chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Bashite anapaswa kuwa sero sio ofisiniKumbe ni mahakama ndio ilitengua ok Sasa wapelekeni mahakamani mnao ona wamefoji vyeti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashite anapaswa kuwa sero sio ofisiniKumbe ni mahakama ndio ilitengua ok Sasa wapelekeni mahakamani mnao ona wamefoji vyeti.
Kwa yaliyotokea jana, jamaa alionewa kabisa!Alionewa, endapo alikuwa anajua kusoma na kuandika.
Uchaguzi mkuu 1995 mrema aligombea urais. Ilikuwaje tena akafungua kesi kupinga ubunge wa temeke?!Baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 1995. jimbo LA Temeke lilikaliwa na MTU alieitwa kihiyo. lakini kwa kuwa MTU huyo alifoji vyeti vvyake. mh. Augustine Lyatonga Mrema alifungua kesi ya kupinga matokeo yake. Baada ya mahakama kujiridhisha kuwa hoja anayotuhumiwa nayo ni kweli ilitengua ubunge wake na kutangaza uchaguzi upya ambao ulimpa ushindi mh. Mrema. Sheria ya kuwaondoa wabunge na wakubwa wengine kwenye Utumishi wa umma wakati ule haikuwepo? Ninamini wengi wenu mtaanza kuhisi kuwa nayaka kumuunganisha na kumfananisha Kihiyo na Bashite
Nachotaka kujua ni hayo mabadiliko ya sheria yalifanyika lini na yalikuwa na lengo gani?
Aliyepinga mahakamani alikuwa Tambwe Hiza Lakini baada ya kesi kumwangusha Kihiyo NCCR walimpa nafasi Mrema kugombea uchaguzi mdogo , jambo lililopelekea Tambwe kukihama nccrUchaguzi mkuu 1995 mrema aligombea urais. Ilikuwaje tena akafungua kesi kupinga ubunge wa temeke?!
Asante kwa kuweka kumbukumbu vzrAliyepinga mahakamani alikuwa Tambwe Hiza Lakini baada ya kesi kumwangusha Kihiyo NCCR walimpa nafasi Mrema kugombea uchaguzi mdogo , jambo lililopelekea Tambwe kukihama nccr
Asante kwa kuweka kumbukumbu vzrAliyepinga mahakamani alikuwa Tambwe Hiza Lakini baada ya kesi kumwangusha Kihiyo NCCR walimpa nafasi Mrema kugombea uchaguzi mdogo , jambo lililopelekea Tambwe kukihama nccr
Aliyepinga mahakamani alikuwa Tambwe Hiza Lakini baada ya kesi kumwangusha Kihiyo NCCR walimpa nafasi Mrema kugombea uchaguzi mdogo , jambo lililopelekea Tambwe kukihama nccr
Huyu Cisco Mtiro alishindwa maoni ndani ya CCM na KihiyoKuna mtu mwingine ametajwa sana kuhusiana na hili sakata ...marehemu Sisco, je ali play role gani kwenye hili jambo
Oh, thanks so muchHuyu Cisco Mtiro alishindwa maoni ndani ya CCM na Kihiyo
Huyu alikuwa mgombea wa CCM katika uchaguzi wa marudio.Akivaa heren huyu ametutoka juzi hapa.Kuna mtu mwingine ametajwa sana kuhusiana na hili sakata ...marehemu Sisco, je ali play role gani kwenye hili jambo
Baada ya Ubunge wa Kihiyo kutenguliwa, kwenye uchaguzi wa ubunge(marudio) 1997, wagombea walikuwa Augustine Mrema(NCCR) vs Cisco Mtiro(CCM)Huyu Cisco Mtiro alishindwa maoni ndani ya CCM na Kihiyo
Huyu alikuwa mgombea wa CCM katika uchaguzi wa marudio.Akivaa heren huyu ametutoka juzi hapa.
Baada ya Ubunge wa Kihiyo kutenguliwa, kwenye uchaguzi wa ubunge(marudio) 1997, wagombea walikuwa Augustine Mrema(NCCR) vs Cisco Mtiro(CCM)