NakaziaHahahaha ukikosa kazi kila utakachofanya kitaonekana hakifai mbele ya mwanamke, yani mwanamke akishamchoka mwanaume hasa asiye na pesa hakuna rangi ataacha onyesha.
Inshort mwanaume bila kazi na pesa mwanamke hawezi kukuheshimu kama anakuheshimu ni kwa muda tu
NakaziaKuna tofouti kubwa sana kati ya wanawake wa sasa (kidijitali) na wanawake wa miaka ya nyuma...
Huwenda Mama yako alikuwa kwenye kundi hilo la pili, hawa wa sasa hawatokuelewa wako radhi wakuletee wanaume ndani...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke akikuchoka hasa kama mambo yako yakikaa kushoto akiwa anahadithia hakuna zuri atalolisema kwako yani atasahau mazuri yote uliyowahi mfanyia hata kama alipofika una mchango mkubwa hatosema yani atakusema vibaya sana mpaka utabaki aaah!!!Me nimefuatilia interview nzima ya Lisa na kiukwel ameongea vizuri Sana Kama wanawake wengi walivyo wazuri Sana kwenye kuongea moja ya eneo nililonivuruga kuto appreciate angalau hata kidogo alichofanya mabeste kwake ameweka umimi Sana hapa ndo kikanifanya nitafakari mazungumzo yake kwa ujumla kwamba ni sahihi au yanauongo ndani yake haiwezekani uoneshe kafanya nothing kwako kwa miaka yote uliyoishi naye.
Si-mnasemaga birds of a same feather flock together.... so imekuaje Tena huyo mwanamke awe na akili kuliko ma-beste ..?Wanawake wenye akili Kama Lisa sijui kwanini wana bahati ya kupata mizigo.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwao arusha.
Me nimefuatilia interview nzima ya Lisa na kiukwel ameongea vizuri Sana Kama wanawake wengi walivyo wazuri Sana kwenye kuongea moja ya eneo nililonivuruga kuto appreciate angalau hata kidogo alichofanya mabeste kwake ameweka umimi Sana hapa ndo kikanifanya nitafakari mazungumzo yake kwa ujumla kwamba ni sahihi au yanauongo ndani yake haiwezekani uoneshe kafanya nothing kwako kwa miaka yote uliyoishi naye.
Hahaha ngoja wachaga waje '' Hili tatizo la U-marioo naona linazidi kushika kasi nchini vijana wakiume Tunapoteza ile sifa yetu stahiki inayotufanya tuitwe wanaume ... Hii ni mbaya sana aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha ukikosa kazi kila utakachofanya kitaonekana hakifai mbele ya mwanamke, yani mwanamke akishamchoka mwanaume hasa asiye na pesa hakuna rangi ataacha onyesha.
Inshort mwanaume bila kazi na pesa mwanamke hawezi kukuheshimu kama anakuheshimu ni kwa muda tu
Wanawake hawajifunzi hutakiwi kumlipia mahari mwanaume wako kwenu hata iweje yaan maana mahari ni kipimo cha uwezo wake kwenye kutimiza wajibu mkiwa ndani.Kitu kilichomuumiza ni Mabeste kuanza kuongea kwamba sababu ya wao kuachana ni pesa. Kaongea kwenye media.
Mama wa watu imebidi atoke hewani akaelezea jinsi alivyomlea jamaa toka mwanzo mpaka wanaachana, hadi mahari alijilipia.
Ugonjwa aliokuwa anaumwa inasemekana kwamba chanzo ni familia ya Mabeste, maana mara zote Mabeste alikuwa akiwatuhumu nyumbani kwao na haelewani na wazazi wake kabla hata hajakutana na Lisa.
Idea ya kukusanya michango kwa ajili ya matibabu ni ya Lisa, na hata kuendesha accounts za Mabeste yeye ndiye alikuwa anafanya hivyo, ile concert yeye ndiye aliyeplan na kuanza kufatilia kila kitu.
Ukiweza kupata muda wa kumsikia utaelewa, na bahati mbaya kwa Mabeste, Lisa alifikia sehemu akaanza kurekodi kila walichokuwa wanazozana au kujadili.
Kumbe ulifikiria hivyo kama Mimi? Jana Ndio siku nilivunja msimamo wangu wa kusema sitooa single momNakuhakikishia, ukikaa ukaisikia interview yake, utatamani huyo dada awe available umuoe.
She was so real.
Kumbe ulifikiria hivyo kama Mimi? Jana Ndio siku nilivunja msimamo wangu wa kusema sitooa single mom
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda mabeste alikuwaa anahangaika ila from my experience mwanamke kama mambo yako hayako sawa na huna pesa yeye ndiye ana vijisent, atakusema vibaya na inafika kipindi anaona kama unamboa tu hata ukitoka kuhangaika ukaka sebuleni ukawasha tv anaona kama vile uhangaiki na kwanini unawasha tv ambayo umeme na kifurushi kakilipia yeye.Mwanaume huna kazi unashinda tu ndani hata kuzunguka kuangalia issue mbalimbali uonekane kweli mume wangu anahangaika sema kazi zimekua ngumu. Wewe umekaa tu umebweteka umetulia tuliii sababu unajua mke analeta. Hiyo hali inachosha sana.
Hata wanawake wasioingiza kitu ndani wananyanyasika sana. Vinachosha.
umeside upande gani?Nimesikiliza parts zote za ile interview, sijawahi kuside inapotokea watu wameachana, ila jana nimejikuta nimechagua upande.
umeside upande gani?
Ndoa huwa na amani sana pale ukimpata mtu sahihi, Iwe kwa Mwanaume au mwanamke...
Kwani nyie wanawake mkiwa na wanaume wenye pesa na nyie si kutwa kshinda Hyatt hotel, na kwenye masool yenu makubwa, shopping haziishi, party, mnakaliaaa umbeaaa siku mwanaume akiymbaaa mnatoka ndukiMwanaume huna kazi unashinda tu ndani hata kuzunguka kuangalia issue mbalimbali uonekane kweli mume wangu anahangaika sema kazi zimekua ngumu. Wewe umekaa tu umebweteka umetulia tuliii sababu unajua mke analeta. Hiyo hali inachosha sana.
Hata wanawake wasioingiza kitu ndani wananyanyasika sana. Vinachosha.
Mimi nacomment hakuna hat interview niliyoskiliza uwa siko interested kusikiliza interview za watu walioachana ila tu naongea from experience.umeside upande gani?
Huenda mabeste alikuwaa anahangaika ila from my experience mwanamke kama mambo yako hayako sawa na huna pesa yeye ndiye ana vijisent, atakusema vibaya na inafika kipindi anaona kama unamboa tu hata ukitoka kuhangaika ukaka sebuleni ukawasha tv anaona kama vile uhangaiki na kwanini unawasha tv ambayo umeme na kifurushi kakilipia yeye.
Nyie wanawake bwana aisee inabdi tuishi nanyi kwa akili hakunaga shida na raha kwa wanawake wa siku hizi.
Mwanaume mwenzangu hakikisha unapambana ukiwa na mwanamke kila siku uwe na uwezo wa kuwezesha uwepo wa raha tu.
Siku shida akibisha mlangoni mwako, mapenzi atatoka ndani kwa kuruka kupitia dirishani na utapata tabu sana.