DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ni umasikini tu mkuuNi kweli ila kwa wabongo tunaangalia pia na uimara wa kudumu tofauti na hizi za madukani unanunua leo kesho imechanika au kufumuka i.e. hazidumu kama za mitumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni umasikini tu mkuuNi kweli ila kwa wabongo tunaangalia pia na uimara wa kudumu tofauti na hizi za madukani unanunua leo kesho imechanika au kufumuka i.e. hazidumu kama za mitumba.
Mtu anakula ile kitu roho inapenda.Ni umasikini tu mkuu
Usijidanganye kwa marekani soko la mitumba la Africa mashariki linawaingizia dola zaidi ya million 250 kwa mwaka ndo maana waking'aka sana pale Africa mashariki ilipopanga kujizuia mitumbaHiyo mitumba unajua kuwa huwa inatolewa bure Ila MTU mweusi akiikusanya analeta anauza
Mbona inakuja kwa grades mkuu? Ukitaka yale marapurapu pia utapata. Lakini ipo mitumba Grade 1 inayozipiku zile nguo za madukani aka redi-medi.Mitumba upande wa nguo zinazoletwa Africa kwanza mitumba imechoka , imechakaa michafu
Ndo tunaleta ili tuvae ni umasikini tu.
Kukuta nguo ya mtumba ya maana ni Nada Sana.
Tukubali kuwa sisi ni dark country
Usijidanganye kwa marekani soko la mitumba la Africa mashariki linawaingizia dola zaidi ya million 250 kwa mwaka ndo maana waking'aka sana pale Africa mashariki ilipopanga kujizuia mitumba
Umeniwahi mkuu nilitaka kusema hivyo hivyoKila kitu kinatoka kwenye mikono ya watu wabaya kwa mantiki yako maana hata special pia hajui aliyefanya production na mpaka inakamilika imepita kwenye mikono ya nani
Mbona inakuja kwa grades mkuu? Ukitaka yale marapurapu pia utapata. Lakini ipo mitumba Grade 1 inayozipiku zile nguo za madukani aka redi-medi.
ohoo!!Napenda sana uzungumziwe, ila sio kinafikiii.
Mtazamo wangu, naukubali na kuuelewa sana ushoga.
AaaaaDokta; Hututakii mema broo. Hebu siku moja hapa Tz. nenda mnadani uone jinsi mitumba ya nguo na viatu inavyong'ang'aniwa na wadau.Inabidi kupigwa marufuku mitumba.
Nguo za mitumba nimevaa Ila sio nguo ni umasikini tu
Acha na wenzako wavae umasikini ukiwatoka kama ulivyokutoka wewe wataachaInabidi kupigwa marufuku mitumba.
Nguo za mitumba nimevaa Ila sio nguo ni umasikini tu
Acha na wenzako wavae umasikini ukiwatoka kama ulivyokutoka wewe wataacha
Mitumba ni jina lakini ndani ya mitumba hiyo zipo nguo au hata viatu ambavyo havijatumika labda vilitumika tu wakati mtu huyo alikuwa anajaribisha dukani.Kitu ambacho MTU ameshavaa hadi akaona hakifai akaamua kukitoa donation then wewe unasema ni kizuri !!
Umasikini hamna grade au nini huwezi kusema nguo ya mtumba iwe nzuri kuzidi ya dukani is impossible
Liangalie hili jambo Kwa jicho la kifalsafa...Tabia haina uhusiano na nguo
Ushoga ulikuwepo toka enzi na enzi na utaendelea kuwepo daima dumu. Mtu esp.wale WANAFIKI, Kuukubali au Kuukataa Ushoga hakubadilishi chochote. Kwa mantiki hiyo; mkuu coca uko vizuri. Wanaoupigia kelele ukiwauliza jambo hilo limekuhusu vipi hawana majibu toshelezi. (Samahani lakini hili ni nje ya mada)Napenda sana uzungumziwe, ila sio kinafikiii.
Mtazamo wangu, naukubali na kuuelewa sana ushoga.
For sure mkuuKweli mkuu naimani tutafanikiwa kuvuka hii hatua
Ulivyoanza hivi nikapata wasiwasi na maswali ulilenga niniUnaweza kuwa unachukia watu wenye tabia ya ushoga, lakini una hakika mitumba unayotumia hakuna ambao ulikuwa unatumiwa na shoga kabla ya wewe kuununua?
Kwa hiyo umemwelewa sio?Ulivyoanza hivi nikapata wasiwasi na maswali ulilenga nini
Kabisa ila angekuwa wazi tu mbona wenzie hawajifichi kabisaKwa hiyo umemwelewa sio?
Piga mitumba tuu,hata yale magwanda ya chadema nasikia ni mitumba toka ubelgiji,ni kweli?Asubuhi ya leo wakati navua raba nilipotoka mazoezini, ghafla lilinijia wazo la ni nani alikuwa anaivaa raba hiyo kabla haijaletwa Tanzania kama mtumba?
Nikaanza kuangalia jinsi mitumba ilivyotawala maisha ya Watanzania kwa kiasi kikubwa Sana. Lakini huwa tunajiuliza hiyo mitumba ilikotoka ilikuwa inatumiwa na nani?
Kwa mfano magari ingawa hatupendi sana kuyaita mitumba, badala yake tunayaita "Used" lakini ukweli wa mambo na yenyewe pia ni mitumba.
Unaweza kuwa unachukia watu wenye tabia ya ushoga, lakini una hakika mitumba unayotumia hakuna ambao ulikuwa unatumiwa na shoga kabla ya wewe kuununua?
Ipo mitumba toka kwa wezi, majambazi, makahaba, watu wa dini tofauti na sisi, wabaguzi, wauwaji, wafungwa, wabakaji, matapeli na lundo jingine kubwa sana la watu tusiowapenda.
Unapotumia mtumba jua kuwa inawezekana kabisa kabla ya kuletwa Tanzania huko ulikotoka ulikuwa unatumiwa na mtu/watu usiowapenda kabisa.