Unaonekana tuu mbinafsi, huwezi kutaka amani na nafuu ya upande mmoja kwa kuacha kuzingatia upande mwingine kwa kigezo cha kuacha watu wengine wawasemee. Uzi wako umekosa mantiki kwa kitu kidogo tu, mtu anaweza asianzishe uzi mwingine, ila aka dump kila ulichoandika kwa sababu hiyo tu.