Jinsi mitumba inavyotuunganisha na watu tusiowapenda!

Unapoenda lodge unaweza lala katika kitanda ambacho mkeo aliliwa hapo, shoga alipakuliwa hapo so don't stress yourself kwa vitu vidogo vidogo
 
Kwani mkuu wewe unajua aliyelima chakula unachokula Kila siku ni mtu wa aina gani?

Hata hizi nguo mpya unazonunua unajua ni nani katengeneza?

Ni muhimu tu kutumia Imani Yako ya kidini kuombea vyote katika maisha yako.

Jambo BAYA ni uliloshuhudia wewe mwenyewe...
 
Umemuelewa mleta uzi alichomaanisha au haujasoma na kuelewa?
 
Ila ushoga haujawahi kukubalika tokea enzi hizo hadi leo na ndio maana inatumika jitihada kutaka kufanya ushoga uonekane ni kitu cha kawaida tu kama vyengine.
Kweli kabisa, hata haya maandiko ya wanaojifanya wanautetea ni mojawapo ya jitihada zao.
Kwa kifupi haukubaliki mto jamii.
 
Ni watawala wenye ufinyu wa mawazo utakuta waipigia upatu tusitishe kuchukua mitumba.

Mitumba tunahitaji sana hasa nchi zetu za huku kusini, mtumba high grade unatufanya na sisi tuonekane watu mwana, sasa wee unataka kunivalisha libatiki mkono mmoja mnene mwingine mwembamba mimi ili iweje, unicheke!

mitumba ya aina hizi miaka mia itapita bado watanzania wengi hawataweza kutengeneza au kununua nguo dizaini yake ikiwa mpya.

-Kuna mtumba wa sindilia grade one

- kuna mtumba wa nguo za watoto, cotton

- mtumba wa viatu

- mtumba mabegi

- mtumba bidhaaa za ngozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…