nzur,sema kifo Cha khumbu bado akijaeleweka.kwamba corona ilikuwa south toka muda.
 
Jamani hebu tupitie kidogo hapa ili tumuenzi shemeji na wifi yenu Khumbu.
 

Attachments

  • Samaritan.jpeg
    Samaritan.jpeg
    84.8 KB · Views: 65
Hongera sana kwa uandishi mzuri. Yaani msomaji hachoki kusoma.
 
Pole sana kwa kuondokewa na mtu alowahi kuuteka moyo wako,kiukweli inauma sana,na wakati mwingine unasema ni labda ungekuwa umemruhusu kuja bongo asingekufaaa,kifo jamani kifoo
 
Utafute tu mkuu utaupata. Au omba watu wanaojua kutafuta nyuzi waupandishe hapa. Mie mwenyewe sijui jinsi ya kutag nyuzi hata nikiupata sitaweza kuupandisha hapa.
Duuuuh, malizia tuu tuone Khumbu alipata vp ile gari, lkn pia hujaoonesha sehemu ulipopigwa mkwara kuwa utapigwa risasi ukiendelea kuwa kwenye mahusiano na Khumbu, konda msafi onesha basi usafi wako hapa
 
Hapana mkuu, hakuna hata mtu anayenichambua kaka. Kuwa na amani kabisa ndugu yangu. Hata kama wataamua kunichambua na kupata identity yangu hamna watakachopata maana naishi maisha clean kabisa. Naendesha maisha yangu kwa kipato halali kabisa. Sema tokea nimeanza kuandika hii stori imenichukulia muda wangu mwingi sana. Mwanzoni nilidhani ningeimaliza siku moja tu ndani ya masaa machache ila kadri nilivyozidi kuandika nikajikuta natamani kuiielezea vizuri tukio kwa tukio ili kumfanya anayeifuatilia aweze kupata picha nzuri ya tukio. Niliona nikiielezea kwa juu juu itabore na insingefikia lengo langu la kuishare hapa JF. Kawaida nikiamua kufanya kitu nina tabia ya kukifanya kwa ufanisi. Hata nilipokuwa shule nikiwa najibu swali huwa nalijibu kwa kuhakikisha point zote ninazozijua naziandika, sina tabia ya kuandika au kufanya jambo kwa kulipua. Kulingana na nilivyo nimeona hii stori itaendelea kunichukulia muda wangu maana sitataka niiandike kwa kuikimbiza au kurukaruka.
Huu tunaita ni ukatili wa fasihi, huwezi kutufanyia hivi konda msafi, yaani tunafikia pazuri we ndo wakata utamu.

Fb Khumbu anatumia jina gani boss?? Ila napata maswali sana juu ya Khumbu, ulisema elimu yake ni ya high school, aliweza vp kuwa bank teller?? Au alipata nafasi ya kwenda chuo??
 
Duuuuh, malizia tuu tuone Khumbu alipata vp ile gari, lkn pia hujaoonesha sehemu ulipopigwa mkwara kuwa utapigwa risasi ukiendelea kuwa kwenye mahusiano na Khumbu, konda msafi onesha basi usafi wako hapa
Mkuu endelea kupekua muendelezo utaupata. Umesoma na kuishia nyuma sana. Wadau waliniomba niimalizie hii stori hivyo nami bila hiyana nikawaahidi sitawaangusha, na leo ndio nimeihitimisha. Naomba tu uendelee kupekua kila page utapata episodes zote hadi espisode ya mwisho. Nashukuru sana kwa kuifuatilia hii stori.
 
Huu tunaita ni ukatili wa fasihi, huwezi kutufanyia hivi konda msafi, yaani tunafikia pazuri we ndo wakata utamu.

Fb Khumbu anatumia jina gani boss?? Ila napata maswali sana juu ya Khumbu, ulisema elimu yake ni ya high school, aliweza vp kuwa bank teller?? Au alipata nafasi ya kwenda chuo??
Bank teller mbona hata darasa la saba anafanya mkuu. Wewe utashindwa kupokea hela za wateja na kuwaandikia slip? By the way huo ulikuwa uongo wake tu. Ukiendelea kusoma utaona nini kilitokea.
 
Back
Top Bottom