Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Hahahaha sasa utajijuaje kuwa huna akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabeste ana mapungufu yake, ila yule mwanamke sio Malaika.

Kitendo cha kuchukuliwa tu na Rafiki yake Mabeste kimemtia doa.

Sisi wastaarabu tunasema ushemeji haufi.

Na swala la kuongelea ushirikina tu, nimemuoana wa ajabu sana.
 
Lisa ni Jini, inaonesha ndugu wa mabeste walilitambua tangu awali

Mabeste hakujua.
 
Mwanamke kama huna hela atakukosea heshima na kukudharau na ukimpigaa atasema unamnyanyasa ila ukiwa na hela Ukimpigaa ataona makosa yake na kujirekebishaaa...PESAAAAAA NDO CHANZO CHA MAMBO YOTE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…