Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Hahahaha ukikosa kazi kila utakachofanya kitaonekana hakifai mbele ya mwanamke, yani mwanamke akishamchoka mwanaume hasa asiye na pesa hakuna rangi ataacha onyesha.
Inshort mwanaume bila kazi na pesa mwanamke hawezi kukuheshimu kama anakuheshimu ni kwa muda tu
Nakazia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me nimefuatilia interview nzima ya Lisa na kiukwel ameongea vizuri Sana Kama wanawake wengi walivyo wazuri Sana kwenye kuongea moja ya eneo nililonivuruga kuto appreciate angalau hata kidogo alichofanya mabeste kwake ameweka umimi Sana hapa ndo kikanifanya nitafakari mazungumzo yake kwa ujumla kwamba ni sahihi au yanauongo ndani yake haiwezekani uoneshe kafanya nothing kwako kwa miaka yote uliyoishi naye.
Mwanamke akikuchoka hasa kama mambo yako yakikaa kushoto akiwa anahadithia hakuna zuri atalolisema kwako yani atasahau mazuri yote uliyowahi mfanyia hata kama alipofika una mchango mkubwa hatosema yani atakusema vibaya sana mpaka utabaki aaah!!!
 
Ile interview ilikuja baada ya mabeste kuongea. Nenda mitandaoni uone lisa alivyokua anashambuliwa na matusi juu baada ya mabeste kuongea. Lisa alifanya ile interview kwa jazba plus hasira like mimi nimekutunzia madhaifu yako mengi wewe unanitukanisha.
Me nimefuatilia interview nzima ya Lisa na kiukwel ameongea vizuri Sana Kama wanawake wengi walivyo wazuri Sana kwenye kuongea moja ya eneo nililonivuruga kuto appreciate angalau hata kidogo alichofanya mabeste kwake ameweka umimi Sana hapa ndo kikanifanya nitafakari mazungumzo yake kwa ujumla kwamba ni sahihi au yanauongo ndani yake haiwezekani uoneshe kafanya nothing kwako kwa miaka yote uliyoishi naye.
 
Mwanaume huna kazi unashinda tu ndani hata kuzunguka kuangalia issue mbalimbali uonekane kweli mume wangu anahangaika sema kazi zimekua ngumu. Wewe umekaa tu umebweteka umetulia tuliii sababu unajua mke analeta. Hiyo hali inachosha sana.

Hata wanawake wasioingiza kitu ndani wananyanyasika sana. Vinachosha.
Hahahaha ukikosa kazi kila utakachofanya kitaonekana hakifai mbele ya mwanamke, yani mwanamke akishamchoka mwanaume hasa asiye na pesa hakuna rangi ataacha onyesha.
Inshort mwanaume bila kazi na pesa mwanamke hawezi kukuheshimu kama anakuheshimu ni kwa muda tu
 
Kitu kilichomuumiza ni Mabeste kuanza kuongea kwamba sababu ya wao kuachana ni pesa. Kaongea kwenye media.

Mama wa watu imebidi atoke hewani akaelezea jinsi alivyomlea jamaa toka mwanzo mpaka wanaachana, hadi mahari alijilipia.

Ugonjwa aliokuwa anaumwa inasemekana kwamba chanzo ni familia ya Mabeste, maana mara zote Mabeste alikuwa akiwatuhumu nyumbani kwao na haelewani na wazazi wake kabla hata hajakutana na Lisa.

Idea ya kukusanya michango kwa ajili ya matibabu ni ya Lisa, na hata kuendesha accounts za Mabeste yeye ndiye alikuwa anafanya hivyo, ile concert yeye ndiye aliyeplan na kuanza kufatilia kila kitu.

Ukiweza kupata muda wa kumsikia utaelewa, na bahati mbaya kwa Mabeste, Lisa alifikia sehemu akaanza kurekodi kila walichokuwa wanazozana au kujadili.
Wanawake hawajifunzi hutakiwi kumlipia mahari mwanaume wako kwenu hata iweje yaan maana mahari ni kipimo cha uwezo wake kwenye kutimiza wajibu mkiwa ndani.
Lakini yote kwa yote mahusiano yana Mambo mengi so ukweli wanaujua wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume huna kazi unashinda tu ndani hata kuzunguka kuangalia issue mbalimbali uonekane kweli mume wangu anahangaika sema kazi zimekua ngumu. Wewe umekaa tu umebweteka umetulia tuliii sababu unajua mke analeta. Hiyo hali inachosha sana.

Hata wanawake wasioingiza kitu ndani wananyanyasika sana. Vinachosha.
Huenda mabeste alikuwaa anahangaika ila from my experience mwanamke kama mambo yako hayako sawa na huna pesa yeye ndiye ana vijisent, atakusema vibaya na inafika kipindi anaona kama unamboa tu hata ukitoka kuhangaika ukaka sebuleni ukawasha tv anaona kama vile uhangaiki na kwanini unawasha tv ambayo umeme na kifurushi kakilipia yeye.
Nyie wanawake bwana aisee inabdi tuishi nanyi kwa akili hakunaga shida na raha kwa wanawake wa siku hizi.
Mwanaume mwenzangu hakikisha unapambana ukiwa na mwanamke kila siku uwe na uwezo wa kuwezesha uwepo wa raha tu.
Siku shida akibisha mlangoni mwako, mapenzi atatoka ndani kwa kuruka kupitia dirishani na utapata tabu sana.
 
Mwanaume huna kazi unashinda tu ndani hata kuzunguka kuangalia issue mbalimbali uonekane kweli mume wangu anahangaika sema kazi zimekua ngumu. Wewe umekaa tu umebweteka umetulia tuliii sababu unajua mke analeta. Hiyo hali inachosha sana.

Hata wanawake wasioingiza kitu ndani wananyanyasika sana. Vinachosha.
Kwani nyie wanawake mkiwa na wanaume wenye pesa na nyie si kutwa kshinda Hyatt hotel, na kwenye masool yenu makubwa, shopping haziishi, party, mnakaliaaa umbeaaa siku mwanaume akiymbaaa mnatoka nduki
Mbna mwanzoni hakulalamika khsu Maisha au jamaa kushuka ndy yamekua hayoo
Lisa mwenyewe alikuwa video vixn unaenda kumuoaa video vixen si Sawa na kuoaaa stripper
Au ukamuoee masogangeee

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeside upande gani?
Mimi nacomment hakuna hat interview niliyoskiliza uwa siko interested kusikiliza interview za watu walioachana ila tu naongea from experience.
Na uzuri wanawake uwa ni rahisi kuaminiwa na jamii kuliko mwanaume.
Mwanamke anaweza kukuua makusudi tu kwa kukushoot na akasema ilikuwa self defense na jamii ikamuamini faster kuliko wewe umuue mwanamke kwa self defense kweli na bado hutoaminika.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila ni kawaida hata kijana uwe kwenu ushamaliza chuo kazi huna lazima upate masimango nyumbani. Kipatoless sio ulemavu ila unatesa sana unaowategemea.
Huenda mabeste alikuwaa anahangaika ila from my experience mwanamke kama mambo yako hayako sawa na huna pesa yeye ndiye ana vijisent, atakusema vibaya na inafika kipindi anaona kama unamboa tu hata ukitoka kuhangaika ukaka sebuleni ukawasha tv anaona kama vile uhangaiki na kwanini unawasha tv ambayo umeme na kifurushi kakilipia yeye.
Nyie wanawake bwana aisee inabdi tuishi nanyi kwa akili hakunaga shida na raha kwa wanawake wa siku hizi.
Mwanaume mwenzangu hakikisha unapambana ukiwa na mwanamke kila siku uwe na uwezo wa kuwezesha uwepo wa raha tu.
Siku shida akibisha mlangoni mwako, mapenzi atatoka ndani kwa kuruka kupitia dirishani na utapata tabu sana.
 
Baada ya kusikiliza interview ya huyu dada nimeprove vitu fulani kutoka kwake

1. Ana busara

2 ana sifa za kuwa mke hasa kitendo cha kumfichia siri aliyekuwa mume wake

3. Uvumilivu

4 she so matured


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom