Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #61
Hii mada haihusiani na ushoga ila wao ndiyo wanataka kuzungumzia ushoga.wewe na mtoa mada mnagombania ushoga ama?ðŸ˜
Kwani nimetaja mashoga peke yao!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mada haihusiani na ushoga ila wao ndiyo wanataka kuzungumzia ushoga.wewe na mtoa mada mnagombania ushoga ama?ðŸ˜
Ndo kitendo kinachodhaniwa no kibaya Tz.Ushoga again!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya sasa anza kuvaa mamitumba kwa kasi mpaka umatchishe kama yule shogaaa ako wa uturukiiiiiiiiiii 😆😅😅😅Ushoga again!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu unacheo kikubwa serikalini sio 💪💪💪Nikipata nafasi ya kuwaamulia, mitumba ya mavazi ya ndani lazima ipotee sokoni haraka kadiri itakavyowezekana.........Ni dharau iliyoje?
Mkuu huna taarifa sahihi. Mitumba ina grades 1,2,3 etc. Grade 1 huwa ni kama mpya au mpya. Mtu anaweza kupewa zawadi ya nguo asiipende basi anaipeleka charity huko inakusanywa na mitumba au fashion imepita wenye maduka wana donate, uchakavu au ubora wa nguo ni nyinyi kama nchi mnaamua. Mfano Kenya wanaruhusu mitumba grade 1 tu na Tz wanaruhusu takataka zote kiasi kwamba mtu akitaka kuuza mitumba quality inabidi aifuate Nairobi hapo bei unafikiri itakuwa?Mitumba upande wa nguo zinazoletwa Africa kwanza mitumba imechoka , imechakaa michafu
Ndo tunaleta ili tuvae ni umasikini tu.
Kukuta nguo ya mtumba ya maana ni Nada Sana.
Tukubali kuwa sisi ni dark country
Watu weusi ndio wanakusanya hiyo mitumba na kuileta?Hiyo mitumba unajua kuwa huwa inatolewa bure Ila MTU mweusi akiikusanya analeta anauza
Wahindi ndiyo wanaoongoza kwa kazi hizo duniani...Watu weusi ndio wanakusanya hiyo mitumba na kuileta?
Hiyo taarifa umeitoa wapi?
Tutajie hayo mashirika yanayoleta hiyo mitumba Bure hapa Tanzania.
🤔Mkuu una data?
Baniani mbaya... Mjadala ni kumbe unaweza kuchukia tabia ya mtu ila vitu vyake ukavipenda na kuvitumia!!😂😂😂😂😂😂
Kwahiyo tukiwapenda, mitumba itavalika?
Kwa hiyo unasema mitumba inavaliwa Duniani...pote?Wahindi ndiyo wanaoongoza kwa kazi hizo duniani...
Wewe upo kwenye kundi lipi la kuliwa au la kula.?Napenda sana uzungumziwe, ila sio kinafikiii.
Mtazamo wangu, naukubali na kuuelewa sana ushoga.
da!! mwanangu wewe ni jiniazi,,,umenifanya niichukie mitumba lakini sina jinsi kipato changu kidogo,,kumbe ndo manake MAGUFULI alitaka kupiga marufuku mitumba!!!!Asubuhi ya leo wakati navua raba nilipotoka mazoezini, ghafla lilinijia wazo la ni nani alikuwa anaivaa raba hiyo kabla haijaletwa Tanzania kama mtumba?
Nikaanza kuangalia jinsi mitumba ilivyotawala maisha ya Watanzania kwa kiasi kikubwa Sana. Lakini huwa tunajiuliza hiyo mitumba ilikotoka ilikuwa inatumiwa na nani?
Kwa mfano magari ingawa hatupendi sana kuyaita mitumba, badala yake tunayaita "Used" lakini ukweli wa mambo na yenyewe pia ni mitumba.
Unaweza kuwa unachukia watu wenye tabia ya ushoga, lakini una hakika mitumba unayotumia hakuna ambao ulikuwa unatumiwa na shoga kabla ya wewe kuununua?
Ipo mitumba toka kwa wezi, majambazi, makahaba, watu wa dini tofauti na sisi, wabaguzi, wauwaji, wafungwa, wabakaji, matapeli na lundo jingine kubwa sana la watu tusiowapenda.
Unapotumia mtumba jua kuwa inawezekana kabisa kabla ya kuletwa Tanzania huko ulikotoka ulikuwa unatumiwa na mtu/watu usiowapenda kabisa.
Dark Country maana yake ni nini?Mitumba upande wa nguo zinazoletwa Africa kwanza mitumba imechoka , imechakaa michafu
Ndo tunaleta ili tuvae ni umasikini tu.
Kukuta nguo ya mtumba ya maana ni Nada Sana.
Tukubali kuwa sisi ni dark country
Nimekuelewa vyema. Ukimuondoa huyo baniani.Baniani mbaya... Mjadala ni kumbe unaweza kuchukia tabia ya mtu ila vitu vyake ukavipenda na kuvitumia!!
Shuka au jinzi? Hizo zihaibgia mkono wa pili Yan kwa winga au pointa. Kuna mama hapo sinza anauza gauni za mitumba Hadi laki mbili anazipiga pasi na kuziwekea kinembo Cha GucciKuna Hadi za 50k
Marufuku haiwezekani na kuwapenda pia haiwezekani.Nimekuelewa vyema. Ukimuondoa huyo baniani.
Bwana Allen una shauri lipi lifanyike?
Tupige marufuku?
Tuwapende na tuvivae, ama.