Jinsi mitumba inavyotuunganisha na watu tusiowapenda!

Jinsi mitumba inavyotuunganisha na watu tusiowapenda!

Usijidanganye kwa marekani soko la mitumba la Africa mashariki linawaingizia dola zaidi ya million 250 kwa mwaka ndo maana waking'aka sana pale Africa mashariki ilipopanga kujizuia mitumba
Mitumba manufaa ni mvaaji sio muuzaji. Jinzi elfu mbili
 
Mtoa mada sijui akili zako zipoje,umekuja kutangaza ushoga ama? Kwani ukienda mgahawani huwezi kula chakula kilichopikwa na Shoga? Hiyo suti mpya unayovaa je haijashonwa na Shoga? Chumba ulichopanga hajawahi kupanga kahaba kabla yako? au mwizi? au yeyote yule usiyempenda? Usihukumu usije ukahukumiwa.
Mambo mengine kujichosha tu kuyawaza,
 
Ushoga ulikuwepo toka enzi na enzi na utaendelea kuwepo daima dumu. Mtu esp.wale WANAFIKI, Kuukubali au Kuukataa Ushoga hakubadilishi chochote. Kwa mantiki hiyo; mkuu coca uko vizuri. Wanaoupigia kelele ukiwauliza jambo hilo limekuhusu vipi hawana majibu toshelezi. (Samahani lakini hili ni nje ya mada)
Ila ushoga haujawahi kukubalika tokea enzi hizo hadi leo na ndio maana inatumika jitihada kutaka kufanya ushoga uonekane ni kitu cha kawaida tu kama vyengine.
 
Ushoga ulikuwepo toka enzi na enzi na utaendelea kuwepo daima dumu. Mtu esp.wale WANAFIKI, Kuukubali au Kuukataa Ushoga hakubadilishi chochote. Kwa mantiki hiyo; mkuu coca uko vizuri. Wanaoupigia kelele ukiwauliza jambo hilo limekuhusu vipi hawana majibu toshelezi. (Samahani lakini hili ni nje ya mada)
Bora usemee wee, maana nikisema mie, naambiwa nachochea na kusambaza ushoga.
Utadhani ndo nakuwadisha watu waka inamishane, lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila ushoga haujawahi kukubalika tokea enzi hizo hadi leo na ndio maana inatumika jitihada kutaka kufanya ushoga uonekane ni kitu cha kawaida tu kama vyengine.
Umekubalika kwa Uwazi na kwa kificho.
e.g. Kwa uwazi wapo wanaofungishwa hata ndoa na yapo makampuni rasmi yanayoendesha biashara hiyo na hulipa kodi kwa Serikali.
Kwa kuwa Hoja hii sio lengo la Uzi huu, wewe anzisha uzi halafu utapewa muongozo ili utoke nje ya box.
 
Asubuhi ya leo wakati navua raba nilipotoka mazoezini, ghafla lilinijia wazo la ni nani alikuwa anaivaa raba hiyo kabla haijaletwa Tanzania kama mtumba?

Nikaanza kuangalia jinsi mitumba ilivyotawala maisha ya Watanzania kwa kiasi kikubwa Sana. Lakini huwa tunajiuliza hiyo mitumba ilikotoka ilikuwa inatumiwa na nani?

Kwa mfano magari ingawa hatupendi sana kuyaita mitumba, badala yake tunayaita "Used" lakini ukweli wa mambo na yenyewe pia ni mitumba.

Unaweza kuwa unachukia watu wenye tabia ya ushoga, lakini una hakika mitumba unayotumia hakuna ambao ulikuwa unatumiwa na shoga kabla ya wewe kuununua?

Ipo mitumba toka kwa wezi, majambazi, makahaba, watu wa dini tofauti na sisi, wabaguzi, wauwaji, wafungwa, wabakaji, matapeli na lundo jingine kubwa sana la watu tusiowapenda.

Unapotumia mtumba jua kuwa inawezekana kabisa kabla ya kuletwa Tanzania huko ulikotoka ulikuwa unatumiwa na mtu/watu usiowapenda kabisa.
Sasa hiyo raba umeicheki cheki ukagundua ni nani aliyeivaa kabla yako?
 
Unaweza jikuta unajifanya muadilifu, nyimbo za dini kuhanikiza kwenye gari, kumbe kulikuwa na kuchu la kijapani kakunjwa kama afande rama kwenye ki IST chako😂😂😂😂.

Niliwahi kuta kimkebe cha vicks ya mkongo kwenye gari niliyonunua used ya kibongo. Nilipomuuliza jamaa ambae aliniuzia, alikuwa ustaadh alijifanya hajui ya nani japo nina hakika alikuwa analaani kimoyo moyo kupoteza kitendea kazi chake.
 
Bora usemee wee, maana nikisema mie, naambiwa nachochea na kusambaza ushoga.
Utadhani ndo nakuwadisha watu waka inamishane, lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wale ni wachokozi. Wewe waache wakae kama walivyo jikite kwenye mada ya uzi huu. Mleta mada anazungumzia mitumba ,wao wanachomekea kitu/hoja tofauti. Hawamtendei haki mleta mada.
 
Asubuhi ya leo wakati navua raba nilipotoka mazoezini, ghafla lilinijia wazo la ni nani alikuwa anaivaa raba hiyo kabla haijaletwa Tanzania kama mtumba?

Nikaanza kuangalia jinsi mitumba ilivyotawala maisha ya Watanzania kwa kiasi kikubwa Sana. Lakini huwa tunajiuliza hiyo mitumba ilikotoka ilikuwa inatumiwa na nani?

Kwa mfano magari ingawa hatupendi sana kuyaita mitumba, badala yake tunayaita "Used" lakini ukweli wa mambo na yenyewe pia ni mitumba.

Unaweza kuwa unachukia watu wenye tabia ya ushoga, lakini una hakika mitumba unayotumia hakuna ambao ulikuwa unatumiwa na shoga kabla ya wewe kuununua?

Ipo mitumba toka kwa wezi, majambazi, makahaba, watu wa dini tofauti na sisi, wabaguzi, wauwaji, wafungwa, wabakaji, matapeli na lundo jingine kubwa sana la watu tusiowapenda.

Unapotumia mtumba jua kuwa inawezekana kabisa kabla ya kuletwa Tanzania huko ulikotoka ulikuwa unatumiwa na mtu/watu usiowapenda kabisa.
inafikirisha sana. asante
 
vipi hutaki watu wazungumzie ushoga..?
nini mtazamo wako kuhusu ushoga..?
Upo JF since 2015 ila nimeshangaa umemuuliza cocastic hili swali, maana msimamo wake kuhusu hilo jukwaani humu mbona uko wazi kabisa anajulikana? Au itakua hujafuatilia sana mada zake na post zake kwenye hizi mambo.
 
Umekubalika kwa Uwazi na kwa kificho.
e.g. Kwa uwazi wapo wanaofungishwa hata ndoa na yapo makampuni rasmi yanayoendesha biashara hiyo na hulipa kodi kwa Serikali.
Kwa kuwa Hoja hii sio lengo la Uzi huu, wewe anzisha uzi halafu utapewa muongozo ili utoke nje ya box.
Sioni sababu ya kuanzisha mada mpya hii ishaisha,maana nishasema kuwa tokea hizo hakujawahi ushoga ukawa kitu cha kawaida katika jamii umekuwa ukionekana ni kitu kibaya na umekuwa ukipingwa. Huko kufungisha ndoa mashoga ndio baadhi ya jitihada nazosema za kutaka ushoga uonekane ni kitu cha kawaida, kuna wanasiasa wengine huogopa hata kupinga waziwazi ushoga ni bora apinge zinaa ya mwanamke na mwanaume yote ni kuogopa kuwaudhi mabwana wakubwa wenye kupambana kutetea haki za mashoga.
 
Upo JF since 2015 ila nimeshangaa umemuuliza cocastic hili swali, maana msimamo wake kuhusu hilo jukwaani humu mbona uko wazi kabisa anajulikana? Au itakua hujafuatilia sana mada zake na post zake kwenye hizi mambo.
sijafatilia ndio wengine tupotupo tu humu!
 
Ndiyo. Ulitumiwa na binadamu kama mimi. Ila Hoja ya kwamba eti alikuwa-kuwaje tabia yake havinihusu.
Sasa huo ni mtizamo wako. Hebu fikiria Kuna watu wanawachukia Sana watu wengine hadi kujiapiza kuwaua. Sasa jee mtu kama anachukia majambazi hajisikii hatia kutumia kitu cha aliyekuwa jambazi??
 
Back
Top Bottom